Latest Soccer News
Habari za hivi punde za Michezo
31/05/2023 13:12:18
Manchester City watamenyana na Manchester United katika mechi ya fainali ya kombe la FA mnamo Juni 3 Jumamosi ugani Wembley.
26/05/2023 13:47:21
Manchester United wanatazamia kuendeleza ubabe wao dhidi ya Fulham watakapokutana kwenye mechi ya ligi ya kumalizia msimu mnamo Jumapili Mei 28.
24/05/2023 15:26:16
KOCHA mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amefanikiwa kunasa faili ya USM Alger kwa kubaini ubora na madhaifu ya mpinzani wao huyo kuelekea mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika.
22/05/2023 16:40:10
Bodi ya Wakurugenzi ya Simba chini ya Mwenyekiti wake, Salim Abdallah (Try Again), imesema imekabidhi majukumu yote ya usukaji kikosi kipya kwa ajili ya msimu ujao kwa Kocha Mkuu, Robertinho Oliveira
19/05/2023 14:41:58
Manchester City watatawazwa mabingwa wa ligi ya Premier kwa mara ya tatu mfululizo iwapo wataibuka na ushindi dhidi ya Chelsea ugani Etihad Jumapili Mei 21.
16/05/2023 13:25:22
City ambao ni mabingwa wa ligi ya England hawajapoteza mechi ya UEFA msimu huu wakiwa nyumbani. Wameshinda mechi zote tano wakiwa nyumbani huku wakifanikiwa kufunga magoli 20 na kuruhusu magoli 2 tu.