Latest Soccer News
Habari za hivi punde za Michezo
26/08/2022 11:38:01
Juventus FC watakuwa mwenyeji wa AS Roma kwenye mechi ya ligi ya Serie A ugani Allianz Stadium mnamo Agosti 27.
25/08/2022 11:22:10
Barcelona watakaribisha timu ya Real Valladolid Camp Nou kwa ajili ya mechi ya ligi Agosti 28 Jumapili huku wakiendelea kuwafukuzia wanaoongoza ligi.
25/08/2022 11:17:42
Chelsea wananuia kupata ushindi kwenye mechi ya ligi dhidi ya Leicester watakapokabiliana ugani Stamford Bridge Jumamosi Agosti 27.
25/08/2022 11:12:35
Mbio za langalanga za Belgian Grand Prix 2022 zinatarajiwa kufanyika Stavlot, ambao ni mji uliopo mkoa wa Liège, nchini Belgium Agosti 28.
22/08/2022 09:57:51
Utajisikiaje ukipokea ujumbe kuwa umeshinda Free Bet au pesa taslimu au uamke na TV, home theatre jiko na mashine ya kufulia vyote vipya kwa kutabiri matokeo ya mechi tu.
17/08/2022 17:34:58
Shindano la gofu la BMW Championship mwaka 2022 linatarajiwa kung’oa nanga Wilmington Country Club, Delaware, Marekani kati ya tarehe 18 na 21 Agosti