Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

DIADORA YA ITALIA WALIVYOLAMBA DILI SIMBA KILAINIII...MKATABA NI 'BAB' KUBWA NCHI NZIMA..

25/04/2025 09:52:45
Jayrutty Investment Limited ilitambulishwa kuwa mshindi wa Tenda ya Usambazaji jezi za Simba SC kwa mkataba wa miaka mitano wenye thamani ya Sh. Bilioni 38.1 (Sh. 8,120,400,000).

KUHUSU UBINGWA MSIMU HUU...KAMWE AWAPIGA 'STOP' MASHABIKI YANGA

23/04/2025 11:41:05
Yanga, ambao wako kileleni mwa msimamo wa ligi, wamebakiza mechi tatu za mwisho dhidi ya Namungo FC, Tanzania Prisons, na Dodoma Jiji FC. Mechi ya mwisho itachezwa kwenye Uwanja wa KMC Complex, uliopo Mwenge, jijini Dar es Salaam.
 

KISA AHOUA KUKOSA GOLI JUZI MBELE YA WASAUZI...MO DEWJI ATOA KAULI HII SIMBA...

23/04/2025 09:46:33
Akizungumza baada ya mchezo wa kwanza wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch FC uliochezwa Aprili 20 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar – ambapo Simba ilishinda bao 1-0 – Mo Dewji alisisitiza kuwa huu

DIRISHA LA USAJILI LIKIFUNGULIWA TU....MASHINE HII YA KAZI HUENDA IKATUA YANGA...

15/04/2025 09:38:37
YANGA imeanza mapema harakati za kuboresha kikosi chake kwa ajili ya msimu ujao huku ikipiga hodi katika Ligi Kuu Kenya kwenye kikosi cha Kenya Police FC.

BAADA YA KUFUZU NUSU KIBINGWA ....ZIMBWE Jr 'ATEMA BUNGO' SIMBA....ATAJA WALICHOFANYA

11/04/2025 09:12:34
Zimbwe JR amefichua kuwa mafanikio hayo hayakutokea kwa bahati nasibu. Anaeleza kuwa kila kitu kilianza tangu mechi ya kwanza walipowasili nchini Misri, ambapo walifanya

KISA CAF ....FADLU ARUDISHWA KWAOAFRIKA KUSINI KILAZIMA...ISHU NZIMA IKO HIVI

10/04/2025 10:32:13
Simba mapema imepata tiketi ya kufuzu nusu Fainali ya mashindano hayo baada ya kuiondoa Al Masry ya Misri kwa matuta 4-1 baada ya timu hizo kumaliza mchezo kwa ushindi