Football

EPL - Chelsea v Manchester City

11/11/2023 09:23:53
Manchester City watakabiliana na Chelsea kwenye mechi ya ligi ugani Stamford Bridge mnamo Jumapili Novemba 12.
 

EPL - Newcastle United v Arsenal

03/11/2023 18:16:30
Newcastle wanapania kukabili matokeo mabaya dhidi ya Arsenal kwenye ligi watakapokutana ugani St James' Park mnamo Jumamosi Novemba 4.
 

UZI MPYA TAIFA STARS HUU HAPA...

30/10/2023 11:50:20
Rais wa Shirikisho Wallace Karia alisema anaeapongeza Sandalans kwenda kwa muda kupatikana na jezi kabla ya timu zetu hazijaanza mchakato wa mashindano.

MAKOCHA SIMBA NA IHEFU 'WAKUNJANA MASHATI' KUELEKEA MECHI YA KESHI YA LIGI KUU

27/10/2023 15:53:28
Simba wanakuwa wenyeji uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam wakiwakaribisha Ihefu FC ambao hivi karibuni...

EPL - Manchester United v Manchester City

27/10/2023 13:57:15
Manchester United watakuwa mwenyeji wa Manchester City ugani Old Trafford Oktoba 29 katika mechi ya ligi ambayo itakuwa ni dabi ya 191, mechi itakayo kuwa na athari kubwa katika msimu wa United.
 

BAADA YA YANGA KUMALIZANA NA AZAM FC JUZI…

26/10/2023 13:24:27
Na mechi ya marudiano Yanga walikuwa ugenini wakipata matokeo ya mabao 2 -0, mchezo uliopigwa uwanja wa Liti, Singida, Mei 4, mwaka huu katika mchezo wa mzunguko wa pili

HIZI HAPA FAIDA ZA MICHUANO YA AFL KWA SIMBA FC

23/10/2023 11:09:48
Manufaa kwa Simba SC Wazo na lengo la Simba sc linaenda kukamilika kwa kuwa klabu kubwa Afrika kwa kushiriki mashindano makubwa na vilabu vikubwa Afrika

KUELEKEA MECHI NA AZAM FC...GAMONDI ALIANZISHA UPYA KWA MASTAA WA YANGA

23/10/2023 10:54:02
KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amewabadilishia programu wachezaji wake kulingana na ubora wa Azam FC

EPL - Chelsea v Arsenal

20/10/2023 17:52:17
Arsenal itapambana na Chelsea katika mechi ya ligi ugani Stamford Bridge Jumamosi Oktoba 21. Mechi hii itakuwa yao ya nne dhidi ya timu zilizopo mjini London zinazoshiriki ligi kuu.
 

YANGA HII YA GAMONDI NI ZAIDI YA BALAA NA NUSU...

16/10/2023 11:09:13
YANGA imebakiza mabao 45 tu katika mechi 25 zilizobaki Ligi Kuu ili ifikie rekodi yake ya ufungaji ya msimu uliopita