Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

SIMBA YAMLIPA SH.120M KWA MSIMU, ASAINI MKATABA WA MIAKA MIWILI.

12/06/2026 15:03:58
KIUNGO Bakari Msimu ameamua kujiunga na Simba kwa mkataba wa miaka miwili baada ya kushawishiwa na ofa nono inayodaiwa kufikia Sh milioni 120.

SIMBA YAVUNJA UKIMYA KUHUSU FEI TOTO..., YATOA KAULI NZITO

12/06/2026 14:47:07
MENEJA wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally, amesema klabu hiyo ingependa kuwa na kiungo wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’.

 

ZIMBWE JR AFICHUA SIRI YA YANGA KUTIKISA LIGI

28/05/2026 11:31:22
BEKI wa Yanga SC, Mohammed Hussein ‘Zimbwe Jr’, amesema kikosi hicho kina kila sababu ya kuwa na matumaini makubwa ya kutetea ubingwa wa.

 

SIMBA LENGO KUBEBA MATAJI, SI KUJALI MAJINA YA WAPINZANI

27/05/2026 07:36:31
MWENYEKITI wa Simba SC, Murtaza Mangungu, ameweka wazi msimamo wa klabu hiyo kuelekea msimu huu, akisisitiza kuwa malengo yao makubwa bado ni yale yale.
 

TIKETI YA TSH5 BILIONI KOMBE LA DUNIA, MHUDUMU INFANTINO

25/05/2026 11:52:30
Fainali ya Kombe la Dunia itakayochezwa katika uwanja wa MetLife huko New Jersey ndiyo yenye tiketi ghali zaidi. Tiketi ya bei ya chini kabisa imevuka dola 8,000.

OKELLO AWEKA WAZI MSIMAMO WAKE KULINGANISHWA NA CHAMA

25/05/2026 11:45:41
KIUNGO mshambuliaji wa Allan Okello amefunguka kuhusu mjadala unaoendelea miongoni mwa mashabiki wa soka wa Tanzania wa kumlinganisha na nyota wa Clatous.