Football

YAMETIMIA....GAMONDI NA MSAIDIZI WAKE WATUPIWA VIRAGO YANGA....CHANZO HIKI HAPA

15/11/2024 20:55:10
Taarifa ya kufutwa kazi kwa makocha hao imetolewa na Ofisi ya Mtendaji Mkuu wa Yanga ikisema: “Uongozi wa Young Africans Sports...

UNAKUMBUKA ULE MGOLI WA BALUA DHIDI YA AL AHLI....HII HAPA SABABU YA YEYE KUFANYA VILE

30/09/2024 09:34:57
Nyota wa Simba kiungo Edwin Balua aliyewazima wapinzani wao kwenye anga la kimataifa jioni amefichua

UNAIKUMBUKA ILE KAZI YA KAPOMBE KWA MABULULU...SASA UKWELI WOTE UKO HIVI KUMBE...

28/09/2024 09:28:36
BEKI wa Simba, Shomari Kapombe amefunguka kuwa alipewa jukumu la kuhakikisha anafanikiwa kumzuia mshambuliaji wa Al Ahly...
 
 

PAMOJA NA KUWAPIGA WAETHIOPIA KWAO JUZI...GAMONDI 'ATEMA CHECHE' YANGA

19/09/2024 10:20:03
WASHAMBULIAJI wa Yanga wamejichongea kwa Kocha wao, Miguel Gamondi ambapo ameweka wazi kuwa anahitaji kupata muda wa kuzungumza na safu hiyo ya ushambuliaji baada ya matokeo ya mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya CBE SA ya Ethiopia ambapo Yanga ilishinda kwa 1-0.
 

HILI HAPA JIPYA KUHUSU BALEKE NA ISHU YAKE YA USAJILI WAKE YANGA....GAMONDI ATIA NGUMU....

12/09/2024 16:34:31
Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi, ameamua kutovunja kambi, badala yake ameendelea na mazoezi na kikosi kilichobaki

OMBI LA KIBADENI KUTAKA 'KUWATEMEA MATE ' MASTAA WAPYA SIMBA LAJIBIWA HIVI

07/09/2024 15:46:51
ALIYEKUWA Mshambuliaji na kocha wa zamani wa Simba, Abdallah Kibadeni ametaka kuonana na washambuliaji

KUELEKEA MECHI NA WAETHIOPIA....GAMOND AANZA KUTAFUTA CD ZA 'KONEKSHENI'...

06/09/2024 16:12:39
KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi, amesema haifahamu CBE AS ya Ethiopia na analazimika kutafuta CD za michezo...
 

HIZI HAPA SABABU 6 KUNTU ZA AZAM KUTOLEWA CAF MAPEMA...KOCHA WAO KUFUKUZWA?

28/08/2024 11:54:36
Waoka mikate Azam FC wameondolewa rasmi kwenye michuano ya ligi ya mabingwa Afrika (CAFCL) baada ya kukubali

BAADA YA KUTEMWA SIMBA DK ZA JIONII...FREDDY MICHAEL 'FUNGA FUNGA' AVUNJA UKIMYA

28/08/2024 11:47:10
Saa chache baada ya kutemwa na Simba, mshambuliaji Freddy Michael amevunja ukimya na kufunguka.....

BAADA YA KUWAFUMUA VITAL'O 10-0....GAME ZOTE ZA YANGA CAF KUCHEZWA ZNZ

26/08/2024 09:20:26
KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ameanza kuchora ramani yake kuelekea hatua inayofuata ya Ligi ya Mabingwa...