Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

HATIMAYE, KARIAKOO DERBY KUPIGWA ISAMUYO, VITA YAANZA RASMI

29/04/2026 15:08:30
Kariakoo Derby inaendelea kubaki kuwa moja ya mechi zinazovuta hisia za mashabiki wengi, si tu nchini Tanzania bali pia katika ukanda wa Afrika Mashariki, kutokana na historia yake.

CAMARA AVUNJA UKIMYA, AWEKA WAZI SAFARI YAKE NA SIMBA

29/04/2026 15:02:58
KIPA  wa Simba SC, Moussa Camara, amevunja ukimya na kufunguka kuhusu changamoto ya majeraha aliyopitia, akisema hali hiyo inaweza kumrudisha nyuma mchezaji katika kufikia.

TETESI ZA USAJILI ULAYA - ENZO FERNANDEZ AINGIA ANGA ZA MANCHESTER CITY

29/04/2026 14:43:44
MANCHESTER City inafikiria kufanya jaribio la kumsajili kiungo wa Chelsea na timu ya taifa ya Argentina, Enzo Fernández, 25,  katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
 

SIMBA FULL NONDO MAPINDUZI CUP... BARKER ATIA AHADI...

29/04/2026 14:33:14
KOCHA Mkuu wa Simba, Steve Barker, amesema kikosi chake kipo tayari kwa changamoto ya mashindano ya Kombe la Muungano, akisisitiza kuwa maandalizi yao yamekamilika.
 

KISASI KINAKUJA SIMBA KUKUTANA NA MLANDEGE NUSU FAINALI

29/04/2026 14:26:51
Mchezo wa nusu fainali kati ya Simba na Mlandege unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa, ukiwa umebeba hisia za kisasi na heshima. Simba itaingia uwanjani.
 

SIMBA WAITAKA YANGA ZANZIBAR NA BARA

23/04/2026 08:56:24
Simba wanaingia katika mashindano hayo wakiwa na morali kubwa na matumaini ya kufanya vizuri, wakilenga kuanza kwa ushindi ili kujihakikishia nafasi ya kusonga mbele na kuendeleza.