Football

KUHUSU UBINGWA MSIMU HUU...KAMWE AWAPIGA 'STOP' MASHABIKI YANGA

23/04/2025 11:41:05
Yanga, ambao wako kileleni mwa msimamo wa ligi, wamebakiza mechi tatu za mwisho dhidi ya Namungo FC, Tanzania Prisons, na Dodoma Jiji FC. Mechi ya mwisho itachezwa kwenye Uwanja wa KMC Complex, uliopo Mwenge, jijini Dar es Salaam.
 

KISA AHOUA KUKOSA GOLI JUZI MBELE YA WASAUZI...MO DEWJI ATOA KAULI HII SIMBA...

23/04/2025 09:46:33
Akizungumza baada ya mchezo wa kwanza wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch FC uliochezwa Aprili 20 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar – ambapo Simba ilishinda bao 1-0 – Mo Dewji alisisitiza kuwa huu

DIRISHA LA USAJILI LIKIFUNGULIWA TU....MASHINE HII YA KAZI HUENDA IKATUA YANGA...

15/04/2025 09:38:37
YANGA imeanza mapema harakati za kuboresha kikosi chake kwa ajili ya msimu ujao huku ikipiga hodi katika Ligi Kuu Kenya kwenye kikosi cha Kenya Police FC.

BAADA YA KUFUZU NUSU KIBINGWA ....ZIMBWE Jr 'ATEMA BUNGO' SIMBA....ATAJA WALICHOFANYA

11/04/2025 09:12:34
Zimbwe JR amefichua kuwa mafanikio hayo hayakutokea kwa bahati nasibu. Anaeleza kuwa kila kitu kilianza tangu mechi ya kwanza walipowasili nchini Misri, ambapo walifanya

KISA CAF ....FADLU ARUDISHWA KWAOAFRIKA KUSINI KILAZIMA...ISHU NZIMA IKO HIVI

10/04/2025 10:32:13
Simba mapema imepata tiketi ya kufuzu nusu Fainali ya mashindano hayo baada ya kuiondoa Al Masry ya Misri kwa matuta 4-1 baada ya timu hizo kumaliza mchezo kwa ushindi

HILI HAPA JESHI KAMILI GADO LA SIMBA KUELEKEA MECHI NA WAARABU KESHO KUTWA

31/03/2025 15:48:02
Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Aprili 9 2025 ambapo mshindi wa jumla kwenye mchezo huo atakata tiketi kutinga hatua ya nusu fainali Kombe la Shirikisho Afrika.

KISA SIMBA...YANGA KULIPA MAMILIONI YA PESA FIFA....BARUA YATUA KWA MABOSI TFF

24/03/2025 15:38:35
MASHABIKI wa Simba wanachekelea hatua ya mchezo dhidi ya Yanga kuahirishwa, wanawatambia wenzao wa Yanga, kwamba mechi itapangwa, mtapigiwa simu moja tu kutoka juu na mtacheza, lakini wasichojua ni kwamba Wananchi hawatanii na wamejipanga kwa vita mpya, wakikubali kutumia Sh121 milioni kuitafuta haki FIFA.

FADLU ATOA MASHARTI SIMBA WAKIJIANDAA NA AL MASRY CAF...

24/03/2025 15:34:19
Simba inakabiliwa na majukumu makubwa msimu huu, ikihitaji kushindania mataji matatu, Ligi Kuu Tanzania Bara, Kombe la Shirikisho la CRDB, na kufika mbali kwenye michuano ya CAF.

WAARABU KUMNG'OA TSHABALALA SIMBA? WAWILI WATANGULIZA KWA OFA NONO...

17/03/2025 15:59:10
MECHI 10 zilizobaki za Simba mzimu huu zinaendelea kuwaumiza viongozi wa klabu hiyo wakipiga hesabu za namna ya kuzicheza ili wabebe ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu

TAREHE MPYA DABI YA SIMBA, YANGA SHAKANI...RAGE AIBUKA NA HILI JIPYA

12/03/2025 15:49:07
WAKATI Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), ikiwataka wadau wa soka kuwa watulivu kipindi hiki wakiendelea kusubiri taarifa...