Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

SIMBA & FADLU WAVIZIANA...MWENYEWE ATIA MSIMAMO HUU MPYA KUHUSU WACHEZAJI

04/07/2025 15:02:03
FADLU Davids, Kocha Mkuu wa Simba SC amesema kuwa kwa msimu wa 2024/25 wamejitahidi kupambana na kufikia malengo

YANGA BINGWA 2024/25...SIMBA PAMOJA NA KUJIBANA BANA SANA MWISHO WAKUBALI KUACHIA

25/06/2025 14:56:34
KLABU ya Yanga imejihakikishia ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa msimu wa 2024-2025, ikiwa ni mara ya nne mfululizo, baada ya kuibuka na ushindi wa bao 2-0 dhidi ya Simba

UTAMU WA CHAN 2024 HUU HAPA...UFUNGUZI TZ ,KWA MKAPA...ZANZIBAR NDANI

23/06/2025 15:56:02
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeitangaza Tanzania kama nchi itakayoandaa mechi na tukio la ufunguzi wa fainali za CHAN 2024 zitakaofanyika kuanzia Agosti 2 hadi Agosti 30

KUELEKA DABI YA 25...HUYU MUKWALA HUYU...'SHOW' YAKE YANGA WAJIPANGE LA SIVYO

23/06/2025 14:06:55
Baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba SC 1-0 Kagera Sugar. Bao hilo alipachika dakika ya 17 akiwa ndani ya 18. Mukwala alituma pasi ya David Kameta ambaye alipokea pasi

ZIMBWE JR KIMEEELEWEKA SIMBA SC...ISHU YA NGOMA KUSALIA MHHHHH

18/06/2025 11:03:10
IMEELEZWA kuwa uongozi wa klabu ya Simba upo katika mazungumzo ya kumuongeza mkataba beki wao, Mohammed Hussein ‘Zimbwe Jr’
kusalia ndani ya klabu hiyo huku kiungo Fabrice Ngoma
 

KUHUSU ISHU YA IBENGE KUJA AZAM FC...UKWELI WOTE HUU HAPA...MABOSI WAFUNGUKA A-Z

18/06/2025 10:58:51
Florent Ibenge ana sifa ya kuifikisha AS Vita kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika mwaka 2014, pia kuiongoza DR Congo kutwaa medali ya shaba katika michuano ya AFCON mwaka 2015