BETWAY Tanzania Home
Local
International
Home
Soka
Ligi Kuu
Njia ya
Michezo Mingine
CSR
Winners
Football
HATIMAYE, KARIAKOO DERBY KUPIGWA ISAMUYO, VITA YAANZA RASMI
29/04/2026 15:08:30
Kariakoo Derby inaendelea kubaki kuwa moja ya mechi zinazovuta hisia za mashabiki wengi, si tu nchini Tanzania bali pia katika ukanda wa Afrika Mashariki, kutokana na historia yake.
CAMARA AVUNJA UKIMYA, AWEKA WAZI SAFARI YAKE NA SIMBA
29/04/2026 15:02:58
KIPA wa Simba SC, Moussa Camara, amevunja ukimya na kufunguka kuhusu changamoto ya majeraha aliyopitia, akisema hali hiyo inaweza kumrudisha nyuma mchezaji katika kufikia.
TETESI ZA USAJILI ULAYA - ENZO FERNANDEZ AINGIA ANGA ZA MANCHESTER CITY
29/04/2026 14:43:44
MANCHESTER City inafikiria kufanya jaribio la kumsajili kiungo wa Chelsea na timu ya taifa ya Argentina, Enzo Fernández, 25, katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
SIMBA FULL NONDO MAPINDUZI CUP... BARKER ATIA AHADI...
29/04/2026 14:33:14
KOCHA Mkuu wa Simba, Steve Barker, amesema kikosi chake kipo tayari kwa changamoto ya mashindano ya Kombe la Muungano, akisisitiza kuwa maandalizi yao yamekamilika.
KISASI KINAKUJA SIMBA KUKUTANA NA MLANDEGE NUSU FAINALI
29/04/2026 14:26:51
Mchezo wa nusu fainali kati ya Simba na Mlandege unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa, ukiwa umebeba hisia za kisasi na heshima. Simba itaingia uwanjani.
SIMBA WAITAKA YANGA ZANZIBAR NA BARA
23/04/2026 08:56:24
Simba wanaingia katika mashindano hayo wakiwa na morali kubwa na matumaini ya kufanya vizuri, wakilenga kuanza kwa ushindi ili kujihakikishia nafasi ya kusonga mbele na kuendeleza.
BARKER ATOA MSIMAMO MKALI SIMBA, KILA MCHEZAJI KUPAMBANIA NEMBO
23/04/2026 08:50:23
Simba inaingia kwenye michuano hiyo ikiwa na matarajio makubwa ya kufanya vyema, huku benchi la ufundi likiamini kuwa maandalizi waliyonayo yatawasaidia kufikia malengo yao.
SIMU HAZITAITA KWA MUDATHIR KARIAKOO DERBY
23/04/2026 08:44:10
Mbali na kuukosa mchezo wa Derby dhidi ya Simba, Mudathir pia hatakuwepo katika michezo mingine miwili ya ligi dhidi ya KMC FC pamoja na Coastal Union, hali inayoongeza changamoto kwa benchi la ufundi la Yanga.
HATARI KUBWA YANGA, UTI WA MGONGO WATIKISWA...
23/04/2026 08:37:30
UONGOZI wa klabu ya Yanga unakabiliwa na wakati mgumu katika juhudi za kuwashawishi baadhi ya nyota wake kusalia ndani ya kikosi hicho kuelekea msimu ujao.
VIWANGO VYA UBORA CAF… SIMBA ZIIII… KUTOKA NO 5 MPAKA 11… YANGA MHHHH…
22/04/2026 10:34:46
Simba imeshika nafasi hiyo ikiwa na pointi 38 ambazo zimetokana na mafanikio ambayo wameyapata ndani ya misimu hiyo, Yanga yenye pointi 35.
|<
<
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
...
>
>|