Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

YANGA SC YAIGOMEA KARIAKOO DABI MAZIMA

08/05/2025 14:45:08
YANGA SC wamebainisha kuwa msimamo wao kuhusu mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Simba SC uliotarajiwa kuchezwa Machi 8 2025 upo palepale

KUELEKEA MECHI YA FAINAL CAF....AHMED ALLY AIBUKA NA 'MZUKA' HUU KWA WAARABU

08/05/2025 14:39:59
KATIKA kilele cha mafanikio ya kihistoria, Meneja wa klabu ya Simba, Ahmed Ally, ameweka wazi kuwa safari yao kwenye

REFA ALIYEIPA SIMBA GOLI 7-0 DHIDI YA HORAYA AKABIDHIWA MECHI YA WASAUZI JPILI

25/04/2025 10:01:26
Simba imewahi kukutana na refa Mansour mara mbili ambapo ya kwanza alikuwa refa wa kati ilipotoka sare ya bao 1-1 nyumbani na Asec Mimosas kwenye hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu wa 2023/2024 na mechi ya pili alikuwa refa wa akiba ilipoibuka na ushindi wa mabao 7-0

KUELEKEA MECHI YA CAF KESHO KUTWA...KIBU, MPANZU WAWATIA GANZI WASAUZI

25/04/2025 09:57:32
Simba itaingia kwenye mchezo huo wa marudiano ikiwa na faida ya ushindi nyumbani. Hata hivyo, kikosi hicho kinatambua kuwa Stellenbosch imepoteza mchezo mmoja tu nyumbani katika kampeni ya CAF mwaka huu.

DIADORA YA ITALIA WALIVYOLAMBA DILI SIMBA KILAINIII...MKATABA NI 'BAB' KUBWA NCHI NZIMA..

25/04/2025 09:52:45
Jayrutty Investment Limited ilitambulishwa kuwa mshindi wa Tenda ya Usambazaji jezi za Simba SC kwa mkataba wa miaka mitano wenye thamani ya Sh. Bilioni 38.1 (Sh. 8,120,400,000).

KUHUSU UBINGWA MSIMU HUU...KAMWE AWAPIGA 'STOP' MASHABIKI YANGA

23/04/2025 11:41:05
Yanga, ambao wako kileleni mwa msimamo wa ligi, wamebakiza mechi tatu za mwisho dhidi ya Namungo FC, Tanzania Prisons, na Dodoma Jiji FC. Mechi ya mwisho itachezwa kwenye Uwanja wa KMC Complex, uliopo Mwenge, jijini Dar es Salaam.