Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

SIMBA WAITAKA YANGA ZANZIBAR NA BARA

23/04/2026 08:56:24
Simba wanaingia katika mashindano hayo wakiwa na morali kubwa na matumaini ya kufanya vizuri, wakilenga kuanza kwa ushindi ili kujihakikishia nafasi ya kusonga mbele na kuendeleza.

BARKER ATOA MSIMAMO MKALI SIMBA, KILA MCHEZAJI KUPAMBANIA NEMBO

23/04/2026 08:50:23
Simba inaingia kwenye michuano hiyo ikiwa na matarajio makubwa ya kufanya vyema, huku benchi la ufundi likiamini kuwa maandalizi waliyonayo yatawasaidia kufikia malengo yao.

SIMU HAZITAITA KWA MUDATHIR KARIAKOO DERBY

23/04/2026 08:44:10
Mbali na kuukosa mchezo wa Derby dhidi ya Simba, Mudathir pia hatakuwepo katika michezo mingine miwili ya ligi dhidi ya KMC FC pamoja na Coastal Union, hali inayoongeza changamoto kwa benchi la ufundi la Yanga.
 

HATARI KUBWA YANGA, UTI WA MGONGO WATIKISWA...

23/04/2026 08:37:30
UONGOZI wa klabu ya Yanga unakabiliwa na wakati mgumu katika juhudi za kuwashawishi baadhi ya nyota wake kusalia ndani ya kikosi hicho kuelekea msimu ujao.
 

VIWANGO VYA UBORA CAF… SIMBA ZIIII… KUTOKA NO 5 MPAKA 11… YANGA MHHHH…

22/04/2026 10:34:46
Simba imeshika nafasi hiyo ikiwa na pointi 38 ambazo zimetokana na mafanikio ambayo wameyapata ndani ya misimu hiyo, Yanga yenye pointi 35.
 

BILIONI MOJA YA MPANZU YAZUA MJADALA... SIMBA YATOA KAULI...

30/03/2026 08:34:50
MENEJA wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally, ameweka wazi kuwa licha ya kiungo mshambuliaji Elie Mpanzu kutokuwa na muendelezo...