Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
03/12/2025 10:57:24
WAKATI wanachama wa Simba wakisomewa ripoti ya mapato na matumizi, wameonyesha kukoshwa na rais wao wa heshima...
03/12/2025 10:51:38
Simba ilianza kupoteza kwa bao 1-0 katika mechi ya kwanza nyumbani dhidi ya Petro Luanda na mchezo uliofuata juzi Jumapili ikafungwa mabao 2-1 na Stade Malien huko Bamako, Mali.
03/12/2025 10:27:18
Kauli ya Mwana FA, inatokana na agizo serikali kupitia Baraza la Michezo la Taifa (BMT), kutoa maelekezo ya Katiba mpya ya Simba inapaswa kumtambua Mwenyekiti wa Klabu kuwa ndiye Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi maana klabu ina umiliki mkubwa (51%)
08/11/2025 16:42:23
Singida Black Stars imepangwa katika kundi C lililo na wapinzani wakubwa wenye uzoefu wa michuano ya Afrika, CR Belouizdad (Algeria), Stellenbosch FC (Afrika Kusini) na AS Otoho (Kongo-Brazzaville).
29/10/2025 10:03:41
Akizungumza baada ya mchezo huo, Pantev amesema eneo la kwanza ambalo linakwenda kufanyiwa kazi ni lile la kiungo ambalo bado halizalishi mashambulizi mengi.
29/10/2025 09:53:20
Kabla ya hapo, Simba ndio inaongoza kwa kukusanya pointi nyingi CAF ikiwa nazo 48 ikishika nafasi ya tano Afrika, ikifuatiwa na Yanga (34) ambayo ni ya 12 na Namungo (0.5) ya 77. Singida Black Stars na Azam kwa kuingia makundi, zina uhakika wa kukusanya pointi 0.5,