Football

UZOEFU HATUA YA MAKUNDI CAF KULETA MABORESHO YANGA

19/02/2026 07:45:46
KOCHA Mkuu wa Yanga SC, Pedro Goncalves, amesema uzoefu walioupata katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika utakuwa chachu ya maboresho...
 

BARKER AFICHUA MBINU SIMBA KUKABILIANA NA RATIBA...

19/02/2026 07:41:23
KOCHA Mkuu wa Simba SC, Steve Barker, amesema kikosi chake kitapokea mabadiliko ya kila wakati kutokana na changamoto za ratiba nzito za mechi zinazofuata za Ligi Kuu...
 

SIMBA YATUMBUA SURA MPYA... WADHAMINI WASHIKILIA HISA...

19/02/2026 07:33:33
Msajili wa Vyama vya Michezo, Abel Ngilangwa, ametangaza kuidhinishwa kwa marekebisho ya Katiba ya Simba SC, hatua inayohitimisha mchakato wa muda mrefu wa mageuzi...
 

KUELEKEA MECHI NA WAARABU… BEKI ESPERANCE ATAJA MASTAA WA KUCHUNGWA

29/01/2026 08:48:16
Simba ina wakati mgumu katika kundi D la michuano hiyo kwani katika mechi tatu, haina pointi ikiburuza mkia, huku Stade Malien ikiongoza na pointi saba.

KUELEKEA MECHI vs AL AHLY… KOCHA YANGA ATOA KAULI YA KISHUJAA

29/01/2026 08:43:22
Yanga ilipoteza mechi Ligi ya Mabingwa Afrika Ijumaa iliyopita dhidi ya wapinzani wao hao kwa kuchapwa mabao 2-0 mechi iliyopigwa uwanja wa The Borg El Arab katika mji wa Alexandria.

KISA CHAMA KURUDI NYUMBANI... KOCHA SIMBA AVUNJA UKIMYA...

29/01/2026 08:38:05
KOCHA Mkuu wa Simba SC, Steve Barker ameshindwa kujizuia kwa kuonyesha kuvutiwa na urejeo wa kiungo fundi raia wa Zambia, Clatous Chama.
 

KUELEKEA MECHI NA AL AHLY... YANGA WATOA UJUMBE HUU KWA WAARABU...

29/01/2026 08:31:15
Kwa kutambua uzito wa mechi hiyo ya maamuzi, kikosi cha Yanga kimeondoka leo kuelekea Zanzibar kwa ajili ya kambi maalum ya maandalizi ya mwisho kabla ya kuivaa.
 

PAMOJA NA OURA KUTUA SIMBA... AHMED ALLY ATAJA MAMBO MAKUBWA YAYOKUJA...

29/01/2026 07:20:12
Akizungumza kuhusu usajili huo, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally, amesema Oura ni mchezaji mwenye ubora na uzoefu unaohitajika
 

ALICHOSEMA CHIKOLA BAADA YA KUWEKWA KANDO YANGA SC...

28/01/2026 14:11:31
Chikola aliyejiunga na Yanga mwanzoni mwa msimu huu akitokea Tabora United ambayo kwa sasa inafahamika kwa jina la TRA United, ametolewa kwa mkopo wa miezi.
 

USAJILI WA SIMBA WAMKOSHA MAYELE

22/01/2026 10:22:56
STRAIKA wa Pyramids ya Misri na timu ya taifa ya DR Congo, Fiston Mayele, ameonyesha wazi furaha yake baada ya Clatous Chama, kurejea katika klabu ya Simba.