Football

BARKER AWAFUNGIA KAZI WACHEZAJI SIMBA, AONGEZA PRESHA KWA YANGA

25/03/2026 08:01:18
LICHA ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya TRA United, Kocha Mkuu wa Simba, Steve Barker, ameibua hali ya taharuki ndani ya kikosi chake baada ya kuweka wazi kuwa...
 

WAKATI RUSHINE, KAGOMA WAKIONGEZA MKATABA… PANGA LA SIMBA KUPITA NA MASTAA HAWA….

18/03/2026 09:06:00
Kwa upande wa Rushine, Simba imefanya uamuzi wa kumuongezea mkataba baada ya kwanza kujiridhisha kwamba beki huyo hana majeraha ya mara kwa mara.
 

EHEE… KUMBE SIO UWANJANI PEKEE… SIMBA NA YANGA MPAKA HUKU AISEEE…

18/03/2026 09:01:07
Simba na Yanga haziwezi kuachana kushindana na kutaniana, na huo ndio utani wa jadi wenyewe, mmoja anapofanya vizuri lazima atamtambia asifanya vizuri,...

KUELEKEA DABI YA KARIAKOO… YANGA MAPEMAAAA TU… SHILINGI IKO JANGWANI KITAMBO…

02/03/2026 09:51:12
KIPUTE cha watani wa jadi kati ya Yanga na Simba kinatarajiwa kupigwa Jumapili, Machi 01, 2026, kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar kuanzia saa 2:15 usiku.

16 BORA ULAYA NI ‘UBAYA UBWELA’ MWANZO MWISHO… CITY vs MADRID, ARSENAL MCHEKEA…

02/03/2026 09:45:29
Kwa jumla, ndani ya mechi 15 za karibuni, Manchester City wameshinda mara tano, sare nne na kupoteza mara sita dhidi ya Real Madrid. Cha kuvutia zaidi ni kwamba.
 

KUELEKEA DABI… SIMBA, YANGA JEURI YOOTEE IKO HAPA AISEE… AKIBANWA MTU KWISHAAA…

02/03/2026 09:38:34
Mara ya mwisho Simba kuifunga Yanga ilikuwa katika Ngao ya Jamii iliyochezwa Agosti 13, 2023 kwa penalti 3-1, baada ya hapo, Yanga imetembeza vipigo vinne katika Ligi na viwili Ngao ya Jamii.

NWINCHUI KATIKATI YA DERBY KARIAKOO...

02/03/2026 09:27:01
KUELEKEA mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, waamuzi watakaosimamia Kariakoo Derby kati ya Yanga SC na Simba SC wametangazwa rasmi, huku..

SINTOFAHAMU YANAENDELEA, SOWAH NJE DERBY

02/03/2026 09:20:19
Kwa mujibu wa Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally, kwa sasa nyota huyo hayupo kwenye mipango ya timu, na hatma yake ya kusafiri na kikosi kuelekea Zanzibar bado haijafahamika.

KUELEKEA KARIAKOO DERBY... YANGA YAIWEKEA SIMBA MTEGO.

02/03/2026 09:08:04
Ofisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe, amebainisha kuwa wachezaji wake muhimu, Pacome Zouzoua na Prince Dube, bado wanapata majeraha madogo. 

BARKER AWEKA MKAKATI KABAMBE DHIDI YA YANGA

27/02/2026 11:30:48
KOCHA Mkuu wa Simba, Steve Barker, amesisitiza kwamba kikosi chake kitaingia kwenye Kariakoo Derby dhidi ya watani wao wa jadi, Yanga FC, huku Kariakoo Derby dhidi ya Yanga SC