Football

SIMBA WALIVYOTAMATISHA TAMASHA LAO KIBABE JANA...VIFAA VIPYA MHHHHH

11/09/2025 15:54:32
Mchezo huo uliofanyika jana Septemba 10, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, Simba imeibuka na ushindi wa mabao 2-0, huku ikilipa kisasi mbele ya Gor Mahia.

PAMOJA NA OFA YA BIL 2 MEZANI...HIZI HAPA SABABU ZA NDAANI KABISA MZIZE KUBAKI YANGA

31/08/2025 15:48:21
KELELE na tetesi nyingi zilizokuwa zikimuhusisha mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize kutakiwa na timu mbalimbali za ndani na nje ya Afrika, zimezimwa rasmi na klabu hiyo baada ya kutangaza itaendelea kuwa naye, huku sababu ya uongozi kufanya uamuzi huo ukibainika.

PAMOJA NA KUSAJILIWA KWA DAU NONO...SIMBA WAMPA MASHARTI HAYA MAZITO BAJABER

05/08/2025 15:44:21
Chanzo kutoka Simba, kimesema kwamba, ndani ya mkataba huo wa miaka miwili aliopewa Mkenya huyo, kuna kipengele cha bonasi endapo atafikia malengo aliyowekewa.
 

CHAN 2024: HIVI NDIVYO TANZANIA ILIVYOZIPIGA BAO KENYA, UGANDA...KAZI IKO HAPA

05/08/2025 15:31:07
TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, imeandika ukurasa mpya kwa ukanda wa Afrika Mashariki baada ya kuanza kwa kishindo

WAKATI YANGA WAKIFANYA FUJO...MO DEWJI KUSAJILI KILA STAA MPYA SIMBA KWA MIL 560...FADLU MENO NNJE

29/07/2025 19:33:18
Msimu uliopita Simba ilijinadi inajenga timu na kufanya maajabu ya kumaliza ya pili Ligi Kuu na kufika fainali ya CAF, lakini baada ya kumalizika kwa msimu tayari imeshawapa

BHAASSIIIII...FEI TOTO MIWILI SIMBA SHWAAA...AZAM FC HAWAAMINI MACHO YAO

29/07/2025 14:22:44
Chanzo hicho kimesema kwamba, mchezaji huyo ambaye pia anaichezea timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, ameshafikia makubaliano binafsi ya klabu ya Simba, ambapo kinachosubiriwa ni

PACOME KUSALIA YANGA...? HII HAPA TAARIFA ZA NDAAANI KABISA KUHUSU HATMA YAKE

04/07/2025 15:15:18
Kamwe ametaja baadhi ya nyota ambao wanafanyiwa kazi ili wabakie kuwa sehemu ya kikosi cha Yanga kuwa ni pamoja na kiungo mkabaji Khalid Aucho, mshambuliaji hatari Pacome

KUHUSU FEI TOTO KUMALIZANA NA YANGA...UKWELI HUU HAPA...MWENYEWE KAANIKA KILA KITU

04/07/2025 15:08:10
Fei Toto amesema kwa sasa bado ni mchezaji halali wa Azam FC, akiwa na mkataba wa mwaka mmoja zaidi, hana mamlaka ya kuzungumzia mipango ya klabu nyingine

SIMBA & FADLU WAVIZIANA...MWENYEWE ATIA MSIMAMO HUU MPYA KUHUSU WACHEZAJI

04/07/2025 15:02:03
FADLU Davids, Kocha Mkuu wa Simba SC amesema kuwa kwa msimu wa 2024/25 wamejitahidi kupambana na kufikia malengo

YANGA BINGWA 2024/25...SIMBA PAMOJA NA KUJIBANA BANA SANA MWISHO WAKUBALI KUACHIA

25/06/2025 14:56:34
KLABU ya Yanga imejihakikishia ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa msimu wa 2024-2025, ikiwa ni mara ya nne mfululizo, baada ya kuibuka na ushindi wa bao 2-0 dhidi ya Simba