Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
29/06/2026 09:08:42
Na sasa bao la Fiston Mayele dhidi ya Uzbekistan katika fainali za Kombe la Dunia 2026 ni miongoni mwa mabao yasiyosahaulika.
29/06/2026 08:59:45
Mbio za kuelekea taji la tano mfululizo la Ligi Kuu Bara kwa mabingwa watetezi, Yanga SC, sasa zimefikia hatua ya kukatwa shingo.
24/06/2026 14:19:47
BAADA ya Simba SC kukosa ubingwa kwa misimu minne mfululizo, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Steve Barker, amesema kikosi chake...
24/06/2026 14:13:26
Simba ukiiangalia kwa haraka unaweza kusema haina uhitaji wa kipa mpya kwani wana Kassali anayecheza sasa na Moussa Camara ambaye naye...
23/06/2026 14:34:35
UONGOZI wa Simba SC unatarajiwa kufanya mabadiliko zaidi ndani ya kikosi chake kuelekea msimu wa 2026/27, ikiwa ni sehemu ya mkakati.
23/06/2026 14:18:49
Azam FC ilifanikiwa kutinga fainali ya michuano hiyo baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Yanga katika mchezo wa kusisimua uliochezwa.