Latest Soccer News
Habari za hivi punde za Michezo
09/02/2022 14:26:28
SSC Napoli watakuwa mwenyeji wa Inter Milan ugani Stadio Diego Armando Maradona katika mechi ya ligi Februari 12.
09/02/2022 14:15:27
Manchester United watanuia kuendeleza ubabe wao dhidi ya Southampton watakapokutana katika mechi ya ligi ugani Old Trafford Jumamosi Februari 12.
09/02/2022 13:58:26
Villarreal CF atakuwa mwenyeji wa Real Madrid ugani Estadio de la Cerámica Februari 12 katika mechi ya ligi.
04/02/2022 13:59:15
Senegal na Misri watapambana katika mechi kali ya fainali kusaka mshindi wa taji la AFCON 2021 katika uwanja wa Omnisport Paul Biya Februari 6.
03/02/2022 14:44:45
AC Milan wanapania ushindi dhidi ya Inter milan watakapokutana katika debi ya della Madonnina ugani San Siro Jumamosi Februari 5, ambao utakuwa ni mchezo wa 230 baina ya timu hizi mbili.
03/02/2022 13:48:49
The Los Angeles Clippers na Los Angeles Lakers watakutana katika debi ya LA mchezo wa kikapu, ugani Crypto.com Arena in L.A. California asubui ya Ijumaa Februari 4 2022. Mchezo utaanza saa kumi na moja asubui majira ya Afrika ya kati.