Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

BARKER AWEKA MKAKATI KABAMBE DHIDI YA YANGA

27/02/2026 11:30:48
KOCHA Mkuu wa Simba, Steve Barker, amesisitiza kwamba kikosi chake kitaingia kwenye Kariakoo Derby dhidi ya watani wao wa jadi, Yanga FC, huku Kariakoo Derby dhidi ya Yanga SC

 

UZOEFU HATUA YA MAKUNDI CAF KULETA MABORESHO YANGA

19/02/2026 07:45:46
KOCHA Mkuu wa Yanga SC, Pedro Goncalves, amesema uzoefu walioupata katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika utakuwa chachu ya maboresho...
 

BARKER AFICHUA MBINU SIMBA KUKABILIANA NA RATIBA...

19/02/2026 07:41:23
KOCHA Mkuu wa Simba SC, Steve Barker, amesema kikosi chake kitapokea mabadiliko ya kila wakati kutokana na changamoto za ratiba nzito za mechi zinazofuata za Ligi Kuu...
 

SIMBA YATUMBUA SURA MPYA... WADHAMINI WASHIKILIA HISA...

19/02/2026 07:33:33
Msajili wa Vyama vya Michezo, Abel Ngilangwa, ametangaza kuidhinishwa kwa marekebisho ya Katiba ya Simba SC, hatua inayohitimisha mchakato wa muda mrefu wa mageuzi...
 

KUELEKEA MECHI NA WAARABU… BEKI ESPERANCE ATAJA MASTAA WA KUCHUNGWA

29/01/2026 08:48:16
Simba ina wakati mgumu katika kundi D la michuano hiyo kwani katika mechi tatu, haina pointi ikiburuza mkia, huku Stade Malien ikiongoza na pointi saba.

KUELEKEA MECHI vs AL AHLY… KOCHA YANGA ATOA KAULI YA KISHUJAA

29/01/2026 08:43:22
Yanga ilipoteza mechi Ligi ya Mabingwa Afrika Ijumaa iliyopita dhidi ya wapinzani wao hao kwa kuchapwa mabao 2-0 mechi iliyopigwa uwanja wa The Borg El Arab katika mji wa Alexandria.