Football

BAADA YA KUKOSA UBINGWA WA CAF...MANULA AVUNJA UKIMYA SIMBA...ATAJA MALENGO

02/06/2025 11:29:51
Simba imelikosa taji hilo baada ya kupoteza mchezo wa fainali kwa jumla ya mabao 3-1 dhidi ya RS Berkane, kufuatia kuanza kufungwa ugenini 2-0, kisha sare ya 1-1 nyumbani

 

KUMBE SIO UBINGWA TU...KOCHA BERKANE KAONDOKA NA JINA LA STAA HUYU WA SIMBA..

02/06/2025 11:18:10
KOCHA wa RS Berkane, Moine Chaabani, amekiri pamoja na timu anayoinoa kubeba ubingwa wa tatu wa Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuzidi akili Simba ikiwa nyumbani kwa kulazimisha sare ya 1-1

 

RASMII...DIARA AANZA KUWATIA TUMBO JOTO YANGA...MABOSI WAGAWANYIKA...ANATAKA KUSEPA

02/06/2025 11:08:45
Diarra bado ana mkataba na Yanga akiwa anaendelea kumfukuza kwa karibu kipa wa Simba Moussa Camara katika clean sheet za Ligi Kuu wakitofautiana moja tu

BENCHIKA AFICHUA UZEMBE WA SIMBA KUMKOSA CAMARA NA KUMLETA BABACAR SARR

02/06/2025 10:26:57
Benchikha aliyekuwa kocha wa mwisho wa kigeni wa Simba kabla ya kuletwa kwa Fadlu Davids, alisema Simba ilipigwa kwa Camara, kwani ndiye mchezaji aliyekuwa akitakiwa aletwe msimu uliopita

ALICHOKISEMA FADLU BAADA YA SIMBA 'KUNYONGWA CAF' JUZI

30/05/2025 10:17:44
Simba imefika fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa kupoteza mechi mbili tatu katika hatua tofauti, lakini ikilinda rekodi ya kutopoteza mchezo wowote nyumbani

YANGA SC YAIGOMEA KARIAKOO DABI MAZIMA

08/05/2025 14:45:08
YANGA SC wamebainisha kuwa msimamo wao kuhusu mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Simba SC uliotarajiwa kuchezwa Machi 8 2025 upo palepale

KUELEKEA MECHI YA FAINAL CAF....AHMED ALLY AIBUKA NA 'MZUKA' HUU KWA WAARABU

08/05/2025 14:39:59
KATIKA kilele cha mafanikio ya kihistoria, Meneja wa klabu ya Simba, Ahmed Ally, ameweka wazi kuwa safari yao kwenye

REFA ALIYEIPA SIMBA GOLI 7-0 DHIDI YA HORAYA AKABIDHIWA MECHI YA WASAUZI JPILI

25/04/2025 10:01:26
Simba imewahi kukutana na refa Mansour mara mbili ambapo ya kwanza alikuwa refa wa kati ilipotoka sare ya bao 1-1 nyumbani na Asec Mimosas kwenye hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu wa 2023/2024 na mechi ya pili alikuwa refa wa akiba ilipoibuka na ushindi wa mabao 7-0

KUELEKEA MECHI YA CAF KESHO KUTWA...KIBU, MPANZU WAWATIA GANZI WASAUZI

25/04/2025 09:57:32
Simba itaingia kwenye mchezo huo wa marudiano ikiwa na faida ya ushindi nyumbani. Hata hivyo, kikosi hicho kinatambua kuwa Stellenbosch imepoteza mchezo mmoja tu nyumbani katika kampeni ya CAF mwaka huu.

DIADORA YA ITALIA WALIVYOLAMBA DILI SIMBA KILAINIII...MKATABA NI 'BAB' KUBWA NCHI NZIMA..

25/04/2025 09:52:45
Jayrutty Investment Limited ilitambulishwa kuwa mshindi wa Tenda ya Usambazaji jezi za Simba SC kwa mkataba wa miaka mitano wenye thamani ya Sh. Bilioni 38.1 (Sh. 8,120,400,000).