Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

KUELEKEA MECHI NA WAARABU… BEKI ESPERANCE ATAJA MASTAA WA KUCHUNGWA

29/01/2026 08:48:16
Simba ina wakati mgumu katika kundi D la michuano hiyo kwani katika mechi tatu, haina pointi ikiburuza mkia, huku Stade Malien ikiongoza na pointi saba.

KUELEKEA MECHI vs AL AHLY… KOCHA YANGA ATOA KAULI YA KISHUJAA

29/01/2026 08:43:22
Yanga ilipoteza mechi Ligi ya Mabingwa Afrika Ijumaa iliyopita dhidi ya wapinzani wao hao kwa kuchapwa mabao 2-0 mechi iliyopigwa uwanja wa The Borg El Arab katika mji wa Alexandria.

KISA CHAMA KURUDI NYUMBANI... KOCHA SIMBA AVUNJA UKIMYA...

29/01/2026 08:38:05
KOCHA Mkuu wa Simba SC, Steve Barker ameshindwa kujizuia kwa kuonyesha kuvutiwa na urejeo wa kiungo fundi raia wa Zambia, Clatous Chama.
 

KUELEKEA MECHI NA AL AHLY... YANGA WATOA UJUMBE HUU KWA WAARABU...

29/01/2026 08:31:15
Kwa kutambua uzito wa mechi hiyo ya maamuzi, kikosi cha Yanga kimeondoka leo kuelekea Zanzibar kwa ajili ya kambi maalum ya maandalizi ya mwisho kabla ya kuivaa.
 

PAMOJA NA OURA KUTUA SIMBA... AHMED ALLY ATAJA MAMBO MAKUBWA YAYOKUJA...

29/01/2026 07:20:12
Akizungumza kuhusu usajili huo, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally, amesema Oura ni mchezaji mwenye ubora na uzoefu unaohitajika
 

ALICHOSEMA CHIKOLA BAADA YA KUWEKWA KANDO YANGA SC...

28/01/2026 14:11:31
Chikola aliyejiunga na Yanga mwanzoni mwa msimu huu akitokea Tabora United ambayo kwa sasa inafahamika kwa jina la TRA United, ametolewa kwa mkopo wa miezi.