Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
15/05/2026 07:26:58
Mechi ya Jana kati ya Mashujaa FC na Simba SC iliyopigwa katika Uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma, imemalizika kwa Simba kuibuka na ushindi mnono wa 3-0.
29/04/2026 15:14:10
PAMBANO kati ya Azam FC na Yanga halipo tu ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara, bali hata kwenye michuano mingine limekuwa likitoa burudani ya hali ya juu.
29/04/2026 15:08:30
Kariakoo Derby inaendelea kubaki kuwa moja ya mechi zinazovuta hisia za mashabiki wengi, si tu nchini Tanzania bali pia katika ukanda wa Afrika Mashariki, kutokana na historia yake.
29/04/2026 15:02:58
KIPA wa Simba SC, Moussa Camara, amevunja ukimya na kufunguka kuhusu changamoto ya majeraha aliyopitia, akisema hali hiyo inaweza kumrudisha nyuma mchezaji katika kufikia.
29/04/2026 14:43:44
MANCHESTER City inafikiria kufanya jaribio la kumsajili kiungo wa Chelsea na timu ya taifa ya Argentina, Enzo Fernández, 25, katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
29/04/2026 14:33:14
KOCHA Mkuu wa Simba, Steve Barker, amesema kikosi chake kipo tayari kwa changamoto ya mashindano ya Kombe la Muungano, akisisitiza kuwa maandalizi yao yamekamilika.