Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

HAYA HAPA MAMBO 10 YALIYOJITOKEZA MASHUJAA v SIMBA SC JANA

15/05/2026 07:26:58
Mechi ya Jana kati ya Mashujaa FC na Simba SC iliyopigwa katika Uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma, imemalizika kwa Simba kuibuka na ushindi mnono wa 3-0.
 

AZAM FC VS YANGA NJE YA LIGI KUU... NI KISASI BIN KISASI...

29/04/2026 15:14:10
PAMBANO kati ya Azam FC na Yanga halipo tu ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara, bali hata kwenye michuano mingine limekuwa likitoa burudani ya hali ya juu.

HATIMAYE, KARIAKOO DERBY KUPIGWA ISAMUYO, VITA YAANZA RASMI

29/04/2026 15:08:30
Kariakoo Derby inaendelea kubaki kuwa moja ya mechi zinazovuta hisia za mashabiki wengi, si tu nchini Tanzania bali pia katika ukanda wa Afrika Mashariki, kutokana na historia yake.

CAMARA AVUNJA UKIMYA, AWEKA WAZI SAFARI YAKE NA SIMBA

29/04/2026 15:02:58
KIPA  wa Simba SC, Moussa Camara, amevunja ukimya na kufunguka kuhusu changamoto ya majeraha aliyopitia, akisema hali hiyo inaweza kumrudisha nyuma mchezaji katika kufikia.

TETESI ZA USAJILI ULAYA - ENZO FERNANDEZ AINGIA ANGA ZA MANCHESTER CITY

29/04/2026 14:43:44
MANCHESTER City inafikiria kufanya jaribio la kumsajili kiungo wa Chelsea na timu ya taifa ya Argentina, Enzo Fernández, 25,  katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
 

SIMBA FULL NONDO MAPINDUZI CUP... BARKER ATIA AHADI...

29/04/2026 14:33:14
KOCHA Mkuu wa Simba, Steve Barker, amesema kikosi chake kipo tayari kwa changamoto ya mashindano ya Kombe la Muungano, akisisitiza kuwa maandalizi yao yamekamilika.