Football

Bees kusaka ushindi wa kwanza dhidi ya Reds ndani ya miaka 84.

02/01/2023 17:32:17
Brentford wanatarajia kupata ushindi kwa mara ya kwanza dhidi ya Liverpool tangu mwaka 1938 watakapokutana ugani Gtech Community Stadium Jumatatu Januari 2.

O Atlético prepara-se para receber um Elche ferido

29/12/2022 13:38:06

O Atlético de Madrid vai disputar com a Elche CF mais um jogo da La Liga no Estádio Cívitas Metropolitano no dia 29 de Dezembro.

Liverpool wapania ushindi wa nne mfululizo dhidi ya Villa.

22/12/2022 14:18:45

Liverpool na Aston Villa watakabiliana katika mechi ya ligi mnamo Desemba 26.

Morocco wapania rekodi zaidi mechi ya nusu fainali dhidi ya Ufaransa

13/12/2022 19:58:39
Morocco inatarajia kuandikisha rekodi mpya ya kombe la dunia watakapokutana na mabingwa watetezi Ufaransa Desemba 14 Jumatano kwenye mechi ya nusu fainali.
 

Cup in Qatar - Burudani Kila Wiki

13/12/2022 17:47:39
Macho na masikio yote ya mashabiki wa soka yapo kwenye Kombe la Dunia, wakati wababe wa soka la kimataifa wakichuana kunyakua kombe hilo. Hii ni michuano mifupi zaidi ukiachana na ile ya 1978, bila shaka zitakuwa siku 28 za kusisimua na zenye ushindani.
 

Morocco wapania historia zaidi dhidi ya Ureno

09/12/2022 18:04:53
Morocco inalenga kuwa timu ya kwanza kutoka Afrika kufika hatua ya nusu fainali ya kombe la dunia watakapo kabiliana na Ureno ugani Al Thumama, Doha Desemba 10 Jumamosi.
 

Ufaransa kwenye kibarua kigumu dhidi ya Poland

02/12/2022 00:16:34
Katika azma ya kutetea taji la kombe la dunia, Ufaransa itakabiliana na Poland Jumapili Desemba 4 kwenye mechi ya hatua ya 16.
 

Kuna uwezekano angalau timu moja kutoka Afrika itaaga mashindano

01/12/2022 10:32:51
Kuna uwezekano Cameroon itaaga kombe la dunia 2022 mapema huku Ghana ikipania kisasi dhidi ya Uruguay Ijumaa kwa yaliyotokea 2010.
 

Uhispania dhidi ya Ujerumani kupamba Jumapili

24/11/2022 18:02:19
Baada ya kupata kichapo kutoka kwa Japan, Ujerumani ina kibarua cha ziada ilhali Uhispania itaelekea kwenye mchezo huo mkali siku ya Jumapili ikiwa na matumaini makubwa.
 

Argentina na Ufaransa watarajia mwanzo mzuri kwenye shindano.

21/11/2022 14:48:12
Argentina na Ufaransa ambayo ni mojawapo ya mataifa yanayopigiwa upatu kushinda shindano la kombe la dunia wataanza kampeni zao Novemba 22.