BETWAY Tanzania Home
Local
International
Home
Soka
Ligi Kuu
Njia ya
Michezo Mingine
CSR
Winners
Football
Steve Barker Afunguka Kadi Nyekundu Simba SC: “Hatutalii Maziwa Yaliyomwagika”
24/08/2026 08:33:14
Kauli ya Barker imekuja mara baada ya Simba kuibuka na ushindi wa pointi tatu muhimu kwa kuichapa Singida Black Stars mabao 2-1 katika Uwanja.
Neo Maema Afunguka Majeruhi na Kadi Nyekundu Simba SC
24/08/2026 08:23:56
Simba imeingia kwenye rekodi ya kupata kadi nyekundu katika kila mchezo kati ya mechi zake tatu za mwanzo dhidi ya Kagera Sugar, Pamba FC, na Singida Black Stars.
Girumugisha Afunguka Kurejea Yanga Baada ya Usajili wa Bilioni 14.6 Libya
24/08/2026 08:07:07
Winga hatari raia wa Burundi, Jean Claude Girumugisha, ameacha milango wazi ya kujiunga na Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC.
“Mtalia Sana!” – Manqoba Atuma Onyo Kali Yanga Ikiichapa Coastal Union 4-1
24/08/2026 07:39:23
Ushindi huo dhidi ya Coastal Union unaifanya Yanga kuendelea na kasi nzuri katika msimu mpya wa Ligi Kuu, huku Manqoba akihitimisha kwa kusema kuwa kazi ndio kwanza imeanza.
Ali Kamwe Afichua Sababu Gomez, Aziz Ki Kuchelewa Yanga SC
24/08/2026 07:33:43
Gomez alijiunga na Yanga akitokea kwa watani zao Simba SC katika usajili uliovuta hisia za wengi, wakati Aziz Ki akirejea klabuni hapo akiwa na mategemeo makubwa kama ‘X-Factor’.
Simba SC kuelekea Ngao ya Jamii 2026 - Kila Kitu Unachohitaji Kukijua
12/08/2026 15:20:43
Mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Young Africans SC (Yanga) na Simba SC umepangwa kuchezwa tarehe 12 Agosti 2026, huku mchezo ukianza saa 2:30 usiku kwa saa za Afrika Mashariki.
Maadhimisho ya Miaka 90 ya Simba Day
07/08/2026 15:55:37
Simba Day ni tukio la kila mwaka nchini Tanzania linaloadhimishwa na moja ya vilabu vikubwa na maarufu zaidi vya soka nchini, Simba Sports Club, maarufu pia kama Wekundu wa Msimbazi.
Sare za Simba CECAFA - Patrick Rweyemamu Afunguka Maandalizi ya Msimu Mpya
31/07/2026 08:49:30
Uongozi wa klabu ya Simba SC umewataka mashabiki wa timu hiyo kutokuwa na wasiwasi wowote kufuatia matokeo ya sare mbili mfululizo.
TFF Yaja na Adhabu Kali - Timu Kutakatwa Pointi 5 Kisa Dressing Room
31/07/2026 08:42:52
Uamuzi huu unajiri kufuatia mfululizo wa matukio ya msimu uliopita, ambapo klabu ya Yanga SC iligoma kutumia vyumba hivyo katika michezo.
Peter Shalulile Aandika Ujumbe wa Machozi Mamelodi Sundowns Baada ya Kusajiliwa Yanga
31/07/2026 08:35:31
Mshambuliaji wa kimataifa kutoka nchini Namibia, Peter Shalulile, ameaga rasmi klabu yake ya zamani ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini.
|<
<
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
...
>
>|