Football

KUHUSU UBINGWA LIGI KUU 24/25...FADLU MACHO YOTE MITA

27/02/2025 17:43:27
Kocha wa Simba Fadlu Davids amesema mechi mbili zijazo zinaweza kutoa picha halisi ya ubingwa kwa timu yake msimu huu.

HUU HAPA UKWELIA-Z KUHUSU DILI LA MASHINE HII YA KAZI KUTUA YANGA

27/02/2025 17:38:28
BEKI wa kazi Wilson Nangu miongoni mwa wachezaji ambao wanavuja jasho ndani ya JKT Tanzania ambayo ipo ndani ya 10 bora anatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Kariakoo ambao ni Simba na Yanga

HII HAPA MASHINE MPYA YA KAZI YANGA MSIMU UJAO...AFUNGUKA A-Z KUHUSU ENG HERSI

27/02/2025 17:22:14
EBU vuta picha msimu ujao katika safu ya ushambuliaji ya Yanga yenye Prince Dube na Clement Mzize wenye jumla ya mabao

BAADA YA KUMALIZANA NA MOBETTO...HILI HAPA JIPYA LA AZIZI KI HUKO YANGA

27/02/2025 17:14:44
Pia jaribu kupotezea umahiri alionao wa kufunga na kuasisti, ila ukweli ni kwamba kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz KI

HUKO JANGWANI KUNA GUNDU GANI.....MWINGINE ABWAGA MANYANGA YANGA

25/02/2025 15:08:33
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Yanga, kinasema kuwa  siku chache baada ya Meskini, Behlulovic ambaye alijiunga na Yanga chini ya Ramovic pia ameomba

MTZ ALIYESAJILIWA WYDAD AANZA NA 'GUU LA KAZI'...MWAMUZI AKATAA 'MGOLI WAKE WA KIDEO'

25/02/2025 15:04:01
MSHAMBULIAJI wa Kitanzania anayekipig Wydad AC ya Morocco, Seleman Mwalimu 'Gomez' ameanza mechi ya kwanza akiwa na uzi wa timu hiyo iliyotoka suluhu na COD Meknes

KISA SARE NA AZAM JANA...SIMBA WAVUNJA UKIMYA TAMKO LAO HILI HAPA

25/02/2025 14:57:23
BAADA ya Februari 24 2025 ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Simba 2-2 Azam FC mabosi hao wakigawana pointi mojamoja na matajiri wa Dar, Azam FC, Simba wametoa tamko

HATARI NA NUSU AISEEE...KIUNGO WA KAZI YANGA AOMBA KUVUNJA MKATABA...ISHU HII HAPA

17/02/2025 17:27:16
Mwanzoni mwa msimu, Gamondi alijaribu kumtumia Andambwile kwenye eneo la beki wa kati lakini kiuhalisia, ni kiungo mkabaji nafasi ambayo kwa Yanga imekuwa ikichezwa na Khalid Aucho.

BAADA YA KUMPIGA MTU 5 JUZI...KOCHA YANGA APATA CHA KUZUNGUMZA....

27/01/2025 13:20:37
BAADA ya kupata ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Copco FC na kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la FA, Kocha Mkuu wa Yanga, Sead Ramovic, amesema

BAADA YA KUISHIA MAKUNDI CAF...PACOME ASHINDWA KUJIZUIA YANGA

27/01/2025 13:03:45
Baada ya kubeba Ngao ya Jamii, huku Yanga ikishindwa kufikia malengo ya kucheza robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu, Pacome amesema hawatakubali tena kuona wanawaumiza mashabiki