Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

TIKETI YA TSH5 BILIONI KOMBE LA DUNIA, MHUDUMU INFANTINO

25/05/2026 11:52:30
Fainali ya Kombe la Dunia itakayochezwa katika uwanja wa MetLife huko New Jersey ndiyo yenye tiketi ghali zaidi. Tiketi ya bei ya chini kabisa imevuka dola 8,000.

OKELLO AWEKA WAZI MSIMAMO WAKE KULINGANISHWA NA CHAMA

25/05/2026 11:45:41
KIUNGO mshambuliaji wa Allan Okello amefunguka kuhusu mjadala unaoendelea miongoni mwa mashabiki wa soka wa Tanzania wa kumlinganisha na nyota wa Clatous.

NEUER, MUSIALA, WIRTZ WABEBA TUMAINI LA UJERUMANI

25/05/2026 10:00:02
KOCHA wa timu ya taifa ya Ujerumani, Julian Nagelsmann ametangaza rasmi kikosi chake cha mwisho cha wachezaji 26 kitakachoiwakilisha nchi hiyo.
 

KUHUSU BAJABER ‘KUPIGWA PANGA’ SIMBA... BARKER KAMTAZAMA WEE... KISHA AKASEMA HILI…

25/05/2026 09:55:04
WAKATI maswali yakiendelea kuwa mengi kuhusu hatma ya kiungo Mohamed Bajaber, Kocha Mkuu wa Simba, Steve Barker amesema kwenye hesabu zake.
 

MHHHH… HII YA CHAMA NA OKELLO NI SAWA NA PIGA NIKUPIGE…

15/05/2026 07:51:32
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Allan Okello na Clatous Chama wa Simba, wameanzisha ligi yao kufuatia kila mmoja kufunga katika michezo mitatu mfululizo ya Ligi Kuu Bara.

KUHUSU UWANJA MPYA WA YANGA… HAYA HAPA YANAYOMPA SIFA MBADALA GSM

15/05/2026 07:45:28
RAIS wa Yanga injinia Hersi Said amesema mradi wa ujenzi wa uwanja mpya wa klabu hiyo, utawafanya kumiliki asilimia 50 huku mwekezaji akimiliki 50.