BETWAY Tanzania Home
Local
International
Home
Soka
Ligi Kuu
Njia ya
Michezo Mingine
CSR
Winners
Ligi Kuu
Gunners kukabana koo na Wolves
09/11/2022 11:41:08
Arsenal wanatazamia kuingia mapumziko ya kombe la dunia wakiongoza ligi huku wakifukuzia ushindi wa tatu mfululizo dhidi ya Wolves Jumamosi Novemba 12 ugani Molineux.
Gunners na Blues kukutana kwenye dabi ya 206 ya London
02/11/2022 15:37:34
Arsenal watakuwa wageni ugani Stamford Bridge kukabiliana na Chelsea kwenye mechi ya ligi Jumapili Novemba 6 wakiwa na nia ya kuzidi kushikilia nafasi ya kwanza kwenye jedwali.
Foxes watafuta mbinu za kumzuia Haaland
29/10/2022 16:14:24
Manchester City watakuwa na nafasi ya kuongoza jedwali la ligi japo kwa muda watakaposafiri kuikabili Leicester Oktoba 29, Jumamosi.
Reds wapania kufufua matumaini dhidi ya City
14/10/2022 17:03:08
Liverpool wanapania kufikisha kikomo msururu wa mechi tano za ligi bila ushindi watakapomenyana na Manchester City kwenye mechi ya ligi ugani Anfield Jumapili Oktoba 16.
City kuwaalika United katika debi ya 188 ya Manchester
30/09/2022 17:28:38
Manchester City wanatarajia kupata ushindi wa tatu mfululizo dhidi ya United watakapokutana kwenye mechi ya 188 baina yao Jumapili Oktoba 2.
Spurs wapania ushindi wa nne mfululizo dhidi ya Foxes
16/09/2022 11:06:26
Tottenham wanapania kuendeleza masaibu ya Leicester watakapokutana kwenye mechi ya ligi ya premier ugani Tottenham Hotspur Stadium Jumamosi ya Septemba 17.
City kukabana koo na Spurs baada ya kupoteza alama mbili dhidi ya Villa
08/09/2022 18:28:22
Manchester City na Tottenham watakabiliana kwenye mechi ya ligi ugani Etihad mnamo Septemba 10 Jumamosi.
City watafuta ushindi wa kwanza dhidi ya Reds tangu 1993
31/08/2022 09:12:09
Manchester City watazamia kuendeleza ubabe wao kwenye ligi watakapowaalika Nottingham Forest ugani Etihad Stadium Jumanne Agosti 31.
Blues wapania kuongeza masaibu zaidi kwa Foxes
25/08/2022 11:17:42
Chelsea wananuia kupata ushindi kwenye mechi ya ligi dhidi ya Leicester watakapokabiliana ugani Stamford Bridge Jumamosi Agosti 27.
Reds wanuia ushindi wa nne mfululizo dhidi ya United
17/08/2022 14:39:08
Manchester United watakuwa ange kuzuia kichapo kingine mikononi mwa Liverpool watakapokutana ugani Old Trafford Agosti 22 Jumatatu.
|<
<
1
2
3
4
5
6
7
8
9
>
>|