Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
23/04/2025 09:46:33
Akizungumza baada ya mchezo wa kwanza wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch FC uliochezwa Aprili 20 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar – ambapo Simba ilishinda bao 1-0 – Mo Dewji alisisitiza kuwa huu
15/04/2025 09:38:37
YANGA imeanza mapema harakati za kuboresha kikosi chake kwa ajili ya msimu ujao huku ikipiga hodi katika Ligi Kuu Kenya kwenye kikosi cha Kenya Police FC.
11/04/2025 09:12:34
Zimbwe JR amefichua kuwa mafanikio hayo hayakutokea kwa bahati nasibu. Anaeleza kuwa kila kitu kilianza tangu mechi ya kwanza walipowasili nchini Misri, ambapo walifanya
10/04/2025 10:32:13
Simba mapema imepata tiketi ya kufuzu nusu Fainali ya mashindano hayo baada ya kuiondoa Al Masry ya Misri kwa matuta 4-1 baada ya timu hizo kumaliza mchezo kwa ushindi
31/03/2025 15:51:11
BEKI wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi, Ibrahim Bacca deni lake la mabao kwa sasa ni 11 ili kufanikisha malengo
31/03/2025 15:48:02
Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Aprili 9 2025 ambapo mshindi wa jumla kwenye mchezo huo atakata tiketi kutinga hatua ya nusu fainali Kombe la Shirikisho Afrika.