Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

HAWA HAPA MASTAA WA AFRIKA TISHIO KWA SIMBA, YANGA KUBEBA UBINGWA CAF

07/12/2025 13:43:42
Kuteuliwa kwake kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Klabu Barani Afrika ni uthibitisho zaidi wa ubora alionao. Nyota huyu yupo na Al Ahly katika Kundi B ambalo pia kuna Yanga.
 

BAADA YA KUFUNGA GOLI 1 LA LIGI... BAJABER AFUNGUKA MAGUMU YA SIMBA...

06/12/2025 11:32:57
MSHAMBULIAJI wa Simba SC Mohamed Bajaber amefunguka baada ya kufunga bao lake la kwanza tangu ajiunge na Wekundu wa Msimbazi, akisema alikuwa akipita kwenye kipindi kigumu cha kukosa nafasi kutokana na majeraha yaliyomuweka nje kwa muda mrefu.

KUELEKEA AFCON 25... 53 WA TAIFA STARS HAWA HAPA... PANGA LA MWISHO MHHHH...

06/12/2025 11:29:43
Tanzania ipo Kundi C kwenye michuano hiyo ya AFCON 2025 sambamba na Nigeria, Tunisia na Uganda ambapo Stars inatarajia kuondoka nchini Desemba 8
 

BAADA YA KUWAPIGA BAO SIMBA CAF... UELEKEO WA YANGA HUU HAPA... KOCHA ATIA NDIMU...

05/12/2025 11:26:19
MASHABIKI wa Yanga wana furaha vilevile mabosi wao, siri ni moja tu ni kwamba kikosi cha timu hiyo kilivyobadilika, lakini kocha Pedro Goncalves.

MO DEWJI BABA LAO SIMBA.....ATOA BIL 10 ZA USAJILI MSIMU 25/26-26/27... MASHABIKI ROHO KWATUU...

03/12/2025 10:57:24
WAKATI wanachama wa Simba wakisomewa ripoti ya mapato na matumizi, wameonyesha kukoshwa na rais wao wa heshima...
 

ZA NDAAANIII KABISA... HII HAPA SABABU KUBWA YA PANTEV KUPIGWA CHINI SIMBA...

03/12/2025 10:51:38
Simba ilianza kupoteza kwa bao 1-0 katika mechi ya kwanza nyumbani dhidi ya Petro Luanda na mchezo uliofuata juzi Jumapili ikafungwa mabao 2-1 na Stade Malien huko Bamako, Mali.