Football

PAMOJA NA KUTINGA MAKUNDI CAF...PANTEV AZUA JIPYA SIMBA..."TIMU HAINA UBUNIFU"

29/10/2025 10:03:41
Akizungumza baada ya mchezo huo, Pantev amesema eneo la kwanza ambalo linakwenda kufanyiwa kazi ni lile la kiungo ambalo bado halizalishi mashambulizi mengi.

 

WAKATI TIMU 4 ZA TZ ZIKINGIA MAKUNDI ...HIZI HAPA REKODI ZAO ZA KIBABE NDANI YA CAF

29/10/2025 09:53:20
Kabla ya hapo, Simba ndio inaongoza kwa kukusanya pointi nyingi CAF ikiwa nazo 48 ikishika nafasi ya tano Afrika, ikifuatiwa na Yanga (34) ambayo ni ya 12 na Namungo (0.5) ya 77. Singida Black Stars na Azam kwa kuingia makundi, zina uhakika wa kukusanya pointi 0.5,
 

WAKATI KIBARUA CHAKE KIKIWA SHAKANI.....FOLZ ABADILI KILA KITU YANGA...MSTAA WAFUNGUKA A-Z

28/10/2025 17:07:05
Yanga iko kwenye presha ya kumuondoa kocha huyo aliyeingoza timu hiyo katika mechi tano za mashindano kisha akashinda nne na sare moja. Hajapoteza.

MMADAGASCA AFICHUA ALIVYOICHOMOLEA SIMBA ATUE YANGA...ATAJA WACHEZAJI WAPYA

09/10/2025 16:17:16
Kitendo cha Rôrô kuhakikishiwa na Yanga anaweza kuja na wasaidizi wake wa benchi la ufundi, moja kwa moja akashawishika kusaini tofauti na Simba iliyoweka masharti ya kocha ajaye asiwe na wasaidizi wengi.

KUHUSU SOKA 'MAKANDE' LA FOLZ...TAMKO LA MABOSI YANGA HILI HAPA

25/09/2025 16:03:59
YANGA inaendelea kutoa vipigo lakini kuna baadhi ya watu kama hawaridhiki hivi, sasa uongozi umeibuka na kutoa msimamo mzito juu ya kocha wao Romain Folz.
 

KISA NAMBA YA KUCHEZA... 'TSHABALALA' KASHALIANZISHA KWA BOKA HUKO YANGA...ISHU YAKE HII HAPA

25/09/2025 15:58:57
BEKI mpya wa Yanga, Mohamed Hussein 'Tshabalala', amefunguka kuwa ni kweli kuna ushindani mkali wa namba kati yake na

SIMBA WALIVYOTAMATISHA TAMASHA LAO KIBABE JANA...VIFAA VIPYA MHHHHH

11/09/2025 15:54:32
Mchezo huo uliofanyika jana Septemba 10, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, Simba imeibuka na ushindi wa mabao 2-0, huku ikilipa kisasi mbele ya Gor Mahia.

PAMOJA NA OFA YA BIL 2 MEZANI...HIZI HAPA SABABU ZA NDAANI KABISA MZIZE KUBAKI YANGA

31/08/2025 15:48:21
KELELE na tetesi nyingi zilizokuwa zikimuhusisha mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize kutakiwa na timu mbalimbali za ndani na nje ya Afrika, zimezimwa rasmi na klabu hiyo baada ya kutangaza itaendelea kuwa naye, huku sababu ya uongozi kufanya uamuzi huo ukibainika.

PAMOJA NA KUSAJILIWA KWA DAU NONO...SIMBA WAMPA MASHARTI HAYA MAZITO BAJABER

05/08/2025 15:44:21
Chanzo kutoka Simba, kimesema kwamba, ndani ya mkataba huo wa miaka miwili aliopewa Mkenya huyo, kuna kipengele cha bonasi endapo atafikia malengo aliyowekewa.
 

CHAN 2024: HIVI NDIVYO TANZANIA ILIVYOZIPIGA BAO KENYA, UGANDA...KAZI IKO HAPA

05/08/2025 15:31:07
TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, imeandika ukurasa mpya kwa ukanda wa Afrika Mashariki baada ya kuanza kwa kishindo