Football

WAKATI YANGA WAKIFANYA FUJO...MO DEWJI KUSAJILI KILA STAA MPYA SIMBA KWA MIL 560...FADLU MENO NNJE

29/07/2025 19:33:18
Msimu uliopita Simba ilijinadi inajenga timu na kufanya maajabu ya kumaliza ya pili Ligi Kuu na kufika fainali ya CAF, lakini baada ya kumalizika kwa msimu tayari imeshawapa

BHAASSIIIII...FEI TOTO MIWILI SIMBA SHWAAA...AZAM FC HAWAAMINI MACHO YAO

29/07/2025 14:22:44
Chanzo hicho kimesema kwamba, mchezaji huyo ambaye pia anaichezea timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, ameshafikia makubaliano binafsi ya klabu ya Simba, ambapo kinachosubiriwa ni

PACOME KUSALIA YANGA...? HII HAPA TAARIFA ZA NDAAANI KABISA KUHUSU HATMA YAKE

04/07/2025 15:15:18
Kamwe ametaja baadhi ya nyota ambao wanafanyiwa kazi ili wabakie kuwa sehemu ya kikosi cha Yanga kuwa ni pamoja na kiungo mkabaji Khalid Aucho, mshambuliaji hatari Pacome

KUHUSU FEI TOTO KUMALIZANA NA YANGA...UKWELI HUU HAPA...MWENYEWE KAANIKA KILA KITU

04/07/2025 15:08:10
Fei Toto amesema kwa sasa bado ni mchezaji halali wa Azam FC, akiwa na mkataba wa mwaka mmoja zaidi, hana mamlaka ya kuzungumzia mipango ya klabu nyingine

SIMBA & FADLU WAVIZIANA...MWENYEWE ATIA MSIMAMO HUU MPYA KUHUSU WACHEZAJI

04/07/2025 15:02:03
FADLU Davids, Kocha Mkuu wa Simba SC amesema kuwa kwa msimu wa 2024/25 wamejitahidi kupambana na kufikia malengo

YANGA BINGWA 2024/25...SIMBA PAMOJA NA KUJIBANA BANA SANA MWISHO WAKUBALI KUACHIA

25/06/2025 14:56:34
KLABU ya Yanga imejihakikishia ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa msimu wa 2024-2025, ikiwa ni mara ya nne mfululizo, baada ya kuibuka na ushindi wa bao 2-0 dhidi ya Simba

KUELEKA DABI YA 25...HUYU MUKWALA HUYU...'SHOW' YAKE YANGA WAJIPANGE LA SIVYO

23/06/2025 14:06:55
Baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba SC 1-0 Kagera Sugar. Bao hilo alipachika dakika ya 17 akiwa ndani ya 18. Mukwala alituma pasi ya David Kameta ambaye alipokea pasi

ZIMBWE JR KIMEEELEWEKA SIMBA SC...ISHU YA NGOMA KUSALIA MHHHHH

18/06/2025 11:03:10
IMEELEZWA kuwa uongozi wa klabu ya Simba upo katika mazungumzo ya kumuongeza mkataba beki wao, Mohammed Hussein ‘Zimbwe Jr’
kusalia ndani ya klabu hiyo huku kiungo Fabrice Ngoma
 

KUHUSU ISHU YA IBENGE KUJA AZAM FC...UKWELI WOTE HUU HAPA...MABOSI WAFUNGUKA A-Z

18/06/2025 10:58:51
Florent Ibenge ana sifa ya kuifikisha AS Vita kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika mwaka 2014, pia kuiongoza DR Congo kutwaa medali ya shaba katika michuano ya AFCON mwaka 2015

MRITHI WA AZIZI KI YANGA HUYU HAPA....MABOSI WAANZA KUFANIKISHA DILI MAPEMAAA

04/06/2025 10:54:45
KATIKA kile kinachoonekana kuwa mwanzo wa ukurasa mpya kwa klabu ya Yanga, uongozi wa timu hiyo umeweka wazi