Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

BAADA YA KUWAFUMUA VITAL'O 10-0....GAME ZOTE ZA YANGA CAF KUCHEZWA ZNZ

26/08/2024 09:20:26
KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ameanza kuchora ramani yake kuelekea hatua inayofuata ya Ligi ya Mabingwa...

MASHINE MPYA YA MAGOLI SIMBA SASA RUKSA KUKUTANA NA YANGA

22/08/2024 10:16:24
MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, Leonel Ateba ruska kuitumikia klabu hiyo katika michezo ya Ligi Kuu Tanzania Bara...
 
 

PAMOJA NA KUANZA KUKIWASHA YANGA...GAMONDI AGUNA KUHUSU KASI YA DUBE NA MZINZE

19/08/2024 09:22:42
Yanga Jumamosi Agosti 17, 2024, ilicheza mechi ya mkondo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika na Vital’ O kwa kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 

Michezo ya Olimpiki 2024 - Mazoezi ya viungo

27/07/2024 22:40:26
Mchezo wa mazoezi ya viungo umekuwa mmoja wa michezo ya Olimpiki tangu mashindano hayo kuasisiwa mwaka 1896.

AWESU KASAJILIWA KIHUNI...? MAJIBU YA SIMBA HAYA HAPA...ISHU YA KRAMO MHHH

27/07/2024 22:32:52
MENEJA wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally amefafanua juu ya sintofahamu kuhusu usajili wa aliyekuwa kiungo wa KMC FC, Awesu Awesu.
 

KUHUSU KESI YA ENG HERSI NA VIONGOZI WAKE KUTAKIWA KUJIUZULU YANGA

27/07/2024 22:22:59
MKURUGENZI wa Sheria wa Yanga, Simon Patrick amesema wameomba Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu kuwapa muda