Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
08/12/2025 09:32:03
Droo hiyo iliyofanyika katika Studio za SuperSport jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini ikiongozwa na Mkuu wa Idara ya Mashindano ya CAF, Khaled Nassar, akisaidiwa na wanasoka wa zamani Christopher Katongo kutoka Zambia na Alexander Song wa Cameroon,
07/12/2025 13:43:42
Kuteuliwa kwake kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Klabu Barani Afrika ni uthibitisho zaidi wa ubora alionao. Nyota huyu yupo na Al Ahly katika Kundi B ambalo pia kuna Yanga.
06/12/2025 11:32:57
MSHAMBULIAJI wa Simba SC Mohamed Bajaber amefunguka baada ya kufunga bao lake la kwanza tangu ajiunge na Wekundu wa Msimbazi, akisema alikuwa akipita kwenye kipindi kigumu cha kukosa nafasi kutokana na majeraha yaliyomuweka nje kwa muda mrefu.
06/12/2025 11:29:43
Tanzania ipo Kundi C kwenye michuano hiyo ya AFCON 2025 sambamba na Nigeria, Tunisia na Uganda ambapo Stars inatarajia kuondoka nchini Desemba 8
05/12/2025 11:26:19
MASHABIKI wa Yanga wana furaha vilevile mabosi wao, siri ni moja tu ni kwamba kikosi cha timu hiyo kilivyobadilika, lakini kocha Pedro Goncalves.
03/12/2025 10:57:24
WAKATI wanachama wa Simba wakisomewa ripoti ya mapato na matumizi, wameonyesha kukoshwa na rais wao wa heshima...