Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
29/04/2026 15:08:30
Kariakoo Derby inaendelea kubaki kuwa moja ya mechi zinazovuta hisia za mashabiki wengi, si tu nchini Tanzania bali pia katika ukanda wa Afrika Mashariki, kutokana na historia yake.
29/04/2026 15:02:58
KIPA wa Simba SC, Moussa Camara, amevunja ukimya na kufunguka kuhusu changamoto ya majeraha aliyopitia, akisema hali hiyo inaweza kumrudisha nyuma mchezaji katika kufikia.
29/04/2026 14:43:44
MANCHESTER City inafikiria kufanya jaribio la kumsajili kiungo wa Chelsea na timu ya taifa ya Argentina, Enzo Fernández, 25, katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
29/04/2026 14:33:14
KOCHA Mkuu wa Simba, Steve Barker, amesema kikosi chake kipo tayari kwa changamoto ya mashindano ya Kombe la Muungano, akisisitiza kuwa maandalizi yao yamekamilika.
29/04/2026 14:26:51
Mchezo wa nusu fainali kati ya Simba na Mlandege unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa, ukiwa umebeba hisia za kisasi na heshima. Simba itaingia uwanjani.
23/04/2026 08:56:24
Simba wanaingia katika mashindano hayo wakiwa na morali kubwa na matumaini ya kufanya vizuri, wakilenga kuanza kwa ushindi ili kujihakikishia nafasi ya kusonga mbele na kuendeleza.