Football

AFCON - Tanzania v Tunisia

30/12/2025 15:07:54
Tanzania will be looking to hand Tunisia another defeat in their third 2025 Africa Cup of Nations (AFCON) Group C match at the Rabat Olympic Stadium on 30 December.

KUELEKEA DIRISHA DOGO... USAJILI MPYA WA YANGA HUU HAPA...

18/12/2025 12:53:24
Habari kutoka ndani ya Yanga zinasema kocha huyo raia wa Ureno anahitaji kiungo mkabaji, kiungo mshambuliaji na winga mmoja.

KISA RUSHINE... SIMBA WALIAMSHA KWA MAMELOD...

18/12/2025 12:49:10
KLABU ya Simba imepiga hodi Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini ikisema inahitaji kumsajili moja kwa moja beki wa kati anayeichezea timu hiyo kwa mkopo.

HIZI HAPA REKODI 5 KALI ZA YANGA BAADA YA LIGI KUU KUSIMAMA... SIMBA MHHH...

18/12/2025 12:45:44
Yanga inaongoza kwa kufunga mabao mengi mpaka sasa, kushinda michezo mingi mfululizo, ndio timu pekee imepata penalti nyingi, imeshinda mechi nyingi nyumbani.
 

KWA MASTAA HAWA 4 SIMBA... PANTEV ULIKUWA UMWAMBII KITU AISEE... AFUNGUKA A-Z...

18/12/2025 12:41:40
KOCHA Dimitar Pantev aliyekuwa akitambulishwa kama meneja mkuu wa Simba amehitimisha siku 61 na huwezi kuamini
 
 

RASMI...CAF WAMRUDISHA AZIZ KI TANZANIA...ISHU NZIMA IMEKAA HIVI...

08/12/2025 09:32:03
Droo hiyo iliyofanyika katika Studio za SuperSport jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini ikiongozwa na Mkuu wa Idara ya Mashindano ya CAF, Khaled Nassar, akisaidiwa na wanasoka wa zamani Christopher Katongo kutoka Zambia na Alexander Song wa Cameroon,

HAWA HAPA MASTAA WA AFRIKA TISHIO KWA SIMBA, YANGA KUBEBA UBINGWA CAF

07/12/2025 13:43:42
Kuteuliwa kwake kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Klabu Barani Afrika ni uthibitisho zaidi wa ubora alionao. Nyota huyu yupo na Al Ahly katika Kundi B ambalo pia kuna Yanga.
 

BAADA YA KUFUNGA GOLI 1 LA LIGI... BAJABER AFUNGUKA MAGUMU YA SIMBA...

06/12/2025 11:32:57
MSHAMBULIAJI wa Simba SC Mohamed Bajaber amefunguka baada ya kufunga bao lake la kwanza tangu ajiunge na Wekundu wa Msimbazi, akisema alikuwa akipita kwenye kipindi kigumu cha kukosa nafasi kutokana na majeraha yaliyomuweka nje kwa muda mrefu.

KUELEKEA AFCON 25... 53 WA TAIFA STARS HAWA HAPA... PANGA LA MWISHO MHHHH...

06/12/2025 11:29:43
Tanzania ipo Kundi C kwenye michuano hiyo ya AFCON 2025 sambamba na Nigeria, Tunisia na Uganda ambapo Stars inatarajia kuondoka nchini Desemba 8
 

BAADA YA KUWAPIGA BAO SIMBA CAF... UELEKEO WA YANGA HUU HAPA... KOCHA ATIA NDIMU...

05/12/2025 11:26:19
MASHABIKI wa Yanga wana furaha vilevile mabosi wao, siri ni moja tu ni kwamba kikosi cha timu hiyo kilivyobadilika, lakini kocha Pedro Goncalves.