Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
30/03/2026 08:24:52
Tanzania imepanda kwa nafasi moja katika chati ya viwango vya ubora vya nchi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), kulingana na mafanikio ya klabu.
27/03/2026 15:44:39
MSEMAJI wa Yanga, Ali Kamwe, ameibuka na kutoa kauli nzito akimtaka Rais wa klabu hiyo, Hersi Said, kurejea moja kwa moja kwenye majukumu...
27/03/2026 15:37:50
UONGOZI wa klabu ya Yanga umeweka wazi kuamua kumbakiza Kocha Mkuu, Pedro Gonçalves, ni hatua ya kimkakati iliyolenga kulinda uthabiti wa timu...
25/03/2026 08:29:30
UONGOZI wa klabu ya Simba umeweka wazi kuwa uamuzi wa kumuongezea mkataba kiungo Elie Mpanzu umetokana na tathmini ya kina ya benchi la ufundi
25/03/2026 08:23:06
KIPA namba moja wa Yanga, Djigui Diarra, ameendelea kuthibitisha ubora wake msimu huu wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa kuongoza orodha ya makipa wenye...
25/03/2026 08:01:18
LICHA ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya TRA United, Kocha Mkuu wa Simba, Steve Barker, ameibua hali ya taharuki ndani ya kikosi chake baada ya kuweka wazi kuwa...