Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
18/06/2025 11:03:10
IMEELEZWA kuwa uongozi wa klabu ya Simba upo katika mazungumzo ya kumuongeza mkataba beki wao, Mohammed Hussein ‘Zimbwe Jr’
kusalia ndani ya klabu hiyo huku kiungo Fabrice Ngoma
18/06/2025 10:58:51
Florent Ibenge ana sifa ya kuifikisha AS Vita kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika mwaka 2014, pia kuiongoza DR Congo kutwaa medali ya shaba katika michuano ya AFCON mwaka 2015
04/06/2025 10:54:45
KATIKA kile kinachoonekana kuwa mwanzo wa ukurasa mpya kwa klabu ya Yanga, uongozi wa timu hiyo umeweka wazi
04/06/2025 10:01:41
Endapo Yanga itamkosa Mokwena itabaki na chaguo la nne ambalo ni kocha wa ASEC Mimosas ya Ivory Coast, Jullien Chevalier ambaye tayari alishaanza mazungumzo na vinara hao wa Ligi.
02/06/2025 11:29:51
Simba imelikosa taji hilo baada ya kupoteza mchezo wa fainali kwa jumla ya mabao 3-1 dhidi ya RS Berkane, kufuatia kuanza kufungwa ugenini 2-0, kisha sare ya 1-1 nyumbani
02/06/2025 11:18:10
KOCHA wa RS Berkane, Moine Chaabani, amekiri pamoja na timu anayoinoa kubeba ubingwa wa tatu wa Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuzidi akili Simba ikiwa nyumbani kwa kulazimisha sare ya 1-1