BETWAY Tanzania Home
Local
International
Home
Soka
Ligi Kuu
Njia ya
Michezo Mingine
CSR
Winners
Football
SIMBA YAMLIPA SH.120M KWA MSIMU, ASAINI MKATABA WA MIAKA MIWILI.
12/06/2026 15:03:58
KIUNGO Bakari Msimu ameamua kujiunga na Simba kwa mkataba wa miaka miwili baada ya kushawishiwa na ofa nono inayodaiwa kufikia Sh milioni 120.
SIMBA YAVUNJA UKIMYA KUHUSU FEI TOTO..., YATOA KAULI NZITO
12/06/2026 14:47:07
MENEJA wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally, amesema klabu hiyo ingependa kuwa na kiungo wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’.
ZIMBWE JR AFICHUA SIRI YA YANGA KUTIKISA LIGI
28/05/2026 11:31:22
BEKI wa Yanga SC, Mohammed Hussein ‘Zimbwe Jr’, amesema kikosi hicho kina kila sababu ya kuwa na matumaini makubwa ya kutetea ubingwa wa.
SIMBA LENGO KUBEBA MATAJI, SI KUJALI MAJINA YA WAPINZANI
27/05/2026 07:36:31
MWENYEKITI wa Simba SC, Murtaza Mangungu, ameweka wazi msimamo wa klabu hiyo kuelekea msimu huu, akisisitiza kuwa malengo yao makubwa bado ni yale yale.
TIKETI YA TSH5 BILIONI KOMBE LA DUNIA, MHUDUMU INFANTINO
25/05/2026 11:52:30
Fainali ya Kombe la Dunia itakayochezwa katika uwanja wa MetLife huko New Jersey ndiyo yenye tiketi ghali zaidi. Tiketi ya bei ya chini kabisa imevuka dola 8,000.
OKELLO AWEKA WAZI MSIMAMO WAKE KULINGANISHWA NA CHAMA
25/05/2026 11:45:41
KIUNGO mshambuliaji wa Allan Okello amefunguka kuhusu mjadala unaoendelea miongoni mwa mashabiki wa soka wa Tanzania wa kumlinganisha na nyota wa Clatous.
NEUER, MUSIALA, WIRTZ WABEBA TUMAINI LA UJERUMANI
25/05/2026 10:00:02
KOCHA wa timu ya taifa ya Ujerumani, Julian Nagelsmann ametangaza rasmi kikosi chake cha mwisho cha wachezaji 26 kitakachoiwakilisha nchi hiyo.
KUHUSU BAJABER ‘KUPIGWA PANGA’ SIMBA... BARKER KAMTAZAMA WEE... KISHA AKASEMA HILI…
25/05/2026 09:55:04
WAKATI maswali yakiendelea kuwa mengi kuhusu hatma ya kiungo Mohamed Bajaber, Kocha Mkuu wa Simba, Steve Barker amesema kwenye hesabu zake.
MHHHH… HII YA CHAMA NA OKELLO NI SAWA NA PIGA NIKUPIGE…
15/05/2026 07:51:32
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Allan Okello na Clatous Chama wa Simba, wameanzisha ligi yao kufuatia kila mmoja kufunga katika michezo mitatu mfululizo ya Ligi Kuu Bara.
KUHUSU UWANJA MPYA WA YANGA… HAYA HAPA YANAYOMPA SIFA MBADALA GSM
15/05/2026 07:45:28
RAIS wa Yanga injinia Hersi Said amesema mradi wa ujenzi wa uwanja mpya wa klabu hiyo, utawafanya kumiliki asilimia 50 huku mwekezaji akimiliki 50.
|<
<
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
...
>
>|