Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

TAIFA STARS YAPANDA VIWANGO VYA CAF YAIPIKU TUNISIA...

30/03/2026 08:24:52
Tanzania imepanda kwa nafasi moja katika chati ya viwango vya ubora vya nchi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), kulingana na mafanikio ya klabu.
 

USAJILI WA YANGA WAZUA MJADALA..., SIMBA WAONEKANA KUZIDI HATUA

27/03/2026 15:44:39
MSEMAJI wa Yanga, Ali Kamwe, ameibuka na kutoa kauli nzito akimtaka Rais wa klabu hiyo, Hersi Said, kurejea moja kwa moja kwenye majukumu...

YANGA WAPANGA VITA YA MZUNGUKO WA PILI KIMKAKATI

27/03/2026 15:37:50
UONGOZI wa klabu ya Yanga umeweka wazi  kuamua kumbakiza Kocha Mkuu, Pedro Gonçalves, ni hatua ya kimkakati iliyolenga kulinda uthabiti wa timu...
 

UAMUZI WA KIUFUNDI WAMBAKISHA MPANZU SIMBA KWA MIAKA 2 ZAIDI...

25/03/2026 08:29:30
UONGOZI wa klabu ya Simba umeweka wazi kuwa uamuzi wa kumuongezea mkataba kiungo Elie Mpanzu umetokana na tathmini ya kina ya benchi la ufundi

DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

25/03/2026 08:23:06
KIPA namba moja wa Yanga, Djigui Diarra, ameendelea kuthibitisha ubora wake msimu huu wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa kuongoza orodha ya makipa wenye...
 

BARKER AWAFUNGIA KAZI WACHEZAJI SIMBA, AONGEZA PRESHA KWA YANGA

25/03/2026 08:01:18
LICHA ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya TRA United, Kocha Mkuu wa Simba, Steve Barker, ameibua hali ya taharuki ndani ya kikosi chake baada ya kuweka wazi kuwa...