Latest Soccer News
Habari za hivi punde za Michezo
10/06/2022 13:25:30
Scottie Scheffler anapania kuendelea kusalia kileleni mwa jedwali rasmi la mchezo wa gofu kwa kushinda shindano la gofu la RBC Canadian Open 2022.
08/06/2022 16:18:30
Lewis Hamilton anatarajia kuweka historia ya kuwa dereva wa kwanza kushinda mbio za langa langa za Azerbaijan Grand Prix mara mbili.
08/06/2022 16:03:43
Ureno na the Czech Republic watapambania nafasi ya kwanza ya kundi 2 watakapokutana kwenye mechi ya UEFA Nationas league Alhamisi Juni 9 Estadio Jose Alvalade.
07/06/2022 16:02:52
Nigeria watakuwa mwenyeji wa Sierra Leone kwenye mechi ya kufuzu kombe la mataifa barani Afrika 2023 katika uwanja wa kitaifa wa Abuja Juni 9.
03/06/2022 15:04:06
Mchezaji namba tano duniani wa tenisi Rafael Nadal anatarajia kufika fainali ya shindano la tenisi la French Open kwa mara ya kumi na nne atakapokutana na Alexander Zverev kwenye nusu fainali Ijumaa Juni 3.
02/06/2022 17:33:07
mbio za 2022 Catalan Grand Prix za pikipiki zitang’oa nanga Montmelo iliyopo manispaa Barcelona eneo la Catalonia nchini Uhispania Juni 5.