Latest Soccer News
Habari za hivi punde za Michezo

Dortmund na matumaini ya kuzima makali ya City

24/10/2022 15:54:54
Manchester City wanatarajia kuendeleza msururu wa matokeo mazuri ya mechi za UEFA msimu huu watakapoikabili Borussia Dortmund kwenye mechi ya makundi Oktoba 25 Jumanne Signal Iduna Park.
 

Blues wafukuzia ushindi wa kwanza kwa miaka mitano dhidi ya United

21/10/2022 15:45:51
Chelsea wanatarajia kuendeleza msururu wa matokeo mazuri chini ya ukufunzi wa Graham Potter watakapocheza na Manchester United Stamford Bridge Jumamosi Oktoba 22.
 

Madrid na Sevilla kukabana koo mechi ya ligi

20/10/2022 15:29:53
Real Madrid atakuwa mwenyeji wa Sevilla FC katika mechi ya ligi kuu Uhispania Oktoba 22 ugani Estadio Santiago Bernabéu.
 

Roma na Napoli kukutana kwenye dabi del Sole

20/10/2022 14:53:51
AS Roma itakuwa mwenyeji wa SSC Napoli katika mechi ya ligi kuu Italia mnamo Oktoba 23 ugani Stadio Olimpico.
 

Madrid na Barcelona kutoana kijasho El Clasico

14/10/2022 17:29:52
Real Madrid na Barcelona watafufua uhasama wao watakapokabiliana kwenye mechi ya ligi kuu Uhispania mnamo Oktoba 16 Estadio Santiago Bernabéu.
 

Verona kuwaalika mabingwa Milan

14/10/2022 17:22:38
Hellas Verona watakabiliana na mabingwa wa ligi ya Italia AC Milan kwenye mechi ya ligi ugani Stadio Marc'Antonio Bentegodi Oktoba 16.