Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
19/08/2024 09:22:42
Yanga Jumamosi Agosti 17, 2024, ilicheza mechi ya mkondo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika na Vital’ O kwa kuibuka na ushindi wa mabao 4-0
27/07/2024 22:40:26
Mchezo wa mazoezi ya viungo umekuwa mmoja wa michezo ya Olimpiki tangu mashindano hayo kuasisiwa mwaka 1896.
27/07/2024 22:32:52
MENEJA wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally amefafanua juu ya sintofahamu kuhusu usajili wa aliyekuwa kiungo wa KMC FC, Awesu Awesu.
27/07/2024 22:22:59
MKURUGENZI wa Sheria wa Yanga, Simon Patrick amesema wameomba Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu kuwapa muda
18/07/2024 14:51:44
Baadhi ya wachezaji ambao Simba imemsajili Lameck Lawi, Abdulrazack Hamza, Debora Fernandes, Augustine Okejepha
18/07/2024 14:45:45
Chama amekuwa akipenda kuitumikia jezi namba 17 ambapo huwa anaivaa ndani ya timu ya taifa ya Zambia na Simba alipokuwa anacheza kuanzia 2018 hadi 2024.