BETWAY Tanzania Home
Local
International
Home
Soka
Ligi Kuu
Njia ya
Michezo Mingine
CSR
Winners
Football
Steve Barker Afunguka Subira ya Ibrahim Doumbia Simba SC - “Mpeni Muda!”
31/07/2026 08:27:46
Kocha Mkuu wa Simba SC, Steve Barker, amewataka mashabiki na wanachama wa klabu hiyo kuacha kumhukumu mapema mshambuliaji wao mpya.
Simba Day 2026 - FC Lupopo Kutua Bongo Kuikabili Simba SC Agosti 8
31/07/2026 08:22:00
Klabu ya FC St Eloi Lupopo kutoka nchini DR Congo inatarajiwa kutua nchini Tanzania muda wowote kuanzia sasa kwa ajili ya kuweka kambi ya kujiandaa na msimu mpya wa mashindano wa 2026/2027.
Yanga Yamwaga Bilioni 15 Usajili Mpya: GSM Aingilia Kati Dili la Mchezaji Mkubwa
29/07/2026 09:07:55
Uongozi wa klabu ya Yanga SC umeonyesha dhati ya kuendelea kutawala soka la ndani na kimataifa baada ya kuweka wazi kuwa imetenga bajeti ya Shilingi bilioni 15.
Simba Yatuma Ujumbe Mzito, Usajili Mpya Kutisha Ligi Na CAF..
17/07/2026 13:44:55
UONGOZI wa klabu ya Simba umeweka wazi dhamira yake kuelekea msimu wa 2026/27, ukisisitiza kuwa haitaki kuridhika na mafanikio...
Simba Yaaga Nyota Saba, Yafungua Ukurasa Mpya Kuelekea Msimu 2026/27
17/07/2026 13:35:05
KLABU ya Simba SC imetangaza rasmi kuachana na wachezaji saba ikiwa ni sehemu ya mpango wa kufanya maboresho ya kikosi kuelekea msimu wa 2026/27.
Pacome Kutimkia Paris, Yanga Wakieleza Haya…
17/07/2026 13:27:12
KIUNGO wa Yanga, Pacome Zouzoua, ametoka hospitalini na kwa sasa anaendelea na hatua za awali za kupona akiwa nyumbani.
KWA MOTO HUU WA SIMBA… LAZIMA JINA LA ‘HII MASHINE’ LIIMBWE SANA MSIMU UJAO…
29/06/2026 11:13:57
Kuanzia Simba ilipoanza maisha na Barker ghafla mambo yamebadilika kwenye kikosi hicho, wekundu hao wakianza kurudi kwenye zama.
Safari ya Fiston Mayele - Kutoka Yanga Hadi Kufunga Kombe la Dunia 2026
29/06/2026 09:08:42
Na sasa bao la Fiston Mayele dhidi ya Uzbekistan katika fainali za Kombe la Dunia 2026 ni miongoni mwa mabao yasiyosahaulika.
Yanga SC Ikiichapa TRA 3-0, Okello Apiga Hat-trick
29/06/2026 08:59:45
Mbio za kuelekea taji la tano mfululizo la Ligi Kuu Bara kwa mabingwa watetezi, Yanga SC, sasa zimefikia hatua ya kukatwa shingo.
KUHUSU KUBEBA MAKOMBE YOTE YA YANGA…BARKER KAKUNA KICHWA WEE... KISHA KASEMA HILI...
24/06/2026 14:19:47
BAADA ya Simba SC kukosa ubingwa kwa misimu minne mfululizo, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Steve Barker, amesema kikosi chake...
|<
<
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
...
>
>|