BETWAY Tanzania Home
Local
International
Home
Soka
Ligi Kuu
Njia ya
Michezo Mingine
CSR
Winners
Ligi Kuu
Spurs na Liverpool wapania kuendeleza ushindi.
15/12/2021 13:21:13
Tottenham Hotspurs na Liverpool watamenyana katika mechi kali ya ligi Jumapili jioni mjini London huku timu zote zikinuia kuendeleza msururru wa matokeo mazuri.
Leicester wapania ushindi nyumbani dhidi ya Spurs
13/12/2021 17:00:56
Leicester City watapania kushinda mechi ya ligi nyumbani dhidi ya Tottenham Hotspur kwa mara ya tatu ndani ya miaka saba ugani King Power Disemba 16.
Wachezaji watatu wanaowania kiatu cha dhahabu EPL
09/12/2021 13:27:06
Mbio kuwania taji la ufungaji bora katika ligi ya premier zinaendelea kupamba moto huku wachezaji wengi wakiwania tuzo hilo.
Gerrard arejea Liverpool akiwa kocha wa villa.
09/12/2021 10:37:56
Liverpool wataialika Aston Villa ugani Anfield katika juhudi zao za kupigania ubingwa wa ligi mnamo Disemba 11.
Arsenal wapania kuizamisha Everton
03/12/2021 13:56:12
Arsenal watanuia kutonesha zaidi kidonda cha Everton katika mechi za ligi msimu huu watakapokutana ugani Goodson Park Jumatatu jioni.
Man United na Arsenal kufufua uhasama wao wikendi hii
30/11/2021 09:48:33
Uwanja wa Old Trafford utakuwa mwenyeji wa mtanange mkali wa mechi ya ligi ya England Manchester United watakapowaalika Arsenal wikendi ya Disemba 2.
Chelsea kuendeleza ubabe dhidi ya Man United.
26/11/2021 14:10:17
Chelsea itapania kuzoa alama zote tatu itakapoialika Manchester United jumapili hii ugani Stamford Bridge katika mechi ya ligi.
Liverpool kuikabili timu ya Arsenal iliyoimarika zaidi
18/11/2021 15:25:14
Liverpool watapania kuandikisha matokeo mazuri wakiwa nyumbani dhidi ya Arsenal katika mechi ya ligi jumamosi hii ugani Anfield.
Man United inaonekana kuamka inapomualika mpinzani City.
04/11/2021 16:15:05
Manchester United itafufua uhasama wake na mpinzani wake wa jadi Mnchester city katika mechi ya ligi ugani Old Trafford Jumamosi hii.
Red Devils kuja na makali baada ya kutandikwa na Liverpool nyumbani
28/10/2021 09:31:11
Manchester united wanapania kupata matokeo mazuri watakapokutana na Tottenham Hotspurs Jumamosi hii baada ya kupata kichapo kikali mikononi mwa Liverpool kwenye mchezo wa ligi kuu Engalnd msimu huu wa 2021/22.
|<
<
1
2
3
4
5
6
7
8
9
>
>|