Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
25/02/2025 15:04:01
MSHAMBULIAJI wa Kitanzania anayekipig Wydad AC ya Morocco, Seleman Mwalimu 'Gomez' ameanza mechi ya kwanza akiwa na uzi wa timu hiyo iliyotoka suluhu na COD Meknes
25/02/2025 14:57:23
BAADA ya Februari 24 2025 ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Simba 2-2 Azam FC mabosi hao wakigawana pointi mojamoja na matajiri wa Dar, Azam FC, Simba wametoa tamko
17/02/2025 17:27:16
Mwanzoni mwa msimu, Gamondi alijaribu kumtumia Andambwile kwenye eneo la beki wa kati lakini kiuhalisia, ni kiungo mkabaji nafasi ambayo kwa Yanga imekuwa ikichezwa na Khalid Aucho.
27/01/2025 13:20:37
BAADA ya kupata ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Copco FC na kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la FA, Kocha Mkuu wa Yanga, Sead Ramovic, amesema
27/01/2025 13:03:45
Baada ya kubeba Ngao ya Jamii, huku Yanga ikishindwa kufikia malengo ya kucheza robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu, Pacome amesema hawatakubali tena kuona wanawaumiza mashabiki
27/01/2025 11:39:50
Yanga itaanza mechi za duru la pili la Ligi Kuu Bara kwa kula kiporo dhidi ya Kagera Sugar wikiendi ijayo kabla ya kucheza mechi nyingine ndani ya Februari na kusubiri kuja kuvaana na watani wao, Simba katika Dabi ya Kariakoo itakayipigwa Machi 8, likiwa pambano la kwanza