Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
06/12/2025 11:29:43
Tanzania ipo Kundi C kwenye michuano hiyo ya AFCON 2025 sambamba na Nigeria, Tunisia na Uganda ambapo Stars inatarajia kuondoka nchini Desemba 8
05/12/2025 11:26:19
MASHABIKI wa Yanga wana furaha vilevile mabosi wao, siri ni moja tu ni kwamba kikosi cha timu hiyo kilivyobadilika, lakini kocha Pedro Goncalves.
03/12/2025 10:57:24
WAKATI wanachama wa Simba wakisomewa ripoti ya mapato na matumizi, wameonyesha kukoshwa na rais wao wa heshima...
03/12/2025 10:51:38
Simba ilianza kupoteza kwa bao 1-0 katika mechi ya kwanza nyumbani dhidi ya Petro Luanda na mchezo uliofuata juzi Jumapili ikafungwa mabao 2-1 na Stade Malien huko Bamako, Mali.
03/12/2025 10:27:18
Kauli ya Mwana FA, inatokana na agizo serikali kupitia Baraza la Michezo la Taifa (BMT), kutoa maelekezo ya Katiba mpya ya Simba inapaswa kumtambua Mwenyekiti wa Klabu kuwa ndiye Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi maana klabu ina umiliki mkubwa (51%)
08/11/2025 16:42:23
Singida Black Stars imepangwa katika kundi C lililo na wapinzani wakubwa wenye uzoefu wa michuano ya Afrika, CR Belouizdad (Algeria), Stellenbosch FC (Afrika Kusini) na AS Otoho (Kongo-Brazzaville).