Football

Safari ya Fiston Mayele - Kutoka Yanga Hadi Kufunga Kombe la Dunia 2026

29/06/2026 09:08:42
Na sasa bao la Fiston Mayele dhidi ya Uzbekistan katika fainali za Kombe la Dunia 2026 ni miongoni mwa mabao yasiyosahaulika.

Yanga SC Ikiichapa TRA 3-0, Okello Apiga Hat-trick

29/06/2026 08:59:45
Mbio za kuelekea taji la tano mfululizo la Ligi Kuu Bara kwa mabingwa watetezi, Yanga SC, sasa zimefikia hatua ya kukatwa shingo.

KUHUSU KUBEBA MAKOMBE YOTE YA YANGA…BARKER KAKUNA KICHWA WEE... KISHA KASEMA HILI...

24/06/2026 14:19:47
BAADA ya Simba SC kukosa ubingwa kwa misimu minne mfululizo, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Steve Barker, amesema kikosi chake...
 

SIMBA WANATAKA KUSAJILI KIPA MPYA? UKWELI WOTE HUU HAPA...

24/06/2026 14:13:26
Simba ukiiangalia kwa haraka unaweza kusema haina uhitaji wa kipa mpya kwani wana Kassali anayecheza sasa na Moussa Camara ambaye naye...

SIMBA YAJENGA KIKOSI KIPYA, BAADHI YA NYOTA HAWA HATARINI

23/06/2026 14:34:35
UONGOZI wa Simba SC unatarajiwa kufanya mabadiliko zaidi ndani ya kikosi chake kuelekea msimu wa 2026/27, ikiwa ni sehemu ya mkakati.

VITA HAIJAISHA BADO... IBENGE AUTAKA TENA 'URODA' WA YANGA...

23/06/2026 14:18:49
Azam FC ilifanikiwa kutinga fainali ya michuano hiyo baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Yanga katika mchezo wa kusisimua uliochezwa.

NI BARKER vs IBENGE FAINALI YA FA...

23/06/2026 13:49:35
Barker ameiongoza Simba SC kwa mafanikio makubwa msimu huu, akionyesha uimara wa kikosi chake katika mashindano mbalimbali...

SIMBA YAMLIPA SH.120M KWA MSIMU, ASAINI MKATABA WA MIAKA MIWILI.

12/06/2026 15:03:58
KIUNGO Bakari Msimu ameamua kujiunga na Simba kwa mkataba wa miaka miwili baada ya kushawishiwa na ofa nono inayodaiwa kufikia Sh milioni 120.

SIMBA YAVUNJA UKIMYA KUHUSU FEI TOTO..., YATOA KAULI NZITO

12/06/2026 14:47:07
MENEJA wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally, amesema klabu hiyo ingependa kuwa na kiungo wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’.

 

HAWA YANGA KWA FADLU WAKO SIRIAZI KWELI?

28/05/2026 12:06:23
YANGA inaendelea na msako wa kutafuta kocha mpya na sasa kuna majina mengine mawili yanatajwa akiwemo kocha wa zamani wa Simba ambaye aliibadilisha.