23/04/2025 11:41:05
Yanga, ambao wako kileleni mwa msimamo wa ligi, wamebakiza mechi tatu za mwisho dhidi ya Namungo FC, Tanzania Prisons, na Dodoma Jiji FC. Mechi ya mwisho itachezwa kwenye Uwanja wa KMC Complex, uliopo Mwenge, jijini Dar es Salaam.