Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

ZIMBWE JR KIMEEELEWEKA SIMBA SC...ISHU YA NGOMA KUSALIA MHHHHH

18/06/2025 11:03:10
IMEELEZWA kuwa uongozi wa klabu ya Simba upo katika mazungumzo ya kumuongeza mkataba beki wao, Mohammed Hussein ‘Zimbwe Jr’
kusalia ndani ya klabu hiyo huku kiungo Fabrice Ngoma
 

KUHUSU ISHU YA IBENGE KUJA AZAM FC...UKWELI WOTE HUU HAPA...MABOSI WAFUNGUKA A-Z

18/06/2025 10:58:51
Florent Ibenge ana sifa ya kuifikisha AS Vita kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika mwaka 2014, pia kuiongoza DR Congo kutwaa medali ya shaba katika michuano ya AFCON mwaka 2015

MRITHI WA AZIZI KI YANGA HUYU HAPA....MABOSI WAANZA KUFANIKISHA DILI MAPEMAAA

04/06/2025 10:54:45
KATIKA kile kinachoonekana kuwa mwanzo wa ukurasa mpya kwa klabu ya Yanga, uongozi wa timu hiyo umeweka wazi

WAARABU WAITIBULIA YANGA DILI LAKE NA MOKWENA...MBADALA WAKE NAYE SI HABA

04/06/2025 10:01:41
Endapo Yanga itamkosa Mokwena itabaki na chaguo la nne ambalo ni kocha wa ASEC Mimosas ya Ivory Coast, Jullien Chevalier ambaye tayari alishaanza mazungumzo na vinara hao wa Ligi.

BAADA YA KUKOSA UBINGWA WA CAF...MANULA AVUNJA UKIMYA SIMBA...ATAJA MALENGO

02/06/2025 11:29:51
Simba imelikosa taji hilo baada ya kupoteza mchezo wa fainali kwa jumla ya mabao 3-1 dhidi ya RS Berkane, kufuatia kuanza kufungwa ugenini 2-0, kisha sare ya 1-1 nyumbani

 

KUMBE SIO UBINGWA TU...KOCHA BERKANE KAONDOKA NA JINA LA STAA HUYU WA SIMBA..

02/06/2025 11:18:10
KOCHA wa RS Berkane, Moine Chaabani, amekiri pamoja na timu anayoinoa kubeba ubingwa wa tatu wa Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuzidi akili Simba ikiwa nyumbani kwa kulazimisha sare ya 1-1