Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
29/07/2026 09:07:55
Uongozi wa klabu ya Yanga SC umeonyesha dhati ya kuendelea kutawala soka la ndani na kimataifa baada ya kuweka wazi kuwa imetenga bajeti ya Shilingi bilioni 15.
17/07/2026 13:44:55
UONGOZI wa klabu ya Simba umeweka wazi dhamira yake kuelekea msimu wa 2026/27, ukisisitiza kuwa haitaki kuridhika na mafanikio...
17/07/2026 13:41:37
NAHODHA wa Yanga SC, Bakari Mwamnyeto, ameutaja msimu uliomalizika wa Ligi Kuu ya NBC kuwa ulikuwa wa kipekee na wenye mafanikio.
17/07/2026 13:35:05
KLABU ya Simba SC imetangaza rasmi kuachana na wachezaji saba ikiwa ni sehemu ya mpango wa kufanya maboresho ya kikosi kuelekea msimu wa 2026/27.
17/07/2026 13:27:12
KIUNGO wa Yanga, Pacome Zouzoua, ametoka hospitalini na kwa sasa anaendelea na hatua za awali za kupona akiwa nyumbani.
29/06/2026 11:13:57
Kuanzia Simba ilipoanza maisha na Barker ghafla mambo yamebadilika kwenye kikosi hicho, wekundu hao wakianza kurudi kwenye zama.