Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

KUELEKEA MECHI ZA CAF....SIMBA WASHTUKIA JAMBO....WATUMA TAARIFA BODI YA LIGI CHAP

15/11/2024 21:02:52
Habari kutoka ndani ya klabu hiyo zimesema kuwa uongozi wa Simba pamoja na Kocha Mkuu, Fadlu Davids

YAMETIMIA....GAMONDI NA MSAIDIZI WAKE WATUPIWA VIRAGO YANGA....CHANZO HIKI HAPA

15/11/2024 20:55:10
Taarifa ya kufutwa kazi kwa makocha hao imetolewa na Ofisi ya Mtendaji Mkuu wa Yanga ikisema: “Uongozi wa Young Africans Sports...

UNAKUMBUKA ULE MGOLI WA BALUA DHIDI YA AL AHLI....HII HAPA SABABU YA YEYE KUFANYA VILE

30/09/2024 09:34:57
Nyota wa Simba kiungo Edwin Balua aliyewazima wapinzani wao kwenye anga la kimataifa jioni amefichua

UNAIKUMBUKA ILE KAZI YA KAPOMBE KWA MABULULU...SASA UKWELI WOTE UKO HIVI KUMBE...

28/09/2024 09:28:36
BEKI wa Simba, Shomari Kapombe amefunguka kuwa alipewa jukumu la kuhakikisha anafanikiwa kumzuia mshambuliaji wa Al Ahly...
 
 

PAMOJA NA KUWAPIGA WAETHIOPIA KWAO JUZI...GAMONDI 'ATEMA CHECHE' YANGA

19/09/2024 10:20:03
WASHAMBULIAJI wa Yanga wamejichongea kwa Kocha wao, Miguel Gamondi ambapo ameweka wazi kuwa anahitaji kupata muda wa kuzungumza na safu hiyo ya ushambuliaji baada ya matokeo ya mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya CBE SA ya Ethiopia ambapo Yanga ilishinda kwa 1-0.
 

HILI HAPA JIPYA KUHUSU BALEKE NA ISHU YAKE YA USAJILI WAKE YANGA....GAMONDI ATIA NGUMU....

12/09/2024 16:34:31
Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi, ameamua kutovunja kambi, badala yake ameendelea na mazoezi na kikosi kilichobaki