Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

RASMII...DIARA AANZA KUWATIA TUMBO JOTO YANGA...MABOSI WAGAWANYIKA...ANATAKA KUSEPA

02/06/2025 11:08:45
Diarra bado ana mkataba na Yanga akiwa anaendelea kumfukuza kwa karibu kipa wa Simba Moussa Camara katika clean sheet za Ligi Kuu wakitofautiana moja tu

BENCHIKA AFICHUA UZEMBE WA SIMBA KUMKOSA CAMARA NA KUMLETA BABACAR SARR

02/06/2025 10:26:57
Benchikha aliyekuwa kocha wa mwisho wa kigeni wa Simba kabla ya kuletwa kwa Fadlu Davids, alisema Simba ilipigwa kwa Camara, kwani ndiye mchezaji aliyekuwa akitakiwa aletwe msimu uliopita

KUELEKEA MECHI YA FAINAL YA CAF...HII HAPA AHADI YA 'KISHUA' YA RAIS SAMIA KWA SIMBA

02/06/2025 10:15:13
Simba SC wanatarajiwa kukutana na RS Berkane ya Morocco katika fainali hiyo, ambapo mchezo wa kwanza utafanyika Mei 17 nchini Morocco, huku marudiano yakifanyika Mei 25 kwenye
 

ALICHOKISEMA FADLU BAADA YA SIMBA 'KUNYONGWA CAF' JUZI

30/05/2025 10:17:44
Simba imefika fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa kupoteza mechi mbili tatu katika hatua tofauti, lakini ikilinda rekodi ya kutopoteza mchezo wowote nyumbani

YANGA SC YAIGOMEA KARIAKOO DABI MAZIMA

08/05/2025 14:45:08
YANGA SC wamebainisha kuwa msimamo wao kuhusu mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Simba SC uliotarajiwa kuchezwa Machi 8 2025 upo palepale

KUELEKEA MECHI YA FAINAL CAF....AHMED ALLY AIBUKA NA 'MZUKA' HUU KWA WAARABU

08/05/2025 14:39:59
KATIKA kilele cha mafanikio ya kihistoria, Meneja wa klabu ya Simba, Ahmed Ally, ameweka wazi kuwa safari yao kwenye