Football

Leicester wapania ushindi nyumbani dhidi ya Spurs

13/12/2021 17:00:56
Leicester City watapania kushinda mechi ya ligi nyumbani dhidi ya Tottenham Hotspur kwa mara ya tatu ndani ya miaka saba ugani King Power Disemba 16. 
 

Wachezaji watatu wanaowania kiatu cha dhahabu EPL

09/12/2021 13:27:06
Mbio kuwania taji la ufungaji bora katika ligi ya premier zinaendelea kupamba moto huku wachezaji wengi wakiwania tuzo hilo. 
 

Gerrard arejea Liverpool akiwa kocha wa villa.

09/12/2021 10:37:56
Liverpool wataialika Aston Villa ugani Anfield katika juhudi zao za kupigania ubingwa wa ligi mnamo Disemba 11.

Real na Atletico kutoana kijasho katika Debi ya Madrid

08/12/2021 08:20:23
Real Madrid watakuwa wenyeji wa Atletico Madrid katika mechi ya ligi kuu ya Uhispania Disemba 12 ugani Estadio Santiago Bernabéu.

Venezia kuizamisha zaidi Juventus

07/12/2021 16:39:35
Venezia FC na Juventus watakutana katika mechi ya ligi Disemba 11 kwenye uwanja wa Stadio Pierluigi Penzo.
 

Madrid dhidi ya Inter kuamua mshindi wa kundi D

06/12/2021 17:01:10
Real Madrid wataialika Inter Milan Disemba 7 katika mechi ya ligi klabu bingwa barani ulaya kundi D.
 

Arsenal wapania kuizamisha Everton

03/12/2021 13:56:12
Arsenal watanuia kutonesha zaidi kidonda cha Everton katika mechi za ligi msimu huu watakapokutana ugani Goodson Park Jumatatu jioni.

Sociedad kuzima nyota ya Madrid

02/12/2021 11:02:57
Real Sociedad watakuwa wenyeji wa Real Madrid katika mechi ya ligi uwanjani Reale Arena, kwa jina lingine Estadio de Anoeta mnano Disemba 4.
 

Napoli kuwaalika Atalanta

02/12/2021 10:51:32
SSC Napoli itakuwa mwenyeji wa Atalanta BC uwanjani Estadio Diego Armando Maradona katika mechi ya ligi Disemba 4.

Genoa kutonesha zaidi vidonda vya Milan

30/11/2021 10:16:36
Genoa CFC wataialika AC Milan katika mechi ya ligi kuu Italia ugani Stadio Comunale Luigi Ferraris Disemba mosi.