Ligi Kuu

Debi ya London kufanyika Jumapili hii

11/08/2022 16:39:30
Tottenham watakuwa mgeni wa Chelsea ugani Stamford Bridge Jumapili ya Agosti 14 katika mechi ya ligi kuu Uingereza.  
 

Liverpool kufungua msimu wa EPL dhidi ya Fulham

05/08/2022 09:30:53
Liverpool watakuwa wageni wa Fulham ugani Craven Cottage wikendi ya ufunguzi wa msimu mpya wa ligi ya premier 2022/23 huku wakipania kushinda taji dhidi ya Manchester City ifikapo mwisho wa msimu.
 

Ushindi wa City dhidi ya Aston Villa kuwapa ubingwa

17/05/2022 16:11:55
Manchester City watatarajia kushinda taji la ligi kwa mara ya sita ndani ya miaka 11 watakapoialika Aston Villa ugani Etihad Mei 22 Jumapili ambayo itakuwa ni siku ya mwisho ya msimu.
 

City watarajia kuendeleza ubabe dhidi ya Hammers

10/05/2022 14:36:17
Manchester City watakuwa mgeni wa West Ham United ugani London stadium katika mechi ya premier mnamo Mei 15 jumapili wakiwa na nia ya kutetea taji hilo.
 

Reds na Spurs kung’ang’ania alama muhimu

06/05/2022 14:04:00
Liverpool wanapania kuwashinikiza Manchester City watakapoalika Tottenham ugani Anfiled kwenye mechi ya ligi mnamo Mei 7.
 

Reds wapania kuwazamisha Magpies

26/04/2022 18:36:22
Liverpool watapania kuwashinikiza zaidi Manchester City kwa ushindi dhidi ya Newcastle ugani St James' Park Jumamosi ya tarehe 30 Aprili.

Red Devils wanatzamia ushindi mara mbili dhidi ya Gunners

20/04/2022 15:49:44
Manchester United wanapania kupata ushindi wa pili wa msimu katika ligi dhidi ya Arsenal watakapokutana Aprili 23 ugani Emirates Stadium, Jumamosi.
 

Red Devils wapania kuendeleza ubabe dhidi ya Norwich

13/04/2022 14:48:31
Manchester United wanapania kupata ushindi kwa mara ya tano mfululizo katika ligi dhidi ya Norwich watakapokutana Jumamosi Aprili 16. Ni katika juhudi ya kuokoa nafasi ya kumaliza nne bora.
 

Citizens kupambana Reds katika mechi ya viongozi wa ligi

06/04/2022 11:59:01
Hatima ya ligi ya Premier msimu huu inaweza kuamuliwa wakati Manchester City watakutana na Liverpool ugani Etihad Jumapili Aprili 10.
 

Spurs na Hammers kupigania nafasi ya nne

18/03/2022 10:22:07
Tottenham watakuwa na kibarua cha kuongeza matumaini yao kumaliza katika nafasi nne bora watakapoalika West Ham United ugani Tottenham Hotspur Stadium Jumapili Machi 20.