Latest Soccer News
Habari za hivi punde za Michezo
24/10/2022 15:54:54
Manchester City wanatarajia kuendeleza msururu wa matokeo mazuri ya mechi za UEFA msimu huu watakapoikabili Borussia Dortmund kwenye mechi ya makundi Oktoba 25 Jumanne Signal Iduna Park.
21/10/2022 15:45:51
Chelsea wanatarajia kuendeleza msururu wa matokeo mazuri chini ya ukufunzi wa Graham Potter watakapocheza na Manchester United Stamford Bridge Jumamosi Oktoba 22.
20/10/2022 15:29:53
Real Madrid atakuwa mwenyeji wa Sevilla FC katika mechi ya ligi kuu Uhispania Oktoba 22 ugani Estadio Santiago Bernabéu.
20/10/2022 14:53:51
AS Roma itakuwa mwenyeji wa SSC Napoli katika mechi ya ligi kuu Italia mnamo Oktoba 23 ugani Stadio Olimpico.
14/10/2022 17:29:52
Real Madrid na Barcelona watafufua uhasama wao watakapokabiliana kwenye mechi ya ligi kuu Uhispania mnamo Oktoba 16 Estadio Santiago Bernabéu.
14/10/2022 17:22:38
Hellas Verona watakabiliana na mabingwa wa ligi ya Italia AC Milan kwenye mechi ya ligi ugani Stadio Marc'Antonio Bentegodi Oktoba 16.