Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
11/10/2022 17:15:09
Bashiri 1X2 kwenye orodha mechi tulizozichagua za soka na mkeka ukitiki, utajishindia hadi TSh 5 bilioni. Zaidi ya hayo, kuna bonasi kubwa.
Hawa ni baadhi ya washindi wetu
11/10/2022 13:27:22
Barcelona wana kibarua cha ziada katika azma yao ya kufuzu kuingia hatua ya muondoano ya mechi za UEFA watakapomkaribisha Inter Milan Camp Nou Jumatano Oktoba 12.
07/10/2022 11:00:08
AC Milan watakuwa mwenyeji wa Juventus FC katika mechi ya ligi kuu Italia Oktoba 8 ugani Stadio Giuseppe Meazza.
07/10/2022 10:35:53
Arsenal itakuwa na mtihani mkubwa watakapoialika Liverpool ugani Emirates kwenye mechi ya ligi kuu England Jumapili Oktoba 9.
03/10/2022 13:22:14
Inter Milan na Barcelona watamenyana vikali katika mechi ya UEFA kundi C Oktoba 4.
30/09/2022 17:28:38
Manchester City wanatarajia kupata ushindi wa tatu mfululizo dhidi ya United watakapokutana kwenye mechi ya 188 baina yao Jumapili Oktoba 2.