Football

Wababe Juventus na Milan kumenyana Serie A

16/09/2021 15:05:59
Juventus itapimana nguvu na wababe wenzao AC Milan mechi ya ligi kuu ya Italia Serie A Jumapili tarehe 19 Septemba katika uwanja wa Allianz.

Spurs na Chelsea kuwasha Derby ya London

15/09/2021 09:24:35
Tottenham Hotspur watawakaribisha Chelsea Jumapili hii katika mechi ya ligi kuu ya England 2021/22 inayotarajiwa kuwa derby ya London ya kusisimua sana.
 

Mtanange mkubwa waja- Barcelona na Bayern

14/09/2021 09:20:40
Barcelona watatazamia kudhihirisha nia yao katika Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya watakapowakaribisha  Bayern Munich kwenye mechi ya kundi E jumanne jioni.

Napoli, Juventus mtanange mkubwa wa Serie A

08/09/2021 14:57:42
SSC Napoli itamenyana na Juventus FC mechi ya ligi kuu ya Italia katika uwanja wa Diego Armando Maradona tarehe 11 Septemba.

Mwanzo wa marejeo ya Christiano Ronaldo

08/09/2021 10:54:18
Cristiano Ronaldo atakuwa kivutio kikubwa zaidi Jumamosi hii katika uwanja wa Old Trafford atakapoicheza Manchester United mechi yake ya kwanza tangu kujiunga tena na klabu hiyo, watakapowakarabisha Newcastle ligi kuu ya England.
 

Sevilla yalenga kuiokomesha Barcelona

08/09/2021 07:07:32
Sevilla FC itakutana na FC Barcelona kwenye ligi kuu ya Uhispania katika uwanja wa Estadio Ramón Sánchez Pizjuán jumamosi Septemba 11. 

Manchester City walenga kuongeza masaibu ya Arsenal

26/08/2021 15:44:44
Manchester City wanalenga kuwaongezea Arsenal dhiki ya mwanzo mbaya wa msimu timu hizo mbili zitakapokutana kwenye mechi ya ligi kuu ya England katika uwanja wa Etihad Jumamosi hii.

Juventus yaisubiri Empoli kwa uangalifu

25/08/2021 15:11:18
Juventus FC itacheza dhidi ya Empoli kwenye ligi kuu ya Italia- Serie A katika uwanja wa Allianz mnamo Agosti 28.

Atleti yalenga kudumisha mwanzo mzuri wa LaLiga

20/08/2021 13:20:10
Mabingwa watetezi Atletico Madrid wanalenga kuendeleza mwanzo wao mzuri katika msimu wa  2021/22 wa Laliga watakapowakaribisha Elche kwenye uwanja wa Wanda Metropolitano jumapili.  

Udinese, Juve tayari derby ya michirizi

20/08/2021 11:30:29
Timu za Udinese na Juventus zitafungua msimu wa ligi kuu ya Italia- Serie A zitakapokutana katika mtanange uitwao derby ya ‘michirizi nyeusi na nyeupe’ kwenye uwanja wa Dacia Arena mjini Udine Jumapili Agosti 22 jioni