BETWAY Tanzania Home
Local
International
Home
Soka
Ligi Kuu
Njia ya
Michezo Mingine
CSR
Winners
Football
KISA PACOME...GAMONDI AWAPIGA MKWARA MAMELOD...
04/04/2024 14:43:58
Katika mchezo wa mkondo wa kwanza timu hiyo iliwakosa Pacome, Khalid Aucho, Pacome Zouzoua na Yao Attohoula kwa sababu ya kuwa majeraha na kuukosa mechi hiyo uliochezwa uwanja wa Benjamin Mkapa Dar es Salaam kwa timu zote
MNARA WA CHAMA WAANZA KUSOMA SIMBA...
25/03/2024 13:37:47
Chama aliyekuwa amesimamishwa na uongozi kwa tuhuma za utovu wa nidhamu sambamba na kiungo Nassor Kapama aliyepo Mtibwa Sugar kwa sasa, tangu amerejea kwenye fainali za Afcon 2023 alipoenda na timu ya taifa ya Zambia na kuishia makundi
HIVI NDIVYO DUBE ANAVYOZIGONGANISHA SIMBA NA YANGA...ISHU YAKE YAPAMBA MOTO
25/03/2024 11:49:58
Prince Dube ameendelea kuzivuruga Simba na Yanga. Mashabiki wa klabu hiyo wamegawanyika kwa sasa baada ya kuibuka kwa taarifa nyota huyo
KUELEKEA MECHI vs AL AHLY...KADUGUDA AIBUKA NA HILI JIPYA
16/03/2024 10:18:41
Simba SC imepangwa kukutana na Al Ahly katika mchezo wa Robo Fainali utakaopigwa Ijumaa (Machi 29), Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam
BAADA YA KUTUPIA JUZI...CHASAMBI AFUNGUKA KUWA NA HOFU SIMBA
05/03/2024 11:03:17
KIUNGO wa Simba, Ladack Chasambi amesema siri kubwa anayoambiwa na Kocha Abdelhak Benchikha anamuamini anatakiwa kupambana na kufuata yale aliyompa katika uwanja wa mazoezi
EPL - Manchester United v Fulham
23/02/2024 15:25:54
Manchester United wanapania ushindi wa tano mfululizo kwenye ligi kwa mara ya kwanza ndani ya miezi 13 watakapowakaribisha Fulham ugani Old Trafford Jumamosi Februari 24.
WAWA AWASHTUA SIMBA NA HILI KUHUSU JANJA JANJA YA ASEC MIMOSAS
22/02/2024 17:00:50
Jumamosi (Februari 24) Simba SC itashuka dimbani nchini Ivory Coast kucheza mechi yao ya Mzunguuko wa tano dhidi ya Asec Mimosas ikiwania nafasi ya kufuzu hatua
'MASTA' GAMONDI ALIVYOWATUMIA AL AHLY KUMALIZANA MAPEMA NA CR BELOUIZDAD MECHI YA JMOSI....
22/02/2024 09:25:18
Yanga inahitaji ushindi wa idadi kubwa ya mabao dhidi ya CR Belouizdad ya Algeria, watakaocheza Jumamosi hii uwanja wa Benjamin Mkapa Dar es Salaam
AZIZ KI, DIARRA WAMPA TABASAMU GAMONDI NA YANGA YAKE
19/02/2024 13:39:47
KOCHA Mkuu wa Yanga Miguel Gamondi ameshusha presha, na kusema sasa ana matumaini makubwa ya kufanya vyema katika mechi zinazofuata baada ya kurejea
KUELEKEA MECHI YAO NA WAARABU...YANGA WAANZIA MBALI...TAARIFA ZA CAF HIZI HAPA
19/02/2024 13:18:32
Kikosi cha Young Africans kimeanza maandalizi ya kuikabili CR Belouizdad ya Algeria katika mchezo wa Raundi ya Tano wa hatua ya makundi wa Ligi ya Mabingwa Afrika
|<
<
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
...
>
>|