Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

KUELEKEA MECHI YA FAINAL YA CAF...HII HAPA AHADI YA 'KISHUA' YA RAIS SAMIA KWA SIMBA

02/06/2025 10:15:13
Simba SC wanatarajiwa kukutana na RS Berkane ya Morocco katika fainali hiyo, ambapo mchezo wa kwanza utafanyika Mei 17 nchini Morocco, huku marudiano yakifanyika Mei 25 kwenye
 

ALICHOKISEMA FADLU BAADA YA SIMBA 'KUNYONGWA CAF' JUZI

30/05/2025 10:17:44
Simba imefika fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa kupoteza mechi mbili tatu katika hatua tofauti, lakini ikilinda rekodi ya kutopoteza mchezo wowote nyumbani

YANGA SC YAIGOMEA KARIAKOO DABI MAZIMA

08/05/2025 14:45:08
YANGA SC wamebainisha kuwa msimamo wao kuhusu mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Simba SC uliotarajiwa kuchezwa Machi 8 2025 upo palepale

KUELEKEA MECHI YA FAINAL CAF....AHMED ALLY AIBUKA NA 'MZUKA' HUU KWA WAARABU

08/05/2025 14:39:59
KATIKA kilele cha mafanikio ya kihistoria, Meneja wa klabu ya Simba, Ahmed Ally, ameweka wazi kuwa safari yao kwenye

REFA ALIYEIPA SIMBA GOLI 7-0 DHIDI YA HORAYA AKABIDHIWA MECHI YA WASAUZI JPILI

25/04/2025 10:01:26
Simba imewahi kukutana na refa Mansour mara mbili ambapo ya kwanza alikuwa refa wa kati ilipotoka sare ya bao 1-1 nyumbani na Asec Mimosas kwenye hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu wa 2023/2024 na mechi ya pili alikuwa refa wa akiba ilipoibuka na ushindi wa mabao 7-0

KUELEKEA MECHI YA CAF KESHO KUTWA...KIBU, MPANZU WAWATIA GANZI WASAUZI

25/04/2025 09:57:32
Simba itaingia kwenye mchezo huo wa marudiano ikiwa na faida ya ushindi nyumbani. Hata hivyo, kikosi hicho kinatambua kuwa Stellenbosch imepoteza mchezo mmoja tu nyumbani katika kampeni ya CAF mwaka huu.