Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

UTAMU WA CHAN 2024 HUU HAPA...UFUNGUZI TZ ,KWA MKAPA...ZANZIBAR NDANI

23/06/2025 15:56:02
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeitangaza Tanzania kama nchi itakayoandaa mechi na tukio la ufunguzi wa fainali za CHAN 2024 zitakaofanyika kuanzia Agosti 2 hadi Agosti 30

KUELEKA DABI YA 25...HUYU MUKWALA HUYU...'SHOW' YAKE YANGA WAJIPANGE LA SIVYO

23/06/2025 14:06:55
Baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba SC 1-0 Kagera Sugar. Bao hilo alipachika dakika ya 17 akiwa ndani ya 18. Mukwala alituma pasi ya David Kameta ambaye alipokea pasi

ZIMBWE JR KIMEEELEWEKA SIMBA SC...ISHU YA NGOMA KUSALIA MHHHHH

18/06/2025 11:03:10
IMEELEZWA kuwa uongozi wa klabu ya Simba upo katika mazungumzo ya kumuongeza mkataba beki wao, Mohammed Hussein ‘Zimbwe Jr’
kusalia ndani ya klabu hiyo huku kiungo Fabrice Ngoma
 

KUHUSU ISHU YA IBENGE KUJA AZAM FC...UKWELI WOTE HUU HAPA...MABOSI WAFUNGUKA A-Z

18/06/2025 10:58:51
Florent Ibenge ana sifa ya kuifikisha AS Vita kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika mwaka 2014, pia kuiongoza DR Congo kutwaa medali ya shaba katika michuano ya AFCON mwaka 2015

MRITHI WA AZIZI KI YANGA HUYU HAPA....MABOSI WAANZA KUFANIKISHA DILI MAPEMAAA

04/06/2025 10:54:45
KATIKA kile kinachoonekana kuwa mwanzo wa ukurasa mpya kwa klabu ya Yanga, uongozi wa timu hiyo umeweka wazi

WAARABU WAITIBULIA YANGA DILI LAKE NA MOKWENA...MBADALA WAKE NAYE SI HABA

04/06/2025 10:01:41
Endapo Yanga itamkosa Mokwena itabaki na chaguo la nne ambalo ni kocha wa ASEC Mimosas ya Ivory Coast, Jullien Chevalier ambaye tayari alishaanza mazungumzo na vinara hao wa Ligi.