Ligi Kuu

City na United kucheza katika debi ya 187

03/03/2022 09:22:22
Machi 6 Jumapili, Manchester City wataialika Manchester United ugani Etihad kwenye mchezo wa ligi, na ambao utakuwa ni debi ya 187 baina ya timu hizi.

Toffees kuwa wenyeji wa City Goodison Park

23/02/2022 16:12:07
Everton watakuwa mwenyeji wa Manchester City katika mechi ya ligi ugani Goodison Park Jumamosi Februari 26, huku City wakipania kujizoa baada ya kupoteza mechi dhidi ya Tottenham Hotspurs.

Citizens kupiga hatua zaidi kuelekea ubingwa

16/02/2022 14:56:34
Manchester City wataialika Tottenham ugani Etihad Stadium katika mechi ya ligi Februari 19 huku wakipania kutetea ubingwa wa ligi.

Red Devils kuendeleza ubabe wao dhidi ya the Saints

09/02/2022 14:15:27
Manchester United watanuia kuendeleza ubabe wao dhidi ya Southampton watakapokutana katika mechi ya ligi ugani Old Trafford Jumamosi Februari 12.
 

Rodgers kuja na mbinu za kuwaangamiza waajiri wa zamani

01/02/2022 14:50:24
Leicester wanatazamia kuwashinda Liverpool kwa mara ya pili msimu huu katika mechi za ligi watakapokutana Februari 10 uwanjani Anfield.

Blues na Spurs kutibua vumbi debi ya London

18/01/2022 15:33:42
Chelsea watakuwa wenyeji wa Tottenham ugani Stamford Bridge januari 23 wakitazamia kuweka matumaini ya kushinda ligi hai.

Manchester City kuendeleza ubabe wao

13/01/2022 15:16:52
Manchester city watakuwa mwenyeji wa Chelsea katika mechi ya ligi ugani Etihad kunako januari 15 huku wakipania kuendeleza ubabe wake kwenye ligi.

Miamba wa England, Chelsea na Liverpool kukabana koo

28/12/2021 16:31:38
Chelsea na Liverpool watakabana koo katika mechi ya ligi mnamo jumapili januari 2 2022. 

Leicester wapania kuchelewesha azma ya Liverpool

28/12/2021 15:57:53
Leicester City watachuana na Liverpool katika mechi ya ligi mnamo Disemba 28. 

Man City hawaonyeshi dalili ya kusimama

22/12/2021 09:43:50
Manchester City wataialika Leicester city ugani Etihad Disemba 26 huku wakinuia kuendeleza ubabe wao katika ligi.