Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
25/04/2025 10:01:26
Simba imewahi kukutana na refa Mansour mara mbili ambapo ya kwanza alikuwa refa wa kati ilipotoka sare ya bao 1-1 nyumbani na Asec Mimosas kwenye hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu wa 2023/2024 na mechi ya pili alikuwa refa wa akiba ilipoibuka na ushindi wa mabao 7-0
25/04/2025 09:57:32
Simba itaingia kwenye mchezo huo wa marudiano ikiwa na faida ya ushindi nyumbani. Hata hivyo, kikosi hicho kinatambua kuwa Stellenbosch imepoteza mchezo mmoja tu nyumbani katika kampeni ya CAF mwaka huu.
25/04/2025 09:52:45
Jayrutty Investment Limited ilitambulishwa kuwa mshindi wa Tenda ya Usambazaji jezi za Simba SC kwa mkataba wa miaka mitano wenye thamani ya Sh. Bilioni 38.1 (Sh. 8,120,400,000).
23/04/2025 11:41:05
Yanga, ambao wako kileleni mwa msimamo wa ligi, wamebakiza mechi tatu za mwisho dhidi ya Namungo FC, Tanzania Prisons, na Dodoma Jiji FC. Mechi ya mwisho itachezwa kwenye Uwanja wa KMC Complex, uliopo Mwenge, jijini Dar es Salaam.
23/04/2025 09:46:33
Akizungumza baada ya mchezo wa kwanza wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch FC uliochezwa Aprili 20 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar – ambapo Simba ilishinda bao 1-0 – Mo Dewji alisisitiza kuwa huu
15/04/2025 09:38:37
YANGA imeanza mapema harakati za kuboresha kikosi chake kwa ajili ya msimu ujao huku ikipiga hodi katika Ligi Kuu Kenya kwenye kikosi cha Kenya Police FC.