Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

KISA AHOUA KUKOSA GOLI JUZI MBELE YA WASAUZI...MO DEWJI ATOA KAULI HII SIMBA...

23/04/2025 09:46:33
Akizungumza baada ya mchezo wa kwanza wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch FC uliochezwa Aprili 20 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar – ambapo Simba ilishinda bao 1-0 – Mo Dewji alisisitiza kuwa huu

DIRISHA LA USAJILI LIKIFUNGULIWA TU....MASHINE HII YA KAZI HUENDA IKATUA YANGA...

15/04/2025 09:38:37
YANGA imeanza mapema harakati za kuboresha kikosi chake kwa ajili ya msimu ujao huku ikipiga hodi katika Ligi Kuu Kenya kwenye kikosi cha Kenya Police FC.

BAADA YA KUFUZU NUSU KIBINGWA ....ZIMBWE Jr 'ATEMA BUNGO' SIMBA....ATAJA WALICHOFANYA

11/04/2025 09:12:34
Zimbwe JR amefichua kuwa mafanikio hayo hayakutokea kwa bahati nasibu. Anaeleza kuwa kila kitu kilianza tangu mechi ya kwanza walipowasili nchini Misri, ambapo walifanya

KISA CAF ....FADLU ARUDISHWA KWAOAFRIKA KUSINI KILAZIMA...ISHU NZIMA IKO HIVI

10/04/2025 10:32:13
Simba mapema imepata tiketi ya kufuzu nusu Fainali ya mashindano hayo baada ya kuiondoa Al Masry ya Misri kwa matuta 4-1 baada ya timu hizo kumaliza mchezo kwa ushindi

BAADA YA KUPANDISHWA CHEO JESHINI....HILI HAPA 'DENI' LA BACCA NDANI YA YANGA

31/03/2025 15:51:11
BEKI wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi, Ibrahim Bacca deni lake la mabao kwa sasa ni 11 ili kufanikisha malengo
 

HILI HAPA JESHI KAMILI GADO LA SIMBA KUELEKEA MECHI NA WAARABU KESHO KUTWA

31/03/2025 15:48:02
Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Aprili 9 2025 ambapo mshindi wa jumla kwenye mchezo huo atakata tiketi kutinga hatua ya nusu fainali Kombe la Shirikisho Afrika.