Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

KUELEKEA AFCON 25... 53 WA TAIFA STARS HAWA HAPA... PANGA LA MWISHO MHHHH...

06/12/2025 11:29:43
Tanzania ipo Kundi C kwenye michuano hiyo ya AFCON 2025 sambamba na Nigeria, Tunisia na Uganda ambapo Stars inatarajia kuondoka nchini Desemba 8
 

BAADA YA KUWAPIGA BAO SIMBA CAF... UELEKEO WA YANGA HUU HAPA... KOCHA ATIA NDIMU...

05/12/2025 11:26:19
MASHABIKI wa Yanga wana furaha vilevile mabosi wao, siri ni moja tu ni kwamba kikosi cha timu hiyo kilivyobadilika, lakini kocha Pedro Goncalves.

MO DEWJI BABA LAO SIMBA.....ATOA BIL 10 ZA USAJILI MSIMU 25/26-26/27... MASHABIKI ROHO KWATUU...

03/12/2025 10:57:24
WAKATI wanachama wa Simba wakisomewa ripoti ya mapato na matumizi, wameonyesha kukoshwa na rais wao wa heshima...
 

ZA NDAAANIII KABISA... HII HAPA SABABU KUBWA YA PANTEV KUPIGWA CHINI SIMBA...

03/12/2025 10:51:38
Simba ilianza kupoteza kwa bao 1-0 katika mechi ya kwanza nyumbani dhidi ya Petro Luanda na mchezo uliofuata juzi Jumapili ikafungwa mabao 2-1 na Stade Malien huko Bamako, Mali.

KUHUSU NANI KUWA BOSI SIMBA... SERIKALI YATAKA MANGUNGU... WANACHAMA KUAMUA...

03/12/2025 10:27:18
Kauli ya Mwana FA, inatokana na agizo serikali kupitia Baraza la Michezo la Taifa (BMT), kutoa maelekezo ya Katiba mpya ya Simba inapaswa kumtambua Mwenyekiti wa Klabu kuwa ndiye Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi maana klabu ina umiliki mkubwa (51%)
 

HUU HAPA 'MLIMA WA MIIBA' WA SINGIDA BS CAF MSIMU HUU...WAKIPITA TU WAMETOBOA...

08/11/2025 16:42:23
Singida Black Stars imepangwa katika kundi C lililo na wapinzani wakubwa wenye uzoefu wa michuano ya Afrika, CR Belouizdad (Algeria), Stellenbosch FC (Afrika Kusini) na AS Otoho (Kongo-Brazzaville).