Latest Soccer News
Habari za hivi punde za Michezo

FA Community Shield  - Arsenal FC v Manchester City

02/08/2023 15:46:58
Arsenal FC na Manchester City watamenyana kwenye mechi ya Ngao ya Jamii 2023, maarufu kama FA Community Shield ugani Wembley mnamo Agosti 6.
 

WAKATI MASHABIKI WAKIMUWAZA MIQUISSONE..AHMED ALLY AANIKA 'CODE' MUHIMU YA KUZINGATIA

27/07/2023 17:09:26
Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally alisema atakuwa sehemu ya kuongoza msafara wa uzinduzi

F1 - 2023 Belgian Grand Prix

27/07/2023 16:58:22
Max Verstappen anapania kuwa dereva wa nne katika historia kushinda mbio za Belgian Grand Prix mara tatu mfululizo baada ya Michael Schumacher, Ayrton Senna na Jim Clark. 
 

F1 - 2023 Formula One World Championship 

21/07/2023 18:05:46
Max Verstappen ana imani kuwa atashinda mbio za magari za Hungarian Grand Prix kwa mara ya pili na kuimarisha nafasi yake ya kushinda shindano la Formula One msimu huu.
 

HUKU ISHU YA CHAMA IKIZIMWA KIMYA KIMYA...MBRAZILI ASHINDWA KUJIZUIA KUHUSU MASTAA WAPYA

21/07/2023 17:53:25
KOCHA mkuu wa Simba, Mbrazil, Robert Oliveira 'Robertinho' ameuambia uongozi wa timu huyo kuhakikisha anawapata

WAKATI YANGA WAKIKUBALI YAISHE KWA MAYELE...KIFAA KIPYA KITAKACHOMRITHI HIKI HAPA

21/07/2023 17:01:07
Ofisa habari wa Yanga, Ali Kamwe alisema wamekamilisha usajili wa winga huyo anbaye amecheza timu