Football

KUELEKEA MECHI NA WAARABU… BEKI ESPERANCE ATAJA MASTAA WA KUCHUNGWA

29/01/2026 08:48:16
Simba ina wakati mgumu katika kundi D la michuano hiyo kwani katika mechi tatu, haina pointi ikiburuza mkia, huku Stade Malien ikiongoza na pointi saba.

KUELEKEA MECHI vs AL AHLY… KOCHA YANGA ATOA KAULI YA KISHUJAA

29/01/2026 08:43:22
Yanga ilipoteza mechi Ligi ya Mabingwa Afrika Ijumaa iliyopita dhidi ya wapinzani wao hao kwa kuchapwa mabao 2-0 mechi iliyopigwa uwanja wa The Borg El Arab katika mji wa Alexandria.

KISA CHAMA KURUDI NYUMBANI... KOCHA SIMBA AVUNJA UKIMYA...

29/01/2026 08:38:05
KOCHA Mkuu wa Simba SC, Steve Barker ameshindwa kujizuia kwa kuonyesha kuvutiwa na urejeo wa kiungo fundi raia wa Zambia, Clatous Chama.
 

KUELEKEA MECHI NA AL AHLY... YANGA WATOA UJUMBE HUU KWA WAARABU...

29/01/2026 08:31:15
Kwa kutambua uzito wa mechi hiyo ya maamuzi, kikosi cha Yanga kimeondoka leo kuelekea Zanzibar kwa ajili ya kambi maalum ya maandalizi ya mwisho kabla ya kuivaa.
 

PAMOJA NA OURA KUTUA SIMBA... AHMED ALLY ATAJA MAMBO MAKUBWA YAYOKUJA...

29/01/2026 07:20:12
Akizungumza kuhusu usajili huo, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally, amesema Oura ni mchezaji mwenye ubora na uzoefu unaohitajika
 

ALICHOSEMA CHIKOLA BAADA YA KUWEKWA KANDO YANGA SC...

28/01/2026 14:11:31
Chikola aliyejiunga na Yanga mwanzoni mwa msimu huu akitokea Tabora United ambayo kwa sasa inafahamika kwa jina la TRA United, ametolewa kwa mkopo wa miezi.
 

USAJILI WA SIMBA WAMKOSHA MAYELE

22/01/2026 10:22:56
STRAIKA wa Pyramids ya Misri na timu ya taifa ya DR Congo, Fiston Mayele, ameonyesha wazi furaha yake baada ya Clatous Chama, kurejea katika klabu ya Simba.
 

TANZANIA YAPANDA NAFASI MBILI UBORA FIFA

22/01/2026 10:19:42
Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’imepanda kwa nafasi mbili katika viwango vya ubora wa soka vya Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) kwa mujibu wa chati ya mwezi Januari 2026
 

KISA AHOUA KUPIGWA BEI SIMBA... KOCHA YANGA AVUNJA UKIMYA... ATAJA KISA...

22/01/2026 09:54:56
TAARIFA za Simba kumuuza kiungo Jean Charles Ahoua, kwa namna moja zimeonekana kumshtua kocha wa zamani wa Yanga, Nasreddine Nabi raia wa Tunisia.

ZA NDAANI KABISAA... HAYA HAPA MAMBO 2 'KUNTU' YALIYOMRUDISHA CHAMA SIMBA...

22/01/2026 09:45:20
Uamuzi wa Simba kumrudisha Chama ni baada ya kufanya biashara ya kumuuza Jean Charles Ahoua ambaye alisajiliwa na Simba msimu uliopita 2024-2025.