Football

Tanzania Chukua Lengo Katika Hatari Benin

05/10/2021 15:29:56
Tanzania itacheza na Benin katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia la 2022 - Kundi J mnamo Oktoba 07.
 

Torino, Juventus kukutana Derby ya della Mole

29/09/2021 16:13:49
Torino FC itapimana nguvu na mahasimu wao wa mjini, Juventus FC katika ligi kuu ya Italia - Serie A kwenye uwanja wa Stadio Olimpico Grande Torino Octoba 02. 

Kipute kingine cha Wababe Liverpool na Man City

29/09/2021 16:03:14
Liverpool na mabingwa watetezi Manchester City watakutana tena katika mtanane mwingine wa ligi kuu ya England msimu huu wa 2021/22 katika uwanja wa Anfield siku ya Jumapili.

Atletico, Barcelona kumenyana La Liga

29/09/2021 15:52:26
Atletico Madrid itakutana na FC Barcelona kwenye Ligi kuu ya Uhispania- La Liga katika uwanja wa Estadio Wanda Metropolitano jumamopsi Octoba 02. 

PSG, Man City kukutana Ubingwa wa Ulaya

27/09/2021 16:11:02
Paris Saint Germain (PSG) itapambana na Manchester City mechi ya kundi A, Ligi ya klabu Bingwa Ulaya mnamo Septemba 28.

Madrid kuwafyeka Villarreal

24/09/2021 12:19:06
Real Madrid watacheza dhdi ya Villarreal CF ligi kuu ya Uhispania- La Liga katika uwanja wa  Estadio Santiago Bernabéu Septemba 25. 

Milan yalenga kuendeleza mwanzo mzuri Serie A

24/09/2021 11:30:53
AC Milan watakuwa wanalenga kuendeleza mwanzo mzuri ambao wamekuwa nao msimu huu wa 2021/22 Ligi kuu ya Italia Serie A watakapocheza dhdi ya Spezia Jumamosi alasiri.

Mtanange wa miamba Chelsea na Man City

23/09/2021 09:24:47
Chelsea inawakaribisha Manchester City mechi ya Ligi kuu ya England katika Stamford Bridge tarehe 25 Septemba.

Juventus yamulika ushindi wa kwanza katika Serie A

21/09/2021 11:00:27
Juventus watakuwa wanatafuta ushindi wa kwanza kabisa katika msimu huu wa 2021/22 wa Ligi kuu ya Italia- Serie A jumatano jioni.

Cadiz Yajitapa Itakomesha Barcelona

21/09/2021 10:48:42
Cadiz CF itapimana nguvu na FC Barcelona mechi ya ligi kuu ya Uhispania, La liga, katika uwanja wa Ramón de Carranza Stadium tarehe 23 Septemba.