Football

MHHHH… HII YA CHAMA NA OKELLO NI SAWA NA PIGA NIKUPIGE…

15/05/2026 07:51:32
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Allan Okello na Clatous Chama wa Simba, wameanzisha ligi yao kufuatia kila mmoja kufunga katika michezo mitatu mfululizo ya Ligi Kuu Bara.

KUHUSU UWANJA MPYA WA YANGA… HAYA HAPA YANAYOMPA SIFA MBADALA GSM

15/05/2026 07:45:28
RAIS wa Yanga injinia Hersi Said amesema mradi wa ujenzi wa uwanja mpya wa klabu hiyo, utawafanya kumiliki asilimia 50 huku mwekezaji akimiliki 50.
 

HAYA HAPA MAMBO 10 YALIYOJITOKEZA MASHUJAA v SIMBA SC JANA

15/05/2026 07:26:58
Mechi ya Jana kati ya Mashujaa FC na Simba SC iliyopigwa katika Uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma, imemalizika kwa Simba kuibuka na ushindi mnono wa 3-0.
 

AZAM FC VS YANGA NJE YA LIGI KUU... NI KISASI BIN KISASI...

29/04/2026 15:14:10
PAMBANO kati ya Azam FC na Yanga halipo tu ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara, bali hata kwenye michuano mingine limekuwa likitoa burudani ya hali ya juu.

HATIMAYE, KARIAKOO DERBY KUPIGWA ISAMUYO, VITA YAANZA RASMI

29/04/2026 15:08:30
Kariakoo Derby inaendelea kubaki kuwa moja ya mechi zinazovuta hisia za mashabiki wengi, si tu nchini Tanzania bali pia katika ukanda wa Afrika Mashariki, kutokana na historia yake.

CAMARA AVUNJA UKIMYA, AWEKA WAZI SAFARI YAKE NA SIMBA

29/04/2026 15:02:58
KIPA  wa Simba SC, Moussa Camara, amevunja ukimya na kufunguka kuhusu changamoto ya majeraha aliyopitia, akisema hali hiyo inaweza kumrudisha nyuma mchezaji katika kufikia.

TETESI ZA USAJILI ULAYA - ENZO FERNANDEZ AINGIA ANGA ZA MANCHESTER CITY

29/04/2026 14:43:44
MANCHESTER City inafikiria kufanya jaribio la kumsajili kiungo wa Chelsea na timu ya taifa ya Argentina, Enzo Fernández, 25,  katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
 

SIMBA FULL NONDO MAPINDUZI CUP... BARKER ATIA AHADI...

29/04/2026 14:33:14
KOCHA Mkuu wa Simba, Steve Barker, amesema kikosi chake kipo tayari kwa changamoto ya mashindano ya Kombe la Muungano, akisisitiza kuwa maandalizi yao yamekamilika.
 

KISASI KINAKUJA SIMBA KUKUTANA NA MLANDEGE NUSU FAINALI

29/04/2026 14:26:51
Mchezo wa nusu fainali kati ya Simba na Mlandege unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa, ukiwa umebeba hisia za kisasi na heshima. Simba itaingia uwanjani.
 

SIMBA WAITAKA YANGA ZANZIBAR NA BARA

23/04/2026 08:56:24
Simba wanaingia katika mashindano hayo wakiwa na morali kubwa na matumaini ya kufanya vizuri, wakilenga kuanza kwa ushindi ili kujihakikishia nafasi ya kusonga mbele na kuendeleza.