Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
23/06/2025 15:56:02
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeitangaza Tanzania kama nchi itakayoandaa mechi na tukio la ufunguzi wa fainali za CHAN 2024 zitakaofanyika kuanzia Agosti 2 hadi Agosti 30
23/06/2025 14:06:55
Baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba SC 1-0 Kagera Sugar. Bao hilo alipachika dakika ya 17 akiwa ndani ya 18. Mukwala alituma pasi ya David Kameta ambaye alipokea pasi
18/06/2025 11:03:10
IMEELEZWA kuwa uongozi wa klabu ya Simba upo katika mazungumzo ya kumuongeza mkataba beki wao, Mohammed Hussein ‘Zimbwe Jr’
kusalia ndani ya klabu hiyo huku kiungo Fabrice Ngoma
18/06/2025 10:58:51
Florent Ibenge ana sifa ya kuifikisha AS Vita kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika mwaka 2014, pia kuiongoza DR Congo kutwaa medali ya shaba katika michuano ya AFCON mwaka 2015
04/06/2025 10:54:45
KATIKA kile kinachoonekana kuwa mwanzo wa ukurasa mpya kwa klabu ya Yanga, uongozi wa timu hiyo umeweka wazi
04/06/2025 10:01:41
Endapo Yanga itamkosa Mokwena itabaki na chaguo la nne ambalo ni kocha wa ASEC Mimosas ya Ivory Coast, Jullien Chevalier ambaye tayari alishaanza mazungumzo na vinara hao wa Ligi.