Football

Milan na Napoli kuchuana kwenye mechi Serie A

16/09/2022 09:19:09
AC Milan wataalika SSC Napoli kwenye mechi ya ligi ya Serie A ugani Stadio Giuseppe Meazza Septemba 18.
 

Dortmund wahaha jinsi ya kumdhibiti Haaland

14/09/2022 08:53:50
Erling Haaland anatarajia kuendeleza ubabe wake dhidi ya waajiri wake wa zamani Dortmund, watakapokutana kwenye mechi ya UEFA Champions League siku ya Jumatano Septemba 14.

Inter wapania ushindi dhidi ya Torino

08/09/2022 18:35:40
Inter Milan watakuwa mwenyeji wa Torino FC kwenye mechi ya ligi ugani Stadio Giuseppe Meazza mnamo Septemba 10.
 

City kukabana koo na Spurs baada ya kupoteza alama mbili dhidi ya Villa

08/09/2022 18:28:22
Manchester City na Tottenham watakabiliana kwenye mechi ya ligi ugani Etihad mnamo Septemba 10 Jumamosi. 
 

Inter na Bayern kwenye mechi kali ya UEFA

06/09/2022 13:39:52
Inter Milan watacheza dhidi ya Bayern Munich kwenye mechi ya UEFA Champions kundi C mnamo Septemba 7.
 

Madrid na Betis kutoana kijasho kwenye mechi ya ligi.

02/09/2022 18:20:39
Real Madrid na Real Betis watamenyana ugani Estadio Santiago Bernabéu  katika mechi ya ligi kuu Uhispania mnamo Septemba 3.
 

City watafuta ushindi wa kwanza dhidi ya Reds tangu 1993

31/08/2022 09:12:09
Manchester City watazamia kuendeleza ubabe wao kwenye ligi watakapowaalika Nottingham Forest ugani Etihad Stadium Jumanne Agosti 31.
 

Juventus kukabiliana na Roma katika mechi wa Serie A

26/08/2022 11:38:01
Juventus FC watakuwa mwenyeji wa AS Roma kwenye mechi ya ligi ya Serie A ugani Allianz Stadium mnamo Agosti 27.
 

Valladolid kwenye mtihani mgumu dhidi ya Barca

25/08/2022 11:22:10
Barcelona watakaribisha timu ya Real Valladolid Camp Nou kwa ajili ya mechi ya ligi Agosti 28 Jumapili huku wakiendelea kuwafukuzia wanaoongoza ligi.
 

Blues wapania kuongeza masaibu zaidi kwa Foxes

25/08/2022 11:17:42
Chelsea wananuia kupata ushindi kwenye mechi ya ligi dhidi ya Leicester watakapokabiliana ugani Stamford Bridge Jumamosi Agosti 27.