Latest Soccer News
Habari za hivi punde za Michezo
15/02/2023 15:18:27
Manchester United wanatazamia kuendeleza azma yao ya kushinda taji la ligi watakapowakaribisha Leicester City ugani Old Trafford Jumapili Februari 19.
10/02/2023 15:48:57
Jiandae na mwezi wa pira biriani, Februari! Wakati ligi zote kubwa duniani zikipamba moto, na vilabu vikubwa vikichuana kuwania taji.
08/02/2023 13:22:58
UC Sampdoria watakuwa mwenyeji wa Inter Milan katika mechi ya ligi kuu Italia Serie A ugani Stadio Comunale Luigi Ferraris Februari 13.
08/02/2023 11:46:38
Shindano la gofu la WM Phoenix Open 2023 linatarajiwa kung’oa nanga katika mkondo wa gofu wa TPC Scottsdale uliopo Scottsdale Arizona Marekani kati ya tarehe 9 na 12 Februari.
08/02/2023 11:27:21
Everton wana nafasi kubwa ya kupata ushindi dhidi ya Liverpool katika dabi ya 242 ya Merseyside watakapokutana kwenye mechi ya ligi ugani Anfield Jumatatu Februari 13.
06/02/2023 07:56:33
Weka ufundi wako wa kubashiri kwenye majaribio na Betway Jackpots, na unaweza kuondoka na mkwanja mrefu.