Football

CAF Confederation Cup - Yanga SC v Marumo Gallants

08/05/2023 15:35:09
Wapinzani wa Young Africans katika Michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika Marumo Gallants wanatarajiwa kuwasili jijini Dar es salaam leo Jumatatu (Mei 08) tayari kwa mchezo wa Mkondo wa Kwanza wa Nusu Fainali.
 

EPL - Newcastle United v Arsenal

05/05/2023 16:44:18
Baada ya ushindi mmoja katika mechi tano, Arsenal watakuwa wageni wa Newcastle United kwenye mchezo wa ligi mnamo Mei 7 Jumapili ugani St James' Park.
 

CAF Confederation - Yanga SC v Marumo Gallants

05/05/2023 16:23:04
BAADA ya kutinga Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kocha Mkuu wa Yanga SC Nasreddine Nabi, amesema kuwa sasa ameanza kuwapigia hesabu wapinzani wao Marumo Gallants.
 

La Liga - Atletico Madrid v Real Mallorca 

26/04/2023 17:01:04
Atletico Madrid watakuwa wenyeji wa Real Mallorca kwenye mechi ya La Liga ugani  Estádio Cívitas Metropolitano Aprili 26.
 

EPL - Manchester City v Arsenal

26/04/2023 16:31:30
Manchester City watakuwa mwenyeji wa Arsenal ugani Etihad Stadium katika mechi za ligi mnamo Jumatano Aprili 26.
 

EPL - Newcastle United v Tottenham Hotspur

21/04/2023 13:55:04
Newcastle watakuwa wenyeji wa Tottenham katika mechi ya Premier ugani St James' Park Jumapili Aprili 23 huku timu zote mbili zikiwania nafasi ya kushiriki ligi ya UEFA msimu ujao.
 

La Liga - FC Barcelona v Atletico Madrid 

21/04/2023 13:33:09
FC Barcelona itakabiliana vikali na Atletico Madrid kwenye mechi ya ligi kuu Uhispania ugani Spotify Camp Nou Aprili 23.
 

EPL - West Ham United v Arsenal

12/04/2023 09:36:17
Viongozi wa ligi ya Premier Arsenal watakuwa na kibarua kigumu watakapoikabili West Ham London Stadium katika mechi ya ligi mnamo Aprili 16, Jumapili.

UCL - Real Madrid v Chelsea

11/04/2023 15:47:23
Chelsea wanatarajia kurejea kwa Frank Lampard kutawapa motisha watakapokutana na Real Madrid kwenye mechi ya robo fainali ya UEFA mkondo wa kwanza Jumatano Aprili 12 ugani Bernabeu.
 

Serie A - SS Lazio v Juventus FC 

06/04/2023 18:03:32
SS Lazio watamenyana vikali na Juventus FC kwenye mechi ya ligi kuu Italia ugani Stadio Olimpico Aprili 9.