Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

Magic na nia ya kuwabana 76ers

24/11/2022 17:47:47
The Orlando Magic wanatarajia ushindi dhidi the Philadelphia 76ers timu hizo zitakapokutana kwenye mechi ya ligi ya mpira wa kikapu National Basketball Association (NBA) katika ukumbi wa Amway Center Orlando, Florida Jumamosi 26 Novemba saa nane asubuhi majira ya Afrika ya kati.
 

Argentina na Ufaransa watarajia mwanzo mzuri kwenye shindano.

21/11/2022 14:48:12
Argentina na Ufaransa ambayo ni mojawapo ya mataifa yanayopigiwa upatu kushinda shindano la kombe la dunia wataanza kampeni zao Novemba 22.
 

Cup In Qatar – Tanzania

18/11/2022 17:55:16
Afrika inawakilishwa vyema katika Kombe la Dunia, pamoja na kukosekana kwa baadhi ya mataifa makubwa. Licha ya juhudi za kubwa zilizofanywa na timu za Kiafrika hapo awali, rekodi za bara la Afrika kwenye michuano hiyo bado si nzuri. Je, tutaona timu ya Afrika ikitinga Nusu Fainali?
 

Verstappen na Perez kushirikiana katika mbio za Abu Dhabi

18/11/2022 14:23:13
Max Verstappen amehapa kumsaidia dereva mwenza wa Red Bull Sergio Perez katika mbio za kukamilisha msimu za Abu Dhabi Grand Prix Jumapili Novemba 20.
 

Trail Blazers kuwabana zaidi Nets

16/11/2022 11:15:38
Portland Trail Blazers watakabana koo na Brooklyn Nets kwenye mechi ya ligi ya National Basketball Association (NBA) Novemba 18.
 

Verstappen aotea mafanikio zaidi Sao Paulo

11/11/2022 18:20:28
Dereva wa Red Bull Racing Max Verstappen anatarajia kupata ushindi wake wa 15 msimu huu kwenye mbio za Brazilian Grand Prix Jumapili Novemba 13.