Football

MAMBO YA MPANZU HUKO SIMBA SASA NI BAMBAM...CAF WAPITISHA JINA LAKE....

02/01/2025 00:08:46
Mpanzu ni miongoni mwa usajili uliofanywa kipindi cha dirisha dogo na kucheza mechi tatu za Ligi Kuu Tanzania Bara na Juzi wamefanikiwa kupata kibali cha kumtumia

KUELEKEA CHAN 24...TANZANIA YAPEWA UPENDELEO...CAF 'WAAGIZA' IFIKE FAINAL

20/12/2024 11:01:46
RAIS wa Shirikisho la mpira wa miguu Afrika (CAF), Patrice Motsepe amesema anatamani kuiona Tanzania ikifika fainali ya michuano ya kombe la Mataifa
 

ZA NDAAANI KABISA....SIMBA, YANGA, MAZEMBE KUNG'OA VIFAA HIVI VYA KAZI FOUTAIN GATE...

20/12/2024 10:59:50
KLABU za Simba, Yanga na TP Mazembe zimetajwa kupeleka ofa katika klabu ya Fountain Gate kwa ajili ya kuhitaji nyota wa timu hiyo katika dirisha dogo 
 

KUELEKEA DIRISHA DOGO...UKIACHA NA MPANZU..MASHINE NYINGINE HIZI HAPA KUTUA SIMBA

11/12/2024 21:21:31
Tetesi zinadai Simba huenda ikamsajili straika Mganda, Denis Omendi mwenye miaka 30 kutoka Klabu ya Kitara FC ya Uganda, ili kuongeza nguvu safu hiyo ambayo ina Mcameroon, Leonel Ateba na Steven Mukwala pia kutoka Uganda

MASTAA YANGA WAFUNGUKA WALIYOYAPITIA KUFUNGWA MECHI 3 MFULULIZO

06/12/2024 21:13:54
WACHEZAJI wa Yanga wamekiri kuwa walikuwa kwenye wakati mgumu baada ya kupoteza michezo mitatu mfululizo

HAYA HAPA MAAJABU YA KOCHA MPYA HUKO YANGA....MASTAA WAFICHUA WANAYOFANYIWA

22/11/2024 21:07:39
Mkwara huo wa Ramovic ukaamsha ushindani mpya ndani ya timu hiyo kwa kila mchezaji kuanza kuonyesha anaitaka nafasi ambapo kila staa amekuwa zaidi ya siriazi akijitafutia 
 

KUELEKEA MECHI ZA CAF....SIMBA WASHTUKIA JAMBO....WATUMA TAARIFA BODI YA LIGI CHAP

15/11/2024 21:02:52
Habari kutoka ndani ya klabu hiyo zimesema kuwa uongozi wa Simba pamoja na Kocha Mkuu, Fadlu Davids

YAMETIMIA....GAMONDI NA MSAIDIZI WAKE WATUPIWA VIRAGO YANGA....CHANZO HIKI HAPA

15/11/2024 20:55:10
Taarifa ya kufutwa kazi kwa makocha hao imetolewa na Ofisi ya Mtendaji Mkuu wa Yanga ikisema: “Uongozi wa Young Africans Sports...

UNAKUMBUKA ULE MGOLI WA BALUA DHIDI YA AL AHLI....HII HAPA SABABU YA YEYE KUFANYA VILE

30/09/2024 09:34:57
Nyota wa Simba kiungo Edwin Balua aliyewazima wapinzani wao kwenye anga la kimataifa jioni amefichua

UNAIKUMBUKA ILE KAZI YA KAPOMBE KWA MABULULU...SASA UKWELI WOTE UKO HIVI KUMBE...

28/09/2024 09:28:36
BEKI wa Simba, Shomari Kapombe amefunguka kuwa alipewa jukumu la kuhakikisha anafanikiwa kumzuia mshambuliaji wa Al Ahly...