Football

FADLU ATOA MASHARTI SIMBA WAKIJIANDAA NA AL MASRY CAF...

24/03/2025 15:34:19
Simba inakabiliwa na majukumu makubwa msimu huu, ikihitaji kushindania mataji matatu, Ligi Kuu Tanzania Bara, Kombe la Shirikisho la CRDB, na kufika mbali kwenye michuano ya CAF.

WAARABU KUMNG'OA TSHABALALA SIMBA? WAWILI WATANGULIZA KWA OFA NONO...

17/03/2025 15:59:10
MECHI 10 zilizobaki za Simba mzimu huu zinaendelea kuwaumiza viongozi wa klabu hiyo wakipiga hesabu za namna ya kuzicheza ili wabebe ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu

TAREHE MPYA DABI YA SIMBA, YANGA SHAKANI...RAGE AIBUKA NA HILI JIPYA

12/03/2025 15:49:07
WAKATI Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), ikiwataka wadau wa soka kuwa watulivu kipindi hiki wakiendelea kusubiri taarifa...

KUHUSU UBINGWA LIGI KUU 24/25...FADLU MACHO YOTE MITA

27/02/2025 17:43:27
Kocha wa Simba Fadlu Davids amesema mechi mbili zijazo zinaweza kutoa picha halisi ya ubingwa kwa timu yake msimu huu.

HUU HAPA UKWELIA-Z KUHUSU DILI LA MASHINE HII YA KAZI KUTUA YANGA

27/02/2025 17:38:28
BEKI wa kazi Wilson Nangu miongoni mwa wachezaji ambao wanavuja jasho ndani ya JKT Tanzania ambayo ipo ndani ya 10 bora anatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Kariakoo ambao ni Simba na Yanga

HII HAPA MASHINE MPYA YA KAZI YANGA MSIMU UJAO...AFUNGUKA A-Z KUHUSU ENG HERSI

27/02/2025 17:22:14
EBU vuta picha msimu ujao katika safu ya ushambuliaji ya Yanga yenye Prince Dube na Clement Mzize wenye jumla ya mabao

BAADA YA KUMALIZANA NA MOBETTO...HILI HAPA JIPYA LA AZIZI KI HUKO YANGA

27/02/2025 17:14:44
Pia jaribu kupotezea umahiri alionao wa kufunga na kuasisti, ila ukweli ni kwamba kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz KI

HUKO JANGWANI KUNA GUNDU GANI.....MWINGINE ABWAGA MANYANGA YANGA

25/02/2025 15:08:33
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Yanga, kinasema kuwa  siku chache baada ya Meskini, Behlulovic ambaye alijiunga na Yanga chini ya Ramovic pia ameomba

MTZ ALIYESAJILIWA WYDAD AANZA NA 'GUU LA KAZI'...MWAMUZI AKATAA 'MGOLI WAKE WA KIDEO'

25/02/2025 15:04:01
MSHAMBULIAJI wa Kitanzania anayekipig Wydad AC ya Morocco, Seleman Mwalimu 'Gomez' ameanza mechi ya kwanza akiwa na uzi wa timu hiyo iliyotoka suluhu na COD Meknes

KISA SARE NA AZAM JANA...SIMBA WAVUNJA UKIMYA TAMKO LAO HILI HAPA

25/02/2025 14:57:23
BAADA ya Februari 24 2025 ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Simba 2-2 Azam FC mabosi hao wakigawana pointi mojamoja na matajiri wa Dar, Azam FC, Simba wametoa tamko