Football

SIMBA WAITAKA YANGA ZANZIBAR NA BARA

23/04/2026 08:56:24
Simba wanaingia katika mashindano hayo wakiwa na morali kubwa na matumaini ya kufanya vizuri, wakilenga kuanza kwa ushindi ili kujihakikishia nafasi ya kusonga mbele na kuendeleza.

BARKER ATOA MSIMAMO MKALI SIMBA, KILA MCHEZAJI KUPAMBANIA NEMBO

23/04/2026 08:50:23
Simba inaingia kwenye michuano hiyo ikiwa na matarajio makubwa ya kufanya vyema, huku benchi la ufundi likiamini kuwa maandalizi waliyonayo yatawasaidia kufikia malengo yao.

SIMU HAZITAITA KWA MUDATHIR KARIAKOO DERBY

23/04/2026 08:44:10
Mbali na kuukosa mchezo wa Derby dhidi ya Simba, Mudathir pia hatakuwepo katika michezo mingine miwili ya ligi dhidi ya KMC FC pamoja na Coastal Union, hali inayoongeza changamoto kwa benchi la ufundi la Yanga.
 

HATARI KUBWA YANGA, UTI WA MGONGO WATIKISWA...

23/04/2026 08:37:30
UONGOZI wa klabu ya Yanga unakabiliwa na wakati mgumu katika juhudi za kuwashawishi baadhi ya nyota wake kusalia ndani ya kikosi hicho kuelekea msimu ujao.
 

VIWANGO VYA UBORA CAF… SIMBA ZIIII… KUTOKA NO 5 MPAKA 11… YANGA MHHHH…

22/04/2026 10:34:46
Simba imeshika nafasi hiyo ikiwa na pointi 38 ambazo zimetokana na mafanikio ambayo wameyapata ndani ya misimu hiyo, Yanga yenye pointi 35.
 

TAIFA STARS YAPANDA VIWANGO VYA CAF YAIPIKU TUNISIA...

30/03/2026 08:24:52
Tanzania imepanda kwa nafasi moja katika chati ya viwango vya ubora vya nchi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), kulingana na mafanikio ya klabu.
 

USAJILI WA YANGA WAZUA MJADALA..., SIMBA WAONEKANA KUZIDI HATUA

27/03/2026 15:44:39
MSEMAJI wa Yanga, Ali Kamwe, ameibuka na kutoa kauli nzito akimtaka Rais wa klabu hiyo, Hersi Said, kurejea moja kwa moja kwenye majukumu...

YANGA WAPANGA VITA YA MZUNGUKO WA PILI KIMKAKATI

27/03/2026 15:37:50
UONGOZI wa klabu ya Yanga umeweka wazi  kuamua kumbakiza Kocha Mkuu, Pedro Gonçalves, ni hatua ya kimkakati iliyolenga kulinda uthabiti wa timu...
 

UAMUZI WA KIUFUNDI WAMBAKISHA MPANZU SIMBA KWA MIAKA 2 ZAIDI...

25/03/2026 08:29:30
UONGOZI wa klabu ya Simba umeweka wazi kuwa uamuzi wa kumuongezea mkataba kiungo Elie Mpanzu umetokana na tathmini ya kina ya benchi la ufundi

DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

25/03/2026 08:23:06
KIPA namba moja wa Yanga, Djigui Diarra, ameendelea kuthibitisha ubora wake msimu huu wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa kuongoza orodha ya makipa wenye...