Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
29/10/2025 10:03:41
Akizungumza baada ya mchezo huo, Pantev amesema eneo la kwanza ambalo linakwenda kufanyiwa kazi ni lile la kiungo ambalo bado halizalishi mashambulizi mengi.
29/10/2025 09:53:20
Kabla ya hapo, Simba ndio inaongoza kwa kukusanya pointi nyingi CAF ikiwa nazo 48 ikishika nafasi ya tano Afrika, ikifuatiwa na Yanga (34) ambayo ni ya 12 na Namungo (0.5) ya 77. Singida Black Stars na Azam kwa kuingia makundi, zina uhakika wa kukusanya pointi 0.5,
28/10/2025 17:07:05
Yanga iko kwenye presha ya kumuondoa kocha huyo aliyeingoza timu hiyo katika mechi tano za mashindano kisha akashinda nne na sare moja. Hajapoteza.
09/10/2025 16:17:16
Kitendo cha Rôrô kuhakikishiwa na Yanga anaweza kuja na wasaidizi wake wa benchi la ufundi, moja kwa moja akashawishika kusaini tofauti na Simba iliyoweka masharti ya kocha ajaye asiwe na wasaidizi wengi.
25/09/2025 16:03:59
YANGA inaendelea kutoa vipigo lakini kuna baadhi ya watu kama hawaridhiki hivi, sasa uongozi umeibuka na kutoa msimamo mzito juu ya kocha wao Romain Folz.
25/09/2025 15:58:57
BEKI mpya wa Yanga, Mohamed Hussein 'Tshabalala', amefunguka kuwa ni kweli kuna ushindani mkali wa namba kati yake na