Football

KAZINI KWA 'TAIFA STARS' KUNA KAZI....WASIPOZINGATIA HAYA ITAKULA KWAO

16/01/2024 09:40:58
MUDA uliosubiriwa kwa shauku kubwa ni sasa na kila mmoja anaona namna hali halisi ilivyo nchini Ivory Coast kwenye...

YANGA KUMALIZA USAJILI NA MASHINE HII YA HATARI....JAMAA NI MAYELE MTUPUU

16/01/2024 09:37:26
IKIWA leo ni siku ya mwisho kwa dirisha dogo la usajili kufungwa klabu ya Yanga imetangaza kuwa inakamilisha usajil....

PAMOJA NA KUSINDA JANA ...BENCHIKHA ALIA NA UZEMBE WA CHE MALONE NA WENZAKE

12/01/2024 15:23:20
kocha Benchikha amesema haukuwa mchezo rahisi kwao kupata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya JKU FC, ni mwanzo mzuri kupata ushindi muhimu kwao walihitaji kuanza

BAADA YA OKRAH....MASHINE INAYOFUATA KUTAMBULISHWA YANGA NI HII.....

12/01/2024 15:01:13
Ofisa habari wa Yanga, Ali Kamwe amesema baada ya kufanikiwa kumtambulisha Okrah, kazi bado inaendelea na wanaleta mtu hatari eneo la mshambuliaji ambaye anakuja

EPL - Manchester United v Tottenham Hotspur

12/01/2024 14:38:05
Tottenham watakabiliana na Manchester United katika mechi ya ligi ugani Old Trafford mnamo Januari 14 siku ya Jumapili. 

TRY AGAIN: MCHEZAJI YOYOTE ATAKAYEHITAJIKA NA BENCHIKHA ATASAJILIWA HARAKA

29/12/2023 17:17:09
Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi Simba SC Salim Abdallah ‘Try Again’ ameweka wazi kuwa watahakikisha kuwa

KISA USHINDI WA JUZI MBELE YA WAGHANA...GAMONDI KAJA NA HILI YANGA

29/12/2023 17:13:37
KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amesema amepata mwanga na matarajio yake kuona mabadiliko makubwa

HIZI HAPA MBINU 'HARAMU' ZA BENCHIKHA ZILIZOIMALIZA WYADAD JANA

20/12/2023 16:06:43
ACHANA na ubora wa kipa wa Simba, Ayoub Lakred aliouonyesha jana habari ya mjini ni mbinu za kijeshi za kocha wa timu hiyo Belhack...
 

RASMI: TANZANIA KUANDAA MASHINDANO YA CHAN 2024...CAF WATIA BARAKA

20/12/2023 15:55:00
RAIS wa Shirikisho la Soka nchini, Wallace Karia amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi zitakazoandaa

Serie A - AS Roma v SSC Napoli 

20/12/2023 15:48:50
AS Roma itakabiliana na SSC Napoli katika mchezo wa kusisimua wa ligi kuu Italia ugani Stadio Olimpico Desemba 23.