Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
04/06/2025 10:54:45
KATIKA kile kinachoonekana kuwa mwanzo wa ukurasa mpya kwa klabu ya Yanga, uongozi wa timu hiyo umeweka wazi
04/06/2025 10:01:41
Endapo Yanga itamkosa Mokwena itabaki na chaguo la nne ambalo ni kocha wa ASEC Mimosas ya Ivory Coast, Jullien Chevalier ambaye tayari alishaanza mazungumzo na vinara hao wa Ligi.
02/06/2025 11:29:51
Simba imelikosa taji hilo baada ya kupoteza mchezo wa fainali kwa jumla ya mabao 3-1 dhidi ya RS Berkane, kufuatia kuanza kufungwa ugenini 2-0, kisha sare ya 1-1 nyumbani
02/06/2025 11:18:10
KOCHA wa RS Berkane, Moine Chaabani, amekiri pamoja na timu anayoinoa kubeba ubingwa wa tatu wa Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuzidi akili Simba ikiwa nyumbani kwa kulazimisha sare ya 1-1
02/06/2025 11:08:45
Diarra bado ana mkataba na Yanga akiwa anaendelea kumfukuza kwa karibu kipa wa Simba Moussa Camara katika clean sheet za Ligi Kuu wakitofautiana moja tu
02/06/2025 10:26:57
Benchikha aliyekuwa kocha wa mwisho wa kigeni wa Simba kabla ya kuletwa kwa Fadlu Davids, alisema Simba ilipigwa kwa Camara, kwani ndiye mchezaji aliyekuwa akitakiwa aletwe msimu uliopita