Football

REFA ALIYEIPA SIMBA GOLI 7-0 DHIDI YA HORAYA AKABIDHIWA MECHI YA WASAUZI JPILI

25/04/2025 10:01:26
Simba imewahi kukutana na refa Mansour mara mbili ambapo ya kwanza alikuwa refa wa kati ilipotoka sare ya bao 1-1 nyumbani na Asec Mimosas kwenye hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu wa 2023/2024 na mechi ya pili alikuwa refa wa akiba ilipoibuka na ushindi wa mabao 7-0

KUELEKEA MECHI YA CAF KESHO KUTWA...KIBU, MPANZU WAWATIA GANZI WASAUZI

25/04/2025 09:57:32
Simba itaingia kwenye mchezo huo wa marudiano ikiwa na faida ya ushindi nyumbani. Hata hivyo, kikosi hicho kinatambua kuwa Stellenbosch imepoteza mchezo mmoja tu nyumbani katika kampeni ya CAF mwaka huu.

DIADORA YA ITALIA WALIVYOLAMBA DILI SIMBA KILAINIII...MKATABA NI 'BAB' KUBWA NCHI NZIMA..

25/04/2025 09:52:45
Jayrutty Investment Limited ilitambulishwa kuwa mshindi wa Tenda ya Usambazaji jezi za Simba SC kwa mkataba wa miaka mitano wenye thamani ya Sh. Bilioni 38.1 (Sh. 8,120,400,000).

KUHUSU UBINGWA MSIMU HUU...KAMWE AWAPIGA 'STOP' MASHABIKI YANGA

23/04/2025 11:41:05
Yanga, ambao wako kileleni mwa msimamo wa ligi, wamebakiza mechi tatu za mwisho dhidi ya Namungo FC, Tanzania Prisons, na Dodoma Jiji FC. Mechi ya mwisho itachezwa kwenye Uwanja wa KMC Complex, uliopo Mwenge, jijini Dar es Salaam.
 

KISA AHOUA KUKOSA GOLI JUZI MBELE YA WASAUZI...MO DEWJI ATOA KAULI HII SIMBA...

23/04/2025 09:46:33
Akizungumza baada ya mchezo wa kwanza wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch FC uliochezwa Aprili 20 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar – ambapo Simba ilishinda bao 1-0 – Mo Dewji alisisitiza kuwa huu

DIRISHA LA USAJILI LIKIFUNGULIWA TU....MASHINE HII YA KAZI HUENDA IKATUA YANGA...

15/04/2025 09:38:37
YANGA imeanza mapema harakati za kuboresha kikosi chake kwa ajili ya msimu ujao huku ikipiga hodi katika Ligi Kuu Kenya kwenye kikosi cha Kenya Police FC.

BAADA YA KUFUZU NUSU KIBINGWA ....ZIMBWE Jr 'ATEMA BUNGO' SIMBA....ATAJA WALICHOFANYA

11/04/2025 09:12:34
Zimbwe JR amefichua kuwa mafanikio hayo hayakutokea kwa bahati nasibu. Anaeleza kuwa kila kitu kilianza tangu mechi ya kwanza walipowasili nchini Misri, ambapo walifanya

KISA CAF ....FADLU ARUDISHWA KWAOAFRIKA KUSINI KILAZIMA...ISHU NZIMA IKO HIVI

10/04/2025 10:32:13
Simba mapema imepata tiketi ya kufuzu nusu Fainali ya mashindano hayo baada ya kuiondoa Al Masry ya Misri kwa matuta 4-1 baada ya timu hizo kumaliza mchezo kwa ushindi

HILI HAPA JESHI KAMILI GADO LA SIMBA KUELEKEA MECHI NA WAARABU KESHO KUTWA

31/03/2025 15:48:02
Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Aprili 9 2025 ambapo mshindi wa jumla kwenye mchezo huo atakata tiketi kutinga hatua ya nusu fainali Kombe la Shirikisho Afrika.

KISA SIMBA...YANGA KULIPA MAMILIONI YA PESA FIFA....BARUA YATUA KWA MABOSI TFF

24/03/2025 15:38:35
MASHABIKI wa Simba wanachekelea hatua ya mchezo dhidi ya Yanga kuahirishwa, wanawatambia wenzao wa Yanga, kwamba mechi itapangwa, mtapigiwa simu moja tu kutoka juu na mtacheza, lakini wasichojua ni kwamba Wananchi hawatanii na wamejipanga kwa vita mpya, wakikubali kutumia Sh121 milioni kuitafuta haki FIFA.