Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

YANGA YAPOROMOKA TARATIBU, SIMBA WAPANDISHA PRESHA

18/03/2026 09:09:02
Kwa ujumla, Yanga wanakabiliwa na kipindi kigumu kinachohitaji umakini mkubwa wa benchi la ufundi na wachezaji waliobaki. Wakati wao wakihangaika kuziba mapengo, Simba.

 

WAKATI RUSHINE, KAGOMA WAKIONGEZA MKATABA… PANGA LA SIMBA KUPITA NA MASTAA HAWA….

18/03/2026 09:06:00
Kwa upande wa Rushine, Simba imefanya uamuzi wa kumuongezea mkataba baada ya kwanza kujiridhisha kwamba beki huyo hana majeraha ya mara kwa mara.
 

EHEE… KUMBE SIO UWANJANI PEKEE… SIMBA NA YANGA MPAKA HUKU AISEEE…

18/03/2026 09:01:07
Simba na Yanga haziwezi kuachana kushindana na kutaniana, na huo ndio utani wa jadi wenyewe, mmoja anapofanya vizuri lazima atamtambia asifanya vizuri,...

KUELEKEA DABI YA KARIAKOO… YANGA MAPEMAAAA TU… SHILINGI IKO JANGWANI KITAMBO…

02/03/2026 09:51:12
KIPUTE cha watani wa jadi kati ya Yanga na Simba kinatarajiwa kupigwa Jumapili, Machi 01, 2026, kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar kuanzia saa 2:15 usiku.

16 BORA ULAYA NI ‘UBAYA UBWELA’ MWANZO MWISHO… CITY vs MADRID, ARSENAL MCHEKEA…

02/03/2026 09:45:29
Kwa jumla, ndani ya mechi 15 za karibuni, Manchester City wameshinda mara tano, sare nne na kupoteza mara sita dhidi ya Real Madrid. Cha kuvutia zaidi ni kwamba.
 

KUELEKEA DABI… SIMBA, YANGA JEURI YOOTEE IKO HAPA AISEE… AKIBANWA MTU KWISHAAA…

02/03/2026 09:38:34
Mara ya mwisho Simba kuifunga Yanga ilikuwa katika Ngao ya Jamii iliyochezwa Agosti 13, 2023 kwa penalti 3-1, baada ya hapo, Yanga imetembeza vipigo vinne katika Ligi na viwili Ngao ya Jamii.