Football

Ureno na lengo la Kuongoza kundi A tena

10/11/2021 14:26:08
Ureno itakuwa na lengo la kuongoza kundi A mara tena watakapochuana na Jamhuri ya Ireland katika mechi ya kufuzu kombe la dunia mwaka 2022 Alhamisi hii. 

Tanzania kukabiliana na DR Congo

09/11/2021 16:01:00
Tanzania itamenyana na jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo katika mtanange wa kufuzu kombe la dunia mwaka 2022 wa kundi J Novemba 11.

Wachezaji 10 wakutazama chini ya miaka 25 kwenye Ligi ya Mabingwa

05/11/2021 14:14:18
Ligi ya Mabingwa imerejea kwa mechi kali hatua ya makundi. Huku timu 32 kutoka ligi bora zaidi barani Ulaya zikiwania taji za Ligi ya Mabingwa, moja ya msimu bora zaidi.
 

Man United inaonekana kuamka inapomualika mpinzani City.

04/11/2021 16:15:05
Manchester United itafufua uhasama wake na mpinzani wake wa jadi Mnchester city katika mechi ya ligi ugani Old Trafford Jumamosi hii.

Real kumenyana na Vallecano katika debi ya Madrid.

03/11/2021 14:27:40
Novemba 6 Real Madrid wataialika Real Vallecano Estadio Santiago Bernabeu katika mechi ya ligi kuu ya Uhispania.

Juventus kutoana kijasho na Fiorentina

03/11/2021 13:49:34
Juventus FC watakuwa wenyeji wa ACF Fiorentina katika mchezo wa ligi kuu ya Italia mnamo tarehe 6 Novemba ugani Allianz Stadium.

Atalanta wanuia kulipiza kisasi kwa United

02/11/2021 16:15:15
Baada ya kupata kichapo Old Trafford, Atalanta itakuwa na uchu wa kulipiza kisasi kwa Manchester United Novemba 2 katika mchezo wa mabingwa wa kundi F.

Verona wapania kuwatia machungu zaidi Juventus

29/10/2021 09:28:12
Oktoba 30 Hellas Verona itawaalika Juventus uga wa nyumbani Stadio Marc’Antonio Bentegodi katika mchezo wa ligi kuu ya Serie A, Italia.
 

Elche wanuia kuzima ndoto ya ubingwa wa ligi wa Real Madrid

29/10/2021 09:11:35
Elche CF na Real Madrid watakabana koo kwenye mchuano wa ligi utakaogaragazwa katika uwanja wa nyumbani wa Elche, Estadio Manuel Martinez Valero Oktoba 30.
 

Red Devils kuja na makali baada ya kutandikwa na Liverpool nyumbani

28/10/2021 09:31:11
Manchester united wanapania kupata matokeo mazuri watakapokutana na Tottenham Hotspurs Jumamosi hii baada ya kupata kichapo kikali mikononi mwa Liverpool kwenye mchezo wa ligi kuu Engalnd msimu huu wa 2021/22.