Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

NI BARKER vs IBENGE FAINALI YA FA...

23/06/2026 13:49:35
Barker ameiongoza Simba SC kwa mafanikio makubwa msimu huu, akionyesha uimara wa kikosi chake katika mashindano mbalimbali...

SIMBA YAMLIPA SH.120M KWA MSIMU, ASAINI MKATABA WA MIAKA MIWILI.

12/06/2026 15:03:58
KIUNGO Bakari Msimu ameamua kujiunga na Simba kwa mkataba wa miaka miwili baada ya kushawishiwa na ofa nono inayodaiwa kufikia Sh milioni 120.

SIMBA YAVUNJA UKIMYA KUHUSU FEI TOTO..., YATOA KAULI NZITO

12/06/2026 14:47:07
MENEJA wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally, amesema klabu hiyo ingependa kuwa na kiungo wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’.

 

HAWA YANGA KWA FADLU WAKO SIRIAZI KWELI?

28/05/2026 12:06:23
YANGA inaendelea na msako wa kutafuta kocha mpya na sasa kuna majina mengine mawili yanatajwa akiwemo kocha wa zamani wa Simba ambaye aliibadilisha.

ZIMBWE JR AFICHUA SIRI YA YANGA KUTIKISA LIGI

28/05/2026 11:31:22
BEKI wa Yanga SC, Mohammed Hussein ‘Zimbwe Jr’, amesema kikosi hicho kina kila sababu ya kuwa na matumaini makubwa ya kutetea ubingwa wa.

 

SIMBA LENGO KUBEBA MATAJI, SI KUJALI MAJINA YA WAPINZANI

27/05/2026 07:36:31
MWENYEKITI wa Simba SC, Murtaza Mangungu, ameweka wazi msimamo wa klabu hiyo kuelekea msimu huu, akisisitiza kuwa malengo yao makubwa bado ni yale yale.