Football

CHAMA: SIMBA HII BADO SANA...

22/08/2023 17:56:32
Simba iliichapa Power Dynamos ya Zambia mabao 2-0, kwenye Simba Day Agosti 6, mwaka huu, kisha ikatoka sare na Singida.

'SKUDU' AANZA KUKIWASHA UPYA JANGWANI

22/08/2023 15:35:08
Nyota huyo raia wa Afrika Kusini alitolewa uwanjani dakika ya sita ya mchezo huo baada ya kuchezewa rafu na James Akamiko na nafasi yake kuchukuliwa na Chrispin Ngushi.

UBINGWA WA NGAO YA JAMII WAMPA JEURI ROBERTINHO

18/08/2023 17:28:50
Simba imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ngao ya Jamii baada ya kuibuka na ushindi kwa mikwaju ya penati 3-1 dhidi ya Yanga katika mchezo wa Fainali

EPL - Tottenham Hotspur v Manchester United

18/08/2023 17:11:01
Manchester United watahitaji kuimarisha uchezaji wao iwapo kushinda mechi ya sita mfululizo dhidi ya Tottenham watakapokutana Jumamosi Agosti 19 Tottenham Hotspur Stadium kwenye mechi ya ligi.
 

'VIBE' LA SIMBA DAY LILIANZIA HUKU KUMBE

15/08/2023 16:37:20
Mara ya kwanza kuifanya Simba Day, ilikuwa Agosti 8, mwaka 2009 viongozi na wanachama walikwenda Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na kutoa mashuka 100 katika wadi ya watoto.

HII HAPA REKODI YA KIBABE ILIYOWEKWA NA SKUDU NDANI YA TZ

15/08/2023 15:49:33
Mahlatse Makudubela 'Skudu' ameweka rekodi kuwa mchezaji wa kwanza kutoka Afrika Kusini kucheza ligi kuu ya Tanzania Bara

Upo tayari kwa Kombe la Dunia la Wanawake?

02/08/2023 16:18:14
Betway haijawahi kulala kwenye michuano yoyote. Wateja wanafurahia kubashiri soka la wanawake sambamba na promosheni “Clash of Queens”.

FA Community Shield  - Arsenal FC v Manchester City

02/08/2023 15:46:58
Arsenal FC na Manchester City watamenyana kwenye mechi ya Ngao ya Jamii 2023, maarufu kama FA Community Shield ugani Wembley mnamo Agosti 6.
 

WAKATI MASHABIKI WAKIMUWAZA MIQUISSONE..AHMED ALLY AANIKA 'CODE' MUHIMU YA KUZINGATIA

27/07/2023 17:09:26
Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally alisema atakuwa sehemu ya kuongoza msafara wa uzinduzi

HUKU ISHU YA CHAMA IKIZIMWA KIMYA KIMYA...MBRAZILI ASHINDWA KUJIZUIA KUHUSU MASTAA WAPYA

21/07/2023 17:53:25
KOCHA mkuu wa Simba, Mbrazil, Robert Oliveira 'Robertinho' ameuambia uongozi wa timu huyo kuhakikisha anawapata