Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
03/06/2022 15:04:06
Mchezaji namba tano duniani wa tenisi Rafael Nadal anatarajia kufika fainali ya shindano la tenisi la French Open kwa mara ya kumi na nne atakapokutana na Alexander Zverev kwenye nusu fainali Ijumaa Juni 3.
02/06/2022 17:33:07
mbio za 2022 Catalan Grand Prix za pikipiki zitang’oa nanga Montmelo iliyopo manispaa Barcelona eneo la Catalonia nchini Uhispania Juni 5.
02/06/2022 17:18:35
Jon Rahm atakuwa na uhakika wa kushinda kwa mara ya pili shindano la gofu la Memorial baada ya kushinda shindano hilo miaka ya nyuma.
01/06/2022 19:04:47
Mozambique na Rwanda watamenyana katika mechi ya kufuzu kombe la mataifa Afrika 2023 ugani FNB Juni 2.
01/06/2022 18:58:26
Uhispania wanatarajia kuendeleza ubabe wao dhidi ya Ureno watakapokutana kwenye mechi ya kwanza ya UEFA Nations League ugani Estadio Benito Villamarin Alhamisi Juni 2.
27/05/2022 16:20:05
Novak Djokovic atakuwa makini kuepuka kushindwa na Aljaz Bedene kwenye mechi ya raundi ya tatu ya shindano la tenisi la Roland Garros 2022 Ijumaa hii.