Latest Soccer News
Habari za hivi punde za Michezo
16/09/2022 09:19:09
AC Milan wataalika SSC Napoli kwenye mechi ya ligi ya Serie A ugani Stadio Giuseppe Meazza Septemba 18.
14/09/2022 08:53:50
Erling Haaland anatarajia kuendeleza ubabe wake dhidi ya waajiri wake wa zamani Dortmund, watakapokutana kwenye mechi ya UEFA Champions League siku ya Jumatano Septemba 14.
09/09/2022 10:57:37
Mbio za magari za Italian Grand Prix 2022 zinatarajiwa kung’oa nanga Monza ambao ni mji uliopo eneo la Lombardy Italia Septemba 11.
08/09/2022 18:35:40
Inter Milan watakuwa mwenyeji wa Torino FC kwenye mechi ya ligi ugani Stadio Giuseppe Meazza mnamo Septemba 10.
08/09/2022 18:28:22
Manchester City na Tottenham watakabiliana kwenye mechi ya ligi ugani Etihad mnamo Septemba 10 Jumamosi.
06/09/2022 13:39:52
Inter Milan watacheza dhidi ya Bayern Munich kwenye mechi ya UEFA Champions kundi C mnamo Septemba 7.