Ligi Kuu

Gunners kukabana koo na Wolves

09/11/2022 11:41:08
Arsenal wanatazamia kuingia mapumziko ya kombe la dunia wakiongoza ligi huku wakifukuzia ushindi wa tatu mfululizo dhidi ya Wolves Jumamosi Novemba 12 ugani Molineux.
 

Gunners na Blues kukutana kwenye dabi ya 206 ya London

02/11/2022 15:37:34
Arsenal watakuwa wageni ugani Stamford Bridge kukabiliana na Chelsea kwenye mechi ya ligi Jumapili Novemba 6 wakiwa na nia ya kuzidi kushikilia nafasi ya kwanza kwenye jedwali.  
 

Foxes watafuta mbinu za kumzuia Haaland

29/10/2022 16:14:24
Manchester City watakuwa na nafasi ya kuongoza jedwali la ligi japo kwa muda watakaposafiri kuikabili Leicester Oktoba 29, Jumamosi.
 

Reds wapania kufufua matumaini dhidi ya City

14/10/2022 17:03:08
Liverpool wanapania kufikisha kikomo msururu wa mechi tano za ligi bila ushindi watakapomenyana na Manchester City kwenye mechi ya ligi ugani Anfield Jumapili Oktoba 16.
 

City kuwaalika United katika debi ya 188 ya Manchester

30/09/2022 17:28:38
Manchester City wanatarajia kupata ushindi wa tatu mfululizo dhidi ya United watakapokutana kwenye mechi ya 188 baina yao Jumapili Oktoba 2.
 

Spurs wapania ushindi wa nne mfululizo dhidi ya Foxes

16/09/2022 11:06:26
Tottenham wanapania kuendeleza masaibu ya Leicester watakapokutana kwenye mechi ya ligi ya premier ugani Tottenham Hotspur Stadium Jumamosi ya Septemba 17.
 

City kukabana koo na Spurs baada ya kupoteza alama mbili dhidi ya Villa

08/09/2022 18:28:22
Manchester City na Tottenham watakabiliana kwenye mechi ya ligi ugani Etihad mnamo Septemba 10 Jumamosi. 
 

City watafuta ushindi wa kwanza dhidi ya Reds tangu 1993

31/08/2022 09:12:09
Manchester City watazamia kuendeleza ubabe wao kwenye ligi watakapowaalika Nottingham Forest ugani Etihad Stadium Jumanne Agosti 31.
 

Blues wapania kuongeza masaibu zaidi kwa Foxes

25/08/2022 11:17:42
Chelsea wananuia kupata ushindi kwenye mechi ya ligi dhidi ya Leicester watakapokabiliana ugani Stamford Bridge Jumamosi Agosti 27.
 

Reds wanuia ushindi wa nne mfululizo dhidi ya United

17/08/2022 14:39:08
Manchester United watakuwa ange kuzuia kichapo kingine mikononi mwa Liverpool watakapokutana ugani Old Trafford Agosti 22 Jumatatu.