Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

PACOME KUSALIA YANGA...? HII HAPA TAARIFA ZA NDAAANI KABISA KUHUSU HATMA YAKE

04/07/2025 15:15:18
Kamwe ametaja baadhi ya nyota ambao wanafanyiwa kazi ili wabakie kuwa sehemu ya kikosi cha Yanga kuwa ni pamoja na kiungo mkabaji Khalid Aucho, mshambuliaji hatari Pacome

KUHUSU FEI TOTO KUMALIZANA NA YANGA...UKWELI HUU HAPA...MWENYEWE KAANIKA KILA KITU

04/07/2025 15:08:10
Fei Toto amesema kwa sasa bado ni mchezaji halali wa Azam FC, akiwa na mkataba wa mwaka mmoja zaidi, hana mamlaka ya kuzungumzia mipango ya klabu nyingine

SIMBA & FADLU WAVIZIANA...MWENYEWE ATIA MSIMAMO HUU MPYA KUHUSU WACHEZAJI

04/07/2025 15:02:03
FADLU Davids, Kocha Mkuu wa Simba SC amesema kuwa kwa msimu wa 2024/25 wamejitahidi kupambana na kufikia malengo

YANGA BINGWA 2024/25...SIMBA PAMOJA NA KUJIBANA BANA SANA MWISHO WAKUBALI KUACHIA

25/06/2025 14:56:34
KLABU ya Yanga imejihakikishia ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa msimu wa 2024-2025, ikiwa ni mara ya nne mfululizo, baada ya kuibuka na ushindi wa bao 2-0 dhidi ya Simba

UTAMU WA CHAN 2024 HUU HAPA...UFUNGUZI TZ ,KWA MKAPA...ZANZIBAR NDANI

23/06/2025 15:56:02
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeitangaza Tanzania kama nchi itakayoandaa mechi na tukio la ufunguzi wa fainali za CHAN 2024 zitakaofanyika kuanzia Agosti 2 hadi Agosti 30

KUELEKA DABI YA 25...HUYU MUKWALA HUYU...'SHOW' YAKE YANGA WAJIPANGE LA SIVYO

23/06/2025 14:06:55
Baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba SC 1-0 Kagera Sugar. Bao hilo alipachika dakika ya 17 akiwa ndani ya 18. Mukwala alituma pasi ya David Kameta ambaye alipokea pasi