Latest Soccer News
Habari za hivi punde za Michezo
01/04/2022 14:35:24
The Cleveland Cavaliers watapania kuendeleza msururu wao wa matokeo mazuri watakapochuana na New York Knicks katika ukumbi wa Madison Square Garden jioni ya Jumamosi tarehe 2 Aprili.
01/04/2022 14:17:25
Jordan Spieth anapania kutetea taji la shindano la gofu la Valero Texas Open kwa mafanikio kule TPC San Antonio na kujiunga na wachezaji wakubwa wa gofu.
29/03/2022 10:54:45
FC Barcelona na Sevilla FC watamenyana katika mechi ya ligi kuu Uhispania ugani Camp Nou, Aprili 3.
29/03/2022 10:08:44
Juventus FC na Inter Milan watamenyana katika mechi ya ligi kuu nchini Italia ugani Allianz Stadium mnamo Aprili 3.
29/03/2022 09:37:16
Liverpool watakuwa na nafasi ya kuongoza jedwali la ligi ya Premier watakapoialika Watford ugani Anfield Jumamosi Aprili 2 katika mechi ya ligi.
25/03/2022 11:16:45
New Orleans Pelicans watamenyana na Los Angeles Lakers katika mechi ya NBA mnamo Machi 28.