Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

BAADA YA KUKOSA UBINGWA WA CAF...MANULA AVUNJA UKIMYA SIMBA...ATAJA MALENGO

02/06/2025 11:29:51
Simba imelikosa taji hilo baada ya kupoteza mchezo wa fainali kwa jumla ya mabao 3-1 dhidi ya RS Berkane, kufuatia kuanza kufungwa ugenini 2-0, kisha sare ya 1-1 nyumbani

 

KUMBE SIO UBINGWA TU...KOCHA BERKANE KAONDOKA NA JINA LA STAA HUYU WA SIMBA..

02/06/2025 11:18:10
KOCHA wa RS Berkane, Moine Chaabani, amekiri pamoja na timu anayoinoa kubeba ubingwa wa tatu wa Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuzidi akili Simba ikiwa nyumbani kwa kulazimisha sare ya 1-1

 

RASMII...DIARA AANZA KUWATIA TUMBO JOTO YANGA...MABOSI WAGAWANYIKA...ANATAKA KUSEPA

02/06/2025 11:08:45
Diarra bado ana mkataba na Yanga akiwa anaendelea kumfukuza kwa karibu kipa wa Simba Moussa Camara katika clean sheet za Ligi Kuu wakitofautiana moja tu

BENCHIKA AFICHUA UZEMBE WA SIMBA KUMKOSA CAMARA NA KUMLETA BABACAR SARR

02/06/2025 10:26:57
Benchikha aliyekuwa kocha wa mwisho wa kigeni wa Simba kabla ya kuletwa kwa Fadlu Davids, alisema Simba ilipigwa kwa Camara, kwani ndiye mchezaji aliyekuwa akitakiwa aletwe msimu uliopita

KUELEKEA MECHI YA FAINAL YA CAF...HII HAPA AHADI YA 'KISHUA' YA RAIS SAMIA KWA SIMBA

02/06/2025 10:15:13
Simba SC wanatarajiwa kukutana na RS Berkane ya Morocco katika fainali hiyo, ambapo mchezo wa kwanza utafanyika Mei 17 nchini Morocco, huku marudiano yakifanyika Mei 25 kwenye
 

ALICHOKISEMA FADLU BAADA YA SIMBA 'KUNYONGWA CAF' JUZI

30/05/2025 10:17:44
Simba imefika fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa kupoteza mechi mbili tatu katika hatua tofauti, lakini ikilinda rekodi ya kutopoteza mchezo wowote nyumbani