BETWAY Tanzania Home
Local
International
Home
Soka
Ligi Kuu
Njia ya
Michezo Mingine
CSR
Winners
Football
PACOME, YAO NA DUBE WATENGWA YANGA.....RAMOVIC AWAPIGA 'MKWARA WA KUFA'
27/01/2025 11:39:50
Yanga itaanza mechi za duru la pili la Ligi Kuu Bara kwa kula kiporo dhidi ya Kagera Sugar wikiendi ijayo kabla ya kucheza mechi nyingine ndani ya Februari na kusubiri kuja kuvaana na watani wao, Simba katika Dabi ya Kariakoo itakayipigwa Machi 8, likiwa pambano la kwanza
BAADA YA KUFUZU KIBABE KWENDA 8 BORA CAF...HILI HAPA NENO LA MO DEWJI KWA SIMBA
22/01/2025 16:49:17
Wakati huo huo, kikosi cha Simba kimepewa mapumziko ya siku nne, baada ya hapo kinatakiwa kurejea kwa ajili ya mchezo wa Kombe la FA, pamoja na Ligi Kuu Tanzania Bara
PAMOJA NA KUONGOZA LIGI...FADLU AVUNJA UKIMYA SIMBA...ATAJA MASTAA ANAOWATAKA
02/01/2025 00:28:58
KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davids, amesema baada ya kumalizika kwa mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Tanzania Bara, anatarajia kwenda kukaa na viongozi
HAYA SASA YANGA MSHINDWE WENYEWE TU...REFA MECHI NA MAZEMBE NI
02/01/2025 00:24:46
Takwimu za mwamuzi Heeralall zinaonyesha amechezesha mechi 20 za CAF ngazi ya klabu ambapo kati ya hizo 15 timu zilizocheza zikiwa nyumbani zilishinda.
RASMIII...KERO ZA CHAMA ZARUDI UPYAA YANGA...KAZI KUANZIA KWA MAZEMBE
02/01/2025 00:19:19
Msemaji wa Yanga, Ali Kamwe alithibitisha kwa kusema kuwa, baada ya kukaa nje kwa michezo kadhaa, wachezaji hao watatu wamerejea uwanjani kufanya mazoezi
MAMBO YA MPANZU HUKO SIMBA SASA NI BAMBAM...CAF WAPITISHA JINA LAKE....
02/01/2025 00:08:46
Mpanzu ni miongoni mwa usajili uliofanywa kipindi cha dirisha dogo na kucheza mechi tatu za Ligi Kuu Tanzania Bara na Juzi wamefanikiwa kupata kibali cha kumtumia
KUELEKEA CHAN 24...TANZANIA YAPEWA UPENDELEO...CAF 'WAAGIZA' IFIKE FAINAL
20/12/2024 11:01:46
RAIS wa Shirikisho la mpira wa miguu Afrika (CAF), Patrice Motsepe amesema anatamani kuiona Tanzania ikifika fainali ya michuano ya kombe la Mataifa
ZA NDAAANI KABISA....SIMBA, YANGA, MAZEMBE KUNG'OA VIFAA HIVI VYA KAZI FOUTAIN GATE...
20/12/2024 10:59:50
KLABU za Simba, Yanga na TP Mazembe zimetajwa kupeleka ofa katika klabu ya Fountain Gate kwa ajili ya kuhitaji nyota wa timu hiyo katika dirisha dogo
KUELEKEA DIRISHA DOGO...UKIACHA NA MPANZU..MASHINE NYINGINE HIZI HAPA KUTUA SIMBA
11/12/2024 21:21:31
Tetesi zinadai Simba huenda ikamsajili straika Mganda, Denis Omendi mwenye miaka 30 kutoka Klabu ya Kitara FC ya Uganda, ili kuongeza nguvu safu hiyo ambayo ina Mcameroon, Leonel Ateba na Steven Mukwala pia kutoka Uganda
MASTAA YANGA WAFUNGUKA WALIYOYAPITIA KUFUNGWA MECHI 3 MFULULIZO
06/12/2024 21:13:54
WACHEZAJI wa Yanga wamekiri kuwa walikuwa kwenye wakati mgumu baada ya kupoteza michezo mitatu mfululizo
|<
<
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
...
>
>|