Latest Soccer News
Habari za hivi punde za Michezo

Rahm kupigania taji la pili la Memorial Tournament

02/06/2022 17:18:35
Jon Rahm atakuwa na uhakika wa kushinda kwa mara ya pili shindano la gofu la Memorial baada ya kushinda shindano hilo miaka ya nyuma. 
 

Msumbiji yalenga kisasi dhidi ya Rwanda

01/06/2022 19:04:47
Mozambique na Rwanda watamenyana katika mechi ya kufuzu kombe la mataifa Afrika 2023 ugani FNB Juni 2. 
 

Ureno na Uhispania kukutana kwa mara ya 40

01/06/2022 18:58:26
Uhispania wanatarajia kuendeleza ubabe wao dhidi ya Ureno watakapokutana kwenye mechi ya kwanza ya UEFA Nations League ugani Estadio Benito Villamarin Alhamisi Juni 2. 
 

Djokovic Makini kuepuka Kushindwa na Bedene, Roland Garros

27/05/2022 16:20:05
Novak Djokovic atakuwa makini kuepuka kushindwa na Aljaz Bedene kwenye mechi ya raundi ya tatu ya shindano la tenisi la Roland Garros 2022 Ijumaa hii.
 

Quartararo apania ushindi kwa mpigo Italia

26/05/2022 18:46:03
Mwendeshaji pikipiki wa Monster Energy Yamaha, Fabio Quartararo anatazamia kushinda mbio za pikipiki za Italian Grand Prix kwa mwaka wa pili mfululizo Jumapili ya Mei 29.
 

Thomas atazamia ushindi mwingine, shindano la gofu la Charles Schwab Challenge

26/05/2022 18:27:10
Justin Thomas anatarajia kuendeleza msururu wa matokeo mazuri kwenye shindano la gofu la Charles Schwab Challenge baada ya kushinda shindano la hivi maajuzi katika ratiba ya 2021-22 PGA Tour.